Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,732
- 22,069
Si nyingi kwa kazi ipi mkuu?? Sidhani kama simba inashindwa kwenda bila kile cheo cha manara. Viongozi wake wameona hiyo inamtosha kwa cheo chake.Nne si nyingi. Bora laki saba na yupo huru kufanya kazi za kutangaza mpaka kina Suguye.