samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,014
- 1,217
Hapo kuna kete inachezwa kupotezea ishu fulani ili yanga ibweteke .wamewagundua kitambo
Ingia youtube msikilize hanspope manara alipewa asaini mkataba awe anakula milion 4 kwa mwezi pia kuna kifungu kinachomkataza asijihusishe kutangaza kampuni nyingne tofauti na waajiri wake SSC alikataa akakubali wa 700k ili afanye biashara na kina Asas, GSM na azam tv
Kama aliweza kufanya hivi kwa kiongozi wa simba sc atashindwa kufanya dhidi ya karia huyu ni tabia yake kujiona yeye ndio mtu mwenye nguvu kwenye soka letu.
View attachment 2304348
View attachment 2304348
Anatafunwa huyoKitenge migogoro ya Simba anasimama nayo sana
Mapochopocho ndiyo yanamponza huyu takadini wanamla kwa vitu vidogo vidogo sana