HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,733
- 5,553
Yaani hizi haki za binadamu ndio zimeleta ujinga wote huu, ukigeuka huku Baba Levo anataka kumzalia mwanaume mwenzake na sisi tunamchekea tu.Aaaah wanaume wenzenu wamewasaliti wanatak dudu na tyakoo
Ngoja wanawake watudharau kwakweli kwa tabia hizi.