King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,614
- 68,543
Inatia hasira sana Mkuu badala ya kupambana na vitu vya msingi(kutekwa kwa MO) wanapoteza muda na manara.Sasa kosa lake ni kusambaza taarifa au kusema katumwa na familia?
Inatia hasira sana Mkuu badala ya kupambana na vitu vya msingi(kutekwa kwa MO) wanapoteza muda na manara.Sasa kosa lake ni kusambaza taarifa au kusema katumwa na familia?
Naangalia news ,African News ktk TV naona hi habariInatia hasira sana Mkuu badala ya kupambana na vitu vya msingi(kutekwa kwa MO) wanapoteza muda na manara.
Utulivu ni kwa kila mtu kwani tukio hili ni uhalifu mkubwa sana na wa aina yake.Haya ungemwambia Rc Dar (Mo amepatikana, ghafla hajapatikana, ghafla siwezi kubadili kauli umri huo nimeshapita).
Imetuchafua sana watanzania.Naangalia news ,African News ktk TV naona hi habari
Sana AseeImetuchafua sana watanzania.
Ndio hujui rangi ya mzungu?yile mzungu pure bhanaKwani manara ni mzungu
Hakika sina hakika kama wamewahi kufanya hivyo, .....kwa weledi? sina hakika mkuu!Polisi wafanye kazi kwa weledi
Hata kama kadanganya kuwa yeye ni msemaji wa familia bado haimfanyi kuwa ni suspect. Polisi wafanye kazi yao na sio kukamata watu hovyo hovyo tu.Kiherehere Chake huyo Kwa Masikio yangu na macho yangu nimemuona na kumsikia kwenye Mahojiano na ITV jana Akitamka kuwa yeye ni Msemaji wa Familia ya Mlezi wao na Mwekezaji wao Bwana Mohammed Dewj Mo.
Matatizo mengine ni ya Kujitafutia tu huyu Jamaa naamini ni Mlemavu wa vitu viwili Ngozi na Mtindio wa Ubongo Waache kwanza WAMSUKUMIZILIE NDANI
Hukusema.Uliandika.Hujambo mzee wa "maviwanda"?👏😂😂😂nilisema jana kuwa tunahitaji kuwa watulivu sana panapotokea tukio la namna hii!
siku zote unatakiwa kuwa sp ecific. sasa wangetumia maneno ya dereva kama mwongozo
kwani mzungu ni mtu!!!!Eti ametekwa na wazunhu wawili, kwanini mtumie uzungu? Why msiseme watu wawili? Kwingine kote mbona hamsemagi fulani katekwa na waafrica watatu au wanne?