Zamani issue hizi hazikuwa na uzito sana. Siku hizi kumbe tunagombea tulipozaliwa? Lazima niende ocean road kugombea Ubunge hata kama wapambe wa magogoni watanisogelea. Wengi ni wakuja!
una hamu sana na Slaa?
Hii inamaanisha halijui hata jimbo analogombea,kwanza aliliita mkoa,pili akaja akaliita Arumeru Magharibi na kumbe ni Mashariki.
Amezaliwa na kusoma Kenya,LLB kasoma uingereza na anaishi Mbezi,anatufaa kweli huyu? Mbaya zaidi hata jina lake halipo katika daftari la kudumu la mpiga kura,alijiandikishia Mbezi...
Ni uendawazimu kumpigia kura mtu ambaye hata yeye hata jipigia kura.