Kama uloyasema yana ukweli basi hakika nchi yetu imefilisika sii tu kiuchumi basi hata kufikiri..Hii inamaanisha halijui hata jimbo analogombea,kwanza aliliita mkoa,pili akaja akaliita Arumeru Magharibi na kumbe ni Mashariki.Amezaliwa na kusoma Kenya,LLB kasoma uingereza na anaishi Mbezi,anatufaa kweli huyu?
Mbaya zaidi hata jina lake halipo katika daftari la kudumu la mpiga kura,alijiandikishia Mbezi...
Ni uendawazimu kumpigia kura mtu ambaye hata yeye hata jipigia kura.