tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
- Thread starter
- #21
Afrodenz una akili kama serikali. Huyo mdada hajamzimikia saana jamaa. Na inavyoonekana jamaa kama analazimisha hivi kwa mtazamo wangu. Demu sidhani kama ni wa kawaida.
ni kweli siyo wa kawaida, hata watu waliosoma naye wanathibitisha hilo, nadhan nina kazi ya ziada ya kumbadilisha