Hajawahi kuwa na mpenzi, anayachukia mapenzi, hayuko tayari kuwa katika mahusiano

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Huyu ni msichana ambaye nilianza kumfatilia toka mwaka 2009 mwanzoni. Mwanzo aliniambia anihitaji, nilipojitahidi kumbembeleza aliniambi kwamba hakuna kitu anakichukia kama mapenzi japo hakunipa sababu zake. Muda ulienda na nilijitahidi kuweka ukaribu naye, huku nikiendelea kumuaminisha kwamba nampenda. Siku zilienda mbele na katika hali ya kutaka kunirudisha nyuma, akaniambia kwamba "ana mtu", kitu ambacho hakikuwepo lakini yeye alisisitiza hivyo. Ulipita muda bila kuwasiliana naye{alikuwa shuleni}, baada ya kumaliza form 6 mwaka huu alinitafuta, na tukaanza kuwasiliana tena. Lakini kila nilipoongelea suala la mapenzi, aligeuka mbogo japo alianza kuhitaji kujua habari zangu. Kuna siku baada ya kumshawishi sana alijibu " I dont luv 2 be urs", sms hiyo ilinifanya nimchunie, lakini baada ya wiki 2 aliniuliza "mbona kimya", nilimjibu kwamba "napenda sana kuwa karibu na wewe ila siwezi kuendelea kujiumiza", hapo naye akakaa kimya. Usiku wa kuamkia leo nimeongea naye kwa kina kama masaa 3, ndipo akanithibitishia kwamba hajawahi kuwa na mpenzi na wala hafikirii, nikamuuliza plan zake, akasema nimwambie kwanza za kwangu, nilimweleza ndipo naye akanambia kwamba ataingia kwenye mahusiano pale tu atakapokuwa na elimu+kazi yake. Alisisitiza sana niheshimu malengo yake. Kwa kifupi tumeelewana lakini hatujakubaliana. Nipo njia panda, je anaweza kuwa wangu na kunipenda?, na nahitaji ushauri wenu jinsi ya kumtoa katika hofu alizonazo.
 
huyo ni wako ila usiende kasi, ni msichana/mwanamke muelewa na anayejitambua, anamalengo kamili, anakupenda na wewe ukiwa mvumilivu mwishowe atakuwa wako, bali ni vizuri usifanye kosa ama jambo litakalo muonyesha kuwa wewe si muaminifu ktk masuala ya mapenzi, ANAKUCHUNGUZA ,ANAHITAJI KUPATA MWANAUME MKWELI NA AMBAYE ATAKUWA WAKE TU. kisha ondoa tamaa ya mwili yako juu yake litakuvurugias, KUKU WA KWAKO MANATI YA NINI........?
A%20S%20465.gif
 
ah, sas hapa tatizo ni kua bado hamjakubaliana chochote.
kubalianeni kwanza, kama ni kusubiriana ujue na ujaja kama upo tiyari kusubiri au la!
lakini pia umesema ndo kamaliza form 6, na hyo kazi anataraji kupata lini?? baada ya kujiunga na kumaliza chuo au anaitafuta sa hivi!
ishu ni kua kuna long way to go na mengi ya kupitia hapo kat mpaka aje amalize shule, na kumaiza shule na kupata kazi ni vitu viwili tofauti.
nadhani kama wewe upo siriaz nae ni kuzidi kumwaminisha kua unampenda na lengo lake ni kua nae for life.
mshawishi muanze mahusiano atleast kwa masharti fulani kama ya kutochakachuana mpaka baada ya kipindi fulani. juust mtambuane kama wapenzi.

vinginevy me nakwachia maamui.
kila la kheri.
 
acha kupoteza muda na mtu asiyeeleweka, do u think mpaka amalize kusoma na apate kazi kama anavyodai yeye bado ww utaipata hyo nafasi? watatokea wengi on the way na ni bora labda aseme ngono hataki ila muwe wapenz tu....ngumu sana, hamna upendo wa hivyo.
kwanza hana akili, hajui kusimamia malengo yake eti useme kwanza plan zako ndo aseme z, kwan hajui anachotaka? na ni dhahir ukizubaa umemkosa ataangukia pengine.... walu walu huyo
 
ah, sas hapa tatizo ni kua bado hamjakubaliana chochote.
kubalianeni kwanza, kama ni kusubiriana ujue na ujaja kama upo tiyari kusubiri au la!
lakini pia umesema ndo kamaliza form 6, na hyo kazi anataraji kupata lini?? baada ya kujiunga na kumaliza chuo au anaitafuta sa hivi!
ishu ni kua kuna long way to go na mengi ya kupitia hapo kat mpaka aje amalize shule, na kumaiza shule na kupata kazi ni vitu viwili tofauti.
nadhani kama wewe upo siriaz nae ni kuzidi kumwaminisha kua unampenda na lengo lake ni kua nae for life.
mshawishi muanze mahusiano atleast kwa masharti fulani kama ya kutochakachuana mpaka baada ya kipindi fulani. juust mtambuane kama wapenzi.

vinginevy me nakwachia maamui.
kila la kheri.

anadai akishapata 1st degree, mi nipo mwaka wa mwisho. Nakubaliana na wewe, kikubwa kinachohitajika ni makubaliano. Nitafata ushauri wako
 
acha kupoteza muda na mtu asiyeeleweka, do u think mpaka amalize kusoma na apate kazi kama anavyodai yeye bado ww utaipata hyo nafasi? watatokea wengi on the way na ni bora labda aseme ngono hataki ila muwe wapenz tu....ngumu sana, hamna upendo wa hivyo.
kwanza hana akili, hajui kusimamia malengo yake eti useme kwanza plan zako ndo aseme z, kwan hajui anachotaka? na ni dhahir ukizubaa umemkosa ataangukia pengine.... walu walu huyo
ni kweli nadhan kufuata anachofikiri inawezekana ni kupoteza muda. Na hiyo ndiyo maana nataka nimtoe kwenye hayo mawazo, maana sidhan kama yana mantiki
 
Huyo siye wa kwako,ukiweza kumchunguza vizuri utagundua kua huko nyuma alikua na mtu wakashindwana,kama kweli anania na wewe asinge kutega umueleze kwanza plan zako, yeye si anajua anachokitaka? Atakakupotezea muda huyo.
 
Huyo co wako, hayuko wazi kwako, anaonekana co mkweli, kuna v2 hajakuweka wazi. Endlea kuvumilia labda kuna cku atabadlika! Mchunguze vzr!
 
Mabinti mabinti mabinti
Kiukweli umezama katika mapenzi, na mapenzi huvumilia yote... hap tutatoa ushauri weeeeeeeee, kesho akikubip tu moyo unalipuka..! Endelea kumpenda ila punguza ku-expect makubwa sana toka kwake!
Kuna aina ya hao wasichana, wanakuwa kama hawana hisia sana za kimapenzi sio ni experience mbaya ambazo wamekutana nazo(sio lazima wao hata kwa marafiki au ndugu zao)
Ila kuna habari nzuri, binti wa hivyo akishapenda (yaani akijiachia kwako) ni utachoka wewe tu!
Vumilia kaka, japo mi siwezi (labda sijapenda)
 
Mabinti mabinti mabinti
Kiukweli umezama katika mapenzi, na mapenzi huvumilia yote... hap tutatoa ushauri weeeeeeeee, kesho akikubip tu moyo unalipuka..! Endelea kumpenda ila punguza ku-expect makubwa sana toka kwake!
Kuna aina ya hao wasichana, wanakuwa kama hawana hisia sana za kimapenzi sio ni experience mbaya ambazo wamekutana nazo(sio lazima wao hata kwa marafiki au ndugu zao)
Ila kuna habari nzuri, binti wa hivyo akishapenda (yaani akijiachia kwako) ni utachoka wewe tu!
Vumilia kaka, japo mi siwezi (labda sijapenda)

nimekusikia, nitajitahid kutotegemea makubwa, lakin angalau sasa anaonesha nia, sijawah ongea naye more than 20 min, bt jana tumeongea than 2 hours
 
Huyo siye wa kwako,ukiweza kumchunguza vizuri utagundua kua huko nyuma alikua na mtu wakashindwana,kama kweli anania na wewe asinge kutega umueleze kwanza plan zako, yeye si anajua anachokitaka? Atakakupotezea muda huyo.

habar ya kutokuwa na mahusiano kabla, niliipata mwenyewe kabla yeye hajaniambia. Kiufupi ni binti mwenye busara, heshima na cfa zote za uzuri
 
Hajawahi kuwa na mpenzi, anayachukia mapenzi, hayuko tayari kuwa katika mahusiano.........SOUNDS STRANGE
 
samahani my dear
lakini unauhakika gani hajawahi kuwa na mpenzi??

Kweli namsifia sana huyo
dada kwa kujua nini muhimu
katika maisha yake ELIMU +KAZI

lakini kwa maelezo hapo juu
something is not right ..

1.labda alimjaribu mtu akaona hafai kaamua kurudi kwako
2. anapenda kitu kimoja ulichonacho mfano personality ..
3. kweli anamsimamo na maisha yake na hataki mtu kuchezea.
4.Hakupendi kimaukweli lakini hataki kukwambia sababu atakuumiza

mmhh hizo za weza kwa sababu chache tu
ambazo hakuaambi anakupenda...

lakin kama huna umri mkubwa sana na uko tayrari
kusubiri kidogo mpe muda zaidi ..
 
Huyu ni msichana ambaye nilianza kumfatilia toka mwaka 2009 mwanzoni. Mwanzo aliniambia anihitaji, nilipojitahidi kumbembeleza aliniambi kwamba hakuna kitu anakichukia kama mapenzi japo hakunipa sababu zake. Muda ulienda na nilijitahidi kuweka ukaribu naye, huku nikiendelea kumuaminisha kwamba nampenda. Siku zilienda mbele na katika hali ya kutaka kunirudisha nyuma, akaniambia kwamba "ana mtu", kitu ambacho hakikuwepo lakini yeye alisisitiza hivyo. Ulipita muda bila kuwasiliana naye{alikuwa shuleni}, baada ya kumaliza form 6 mwaka huu alinitafuta, na tukaanza kuwasiliana tena. Lakini kila nilipoongelea suala la mapenzi, aligeuka mbogo japo alianza kuhitaji kujua habari zangu. Kuna siku baada ya kumshawishi sana alijibu " I dont luv 2 be urs", sms hiyo ilinifanya nimchunie, lakini baada ya wiki 2 aliniuliza "mbona kimya", nilimjibu kwamba "napenda sana kuwa karibu na wewe ila siwezi kuendelea kujiumiza", hapo naye akakaa kimya. Usiku wa kuamkia leo nimeongea naye kwa kina kama masaa 3, ndipo akanithibitishia kwamba hajawahi kuwa na mpenzi na wala hafikirii, nikamuuliza plan zake, akasema nimwambie kwanza za kwangu, nilimweleza ndipo naye akanambia kwamba ataingia kwenye mahusiano pale tu atakapokuwa na elimu+kazi yake. Alisisitiza sana niheshimu malengo yake. Kwa kifupi tumeelewana lakini hatujakubaliana. Nipo njia panda, je anaweza kuwa wangu na kunipenda?, na nahitaji ushauri wenu jinsi ya kumtoa katika hofu alizonazo.
wewe ni sub!! ):):)
 
samahani my dear
lakini unauhakika gani hajawahi kuwa na mpenzi??

Kweli namsifia sana huyo
dada kwa kujua nini muhimu
katika maisha yake ELIMU +KAZI

lakini kwa maelezo hapo juu
something is not right ..

1.labda alimjaribu mtu akaona hafai kaamua kurudi kwako
2. anapenda kitu kimoja ulichonacho mfano personality ..
3. kweli anamsimamo na maisha yake na hataki mtu kuchezea.
4.Hakupendi kimaukweli lakini hataki kukwambia sababu atakuumiza

mmhh hizo za weza kwa sababu chache tu
ambazo hakuaambi anakupenda...

lakin kama huna umri mkubwa sana na uko tayrari
kusubiri kidogo mpe muda zaidi ..

Tutabanana hapa hapa
naomba kubanana na wewe
 
Afrodenz una akili kama serikali. Huyo mdada hajamzimikia saana jamaa. Na inavyoonekana jamaa kama analazimisha hivi kwa mtazamo wangu. Demu sidhani kama ni wa kawaida.
 
Afrodenz una akili kama serikali. Huyo mdada hajamzimikia saana jamaa. Na inavyoonekana jamaa kama analazimisha hivi kwa mtazamo wangu. Demu sidhani kama ni wa kawaida.

hapo kwenye blue
kama ni CCM umeniangusha mkuu
hahahahah lol

kweli mie naona huyu dada
anachukua advantage ya huyu ndugu yetu hapa..
na huyu ndugu yetu kajilegeza sana kwake..

saa nyingine mwanaume anatakiwa
afunge mkanda haswa is eaither YES or NO , Black or White

ni kweli wasichana tunapenda kuringishia
na kuvuta muda ili tusionekana sisi tunawataka sana nyie..
lakini ya huyu imezidi dada kaenda college karudi na bado anamzungusha
khaaaaaaa.. na hiyo hajaahi kuwa na mpenzi huyu ndugu yetu ameyajuaje hayo?????:sleepy:
 
hapo kwenye blue
kama ni CCM umeniangusha mkuu
hahahahah lol

kweli mie naona huyu dada
anachukua advantage ya huyu ndugu yetu hapa..
na huyu ndugu yetu kajilegeza sana kwake..

saa nyingine mwanaume anatakiwa
afunge mkanda haswa is eaither YES or NO , Black or White

ni kweli wasichana tunapenda kuringishia
na kuvuta muda ili tusionekana sisi tunawataka sana nyie..
lakini ya huyu imezidi dada kaenda college karudi na bado anamzungusha
khaaaaaaa.. na hiyo hajaahi kuwa na mpenzi huyu ndugu yetu ameyajuaje hayo?????:sleepy:

hivi ni ngumu sana kujua kama unavyofikiri?
 
Back
Top Bottom