Mkuuu hizo ni Ndoto za abunuwasi. Mhe. Mbunge fulani ambaye kwa Taaluma ni Daktari aliwahi kuwaibia Siri kuwa mwenzetu ni Mwezi Mchangga lkn hamtaki kuelewa. Haiji kutokea kwa Vetting za mfumo wa Nchi yetu Never Ever.....Sahau hillo, jifurahishe tu kwa Maneno hayo through your Keybord.Self imposed exile?
Arudi apambane. Kama akicheza karata zake za kisiasa vizuri na timing sahihi, mimi naamini pengine kuna siku atakuja kuwa rais wa nchi hii. Pengine 2025, 2030...