Capslock
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,066
- 4,729
Habari zenu, poleni na mihangaiko ya siku.
Naumwa tokea jana. Shida ilianza asubuhi nikawa nahisi tumbo kuuma baadae nilipoenda kujisaidia ile haja ilikuwa nyeusi kama oil chafu, shida nini? Baadae pia nikaanza kutapika damu.
Mwenye uelewe na hili tatizo.
Naumwa tokea jana. Shida ilianza asubuhi nikawa nahisi tumbo kuuma baadae nilipoenda kujisaidia ile haja ilikuwa nyeusi kama oil chafu, shida nini? Baadae pia nikaanza kutapika damu.
Mwenye uelewe na hili tatizo.