Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa sijisikii hamu ya kula na hata nikila nakula kiasi kidogo sana na mara nyingi nikienda kupata haja kubwa mavi yanakuwa kama ya mbuzi.
Naomba ushauri
Naomba ushauri
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa sijisikii hamu ya kula na hata nikila nakula kiasi kidogo sana na mara nyingi nikienda kupata haja kubwa mavi yanakuwa kama ya mbuzi.
Naomba ushauri
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa sijisikii hamu ya kula na hata nikila nakula kiasi kidogo sana na mara nyingi nikienda kupata haja kubwa mavi yanakuwa kama ya mbuzi.
Naomba ushauri
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa sijisikii hamu ya kula na hata nikila nakula kiasi kidogo sana na mara nyingi nikienda kupata haja kubwa mavi yanakuwa kama ya mbuzi.
Naomba ushauri
kwa siku ngapi?Mkuu,
Usipate tabu sana ni dalili kuwa wewe unageuka mbuzi! Usijali,wala usiogope!
Hapo sehemu uliyopo kama unaweza kupata papai na ndizi mbivu(kama si mgonjwa wa kisukari) basi tumia vitu hivyo kabla ya kula chakula chengine chochote unapoamka. Lakini kwanza anza na maji moto, kunywa vikombe viwili vya maji moto, yasikuunguze lakini. baada ya dakika 10 kula ndizi mbivu moja,ile iliyovurugika kidogo sio ile ngumu, na papai. Papai bivu, kama utapata avocado (parachichi) ongezea, halafu nenda jogging kidogo kama 30mins utoke jasho, kama utakwenda mbali ukumbuke kuchukua mfuko wa plastiki akiba!
Natumai tatizo lako litatatuka,mkuu! Anza kesho.
kwa siku ngapi?
Ebwana heeee poleeee sana.
kaka ni kwamba wewe una vidonda vya tumbo halafu unakula vitu vikavu ndo maana kaka unatoa karanga za mbuzi.
unatakiwa usinywe vinywaji vyenye gas, vyakula vikavu na pia unywe maji mengi vyakula vya fibres na vyepesi kama mtori.
Pia zingatia muda wa kula kula kidogo kidogo mara kwa mara unaposikia njaa.....
na kwa mbia hivyo kwasababu nina mfano hai........
pooooooooooooooooooleeeeeeeeeeeeee sana
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa sijisikii hamu ya kula na hata nikila nakula kiasi kidogo sana na mara nyingi nikienda kupata haja kubwa mavi yanakuwa kama ya mbuzi.
Naomba ushauri