Yote yanaweza kuwa majibu ya kukusaidia lakini... ki Biolojia hizo ni dalili za AMOEBA hivyo fanya mpango uende hospital na watakupa anti biotic.... Usichelewe AMOEBA inauwa tena sana kwa watu wazima plz wahi hospital.
Pole mkuu kwa tatizo.
Green tea ni nzuri pia. Pata pia mboga mboga za majani.