Haitoshangaza na wala sio mara ya kwanza kwa CCM kubaki peke yake katika siasa Tanzania

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Habari za asubuhi!

Kichwa cha habari kinajieleza vyema na kinajaribu kuamsha kumbukumbu na kuondoa hofu watoto wa miaka ya 92+.

Tunawasikia ndugu zetu wa upinzani wakilalamikia kasi ya CCM kuwanyakua wapinzani na hivyo kupelekea tishio la upinzani kupotea kabisa katika siasa zetu.

Kwa maoni yangu...Upinzani huu wa kitapeli ni bora na lazima ufe katika awamu hii ya ukweli,usawa na ufuataji sheria.

Upinzani huu wa hadaa ulipewa fursa kubwa sana awamu zilizopita ingawa wakatumia fursa hizo kwa maslahi binafsi na familia zao,upinzani ukageuka chaka la wakwepa kodi,wauza ngada na kimbilio la mafisadi waliofurushwa CCM.

Ni upinzani uliogeuka na kuwa watetezi wa wezi wa rasilimali zetu...

Ni upinzani uliodumaa kiakili kiasi kwamba imani yao imebakia kulilia misaada ya ughaibuni na kuamini miongozo ya ughaibuni(yaani hauna jipya kwa hisani ya watanzania)

Kwa muktadha huu wa upinzani mbovu hatuna budi kubakia na CCM iliyo imara na yenye kutoa fursa kwa wananchi wa strata mbalimbali za kiuchumi,kimaumbile,kabila na dini...

ni bora mara elfu moja tukabaki na utawala wa Chama kimoja kilichoboreshwa na kuwa na fikra mbalimbali kuliko kuendelea kuwa na mivyama inayotumia ruzuku kuneemesha wakwe,mashemeji na nyumba ndogo zao.
Kabla ya 1992 tulikuwa na CCM na maisha yalisonga ...sio aibu wala sio hatari kubakia na CCM kwa miaka hata 1000 ijayo.

POVU RUKSA ILA HOJA HUJIBIWA KWA HOJA!

"BUYUNGU -UMOJA NI USHINDI"

"UKONGA-WEMBE NI ULE ULE"
ARUMERU-2020 TENA
 
ni bora mara elfu moja tukabaki na utawala wa Chama kimoja kilichoboreshwa na kuwa na fikra mbalimbali kuliko kuendelea kuwa na mivyama inayotumia ruzuku kuneemesha wakwe,mashemeji na nyumba ndogo zao.
kijana umesahau pasipo na mbadala wa vyama vya siasa kuna nini zama za karne ya 21?

kuna mapacha 2 ambao ni model za watu waliokandamizwa wakachoka wakaamua liwalo na liwe. na hawa wakiingia hapa kwetu, hakuna atakayekuwa salama.

#bokoharam & #Alshaabab


endeleeni kujidanganya tu...
 
Kumbe lengo lenu mnataka ccm ibaki peke yake Tanzania mbona hata isiwe tabu mnawabunge telee pelekeni bungeni tufute vyama vya upinzani mchezo uishe. Mbona simple tu mnazunguka kuumiza watu kumbe mnataka chama kimoja
 
kijana umesahau pasipo na mbadala wa vyama vya siasa kuna nini zama za karne ya 21?

kuna mapacha 2 ambao ni model za watu waliokandamizwa wakachoka wakaamua liwalo na liwe. na hawa wakiingia hapa kwetu, hakuna atakayekuwa salama.

#bokoharam & #Alshaabab


endeleeni kujidanganya tu...
China sijawahi msikia boko haram...Marekani baba wa demokrasia alishambuliwa na magaidi...so dont fool us with your cheap fake politics.
Stop echoing false political opinions
 
China sijawahi msikia boko haram...Marekani baba wa demokrasia alishambuliwa na magaidi...so dont fool us with your cheap fake politics.
Stop echoing false political opinions
China ni China. Tanzania ni Tanzania.

umesahau kale kachekechea kadogo tu ka MKIRU kalivyotoa watu jasho? seuze Bokoharam!!

endeleeni kujidanganya!!
 
Habari za asubuhi!

Kichwa cha habari kinajieleza vyema na kinajaribu kuamsha kumbukumbu na kuondoa hofu watoto wa miaka ya 92+.

Tunawasikia ndugu zetu wa upinzani wakilalamikia kasi ya CCM kuwanyakua wapinzani na hivyo kupelekea tishio la upinzani kupotea kabisa katika siasa zetu.

Kwa maoni yangu...Upinzani huu wa kitapeli ni bora na lazima ufe katika awamu hii ya ukweli,usawa na ufuataji sheria.

Upinzani huu wa hadaa ulipewa fursa kubwa sana awamu zilizopita ingawa wakatumia fursa hizo kwa maslahi binafsi na familia zao,upinzani ukageuka chaka la wakwepa kodi,wauza ngada na kimbilio la mafisadi waliofurushwa CCM.

Ni upinzani uliogeuka na kuwa watetezi wa wezi wa rasilimali zetu...

Ni upinzani uliodumaa kiakili kiasi kwamba imani yao imebakia kulilia misaada ya ughaibuni na kuamini miongozo ya ughaibuni(yaani hauna jipya kwa hisani ya watanzania)

Kwa muktadha huu wa upinzani mbovu hatuna budi kubakia na CCM iliyo imara na yenye kutoa fursa kwa wananchi wa strata mbalimbali za kiuchumi,kimaumbile,kabila na dini...

ni bora mara elfu moja tukabaki na utawala wa Chama kimoja kilichoboreshwa na kuwa na fikra mbalimbali kuliko kuendelea kuwa na mivyama inayotumia ruzuku kuneemesha wakwe,mashemeji na nyumba ndogo zao.
Kabla ya 1992 tulikuwa na CCM na maisha yalisonga ...sio aibu wala sio hatari kubakia na CCM kwa miaka hata 1000 ijayo.

POVU RUKSA ILA HOJA HUJIBIWA KWA HOJA!

"BUYUNGU -UMOJA NI USHINDI"

"UKONGA-WEMBE NI ULE ULE"
WEZI WOTE WALIOBAINIKA WALIKUWA WA CHAMA GANI VILE? NA WENYE DHAMANA YA KUZUIA WIZI NA KUKAMATA WEZI ILIKUWA CHAMA GANI?
 
China ni China. Tanzania ni Tanzania.

umesahau kale kachekechea kadogo tu ka MKIRU kalivyotoa watu jasho? seuze Bokoharam!!

endeleeni kujidanganya!!
Tanzania ilishaingia vitani na Uganda sasa unaanzaje kuitishia na vijikundi ?
 
Habari za asubuhi!

Kichwa cha habari kinajieleza vyema na kinajaribu kuamsha kumbukumbu na kuondoa hofu watoto wa miaka ya 92+.

Tunawasikia ndugu zetu wa upinzani wakilalamikia kasi ya CCM kuwanyakua wapinzani na hivyo kupelekea tishio la upinzani kupotea kabisa katika siasa zetu.

Kwa maoni yangu...Upinzani huu wa kitapeli ni bora na lazima ufe katika awamu hii ya ukweli,usawa na ufuataji sheria.

Upinzani huu wa hadaa ulipewa fursa kubwa sana awamu zilizopita ingawa wakatumia fursa hizo kwa maslahi binafsi na familia zao,upinzani ukageuka chaka la wakwepa kodi,wauza ngada na kimbilio la mafisadi waliofurushwa CCM.

Ni upinzani uliogeuka na kuwa watetezi wa wezi wa rasilimali zetu...

Ni upinzani uliodumaa kiakili kiasi kwamba imani yao imebakia kulilia misaada ya ughaibuni na kuamini miongozo ya ughaibuni(yaani hauna jipya kwa hisani ya watanzania)

Kwa muktadha huu wa upinzani mbovu hatuna budi kubakia na CCM iliyo imara na yenye kutoa fursa kwa wananchi wa strata mbalimbali za kiuchumi,kimaumbile,kabila na dini...

ni bora mara elfu moja tukabaki na utawala wa Chama kimoja kilichoboreshwa na kuwa na fikra mbalimbali kuliko kuendelea kuwa na mivyama inayotumia ruzuku kuneemesha wakwe,mashemeji na nyumba ndogo zao.
Kabla ya 1992 tulikuwa na CCM na maisha yalisonga ...sio aibu wala sio hatari kubakia na CCM kwa miaka hata 1000 ijayo.

POVU RUKSA ILA HOJA HUJIBIWA KWA HOJA!

"BUYUNGU -UMOJA NI USHINDI"

"UKONGA-WEMBE NI ULE ULE"
Hoja ya kipuuzi iliyojaa uongo, ubinafsi na ulafi wa kutanguliza tumbo badala ya utaifa. Utakua ni mjinga wa hali ya juu kama unafikiri upinzani ni wa kitapeli wakati mnatumia pesa nyungi kuwanunua hao hao waliolelewa na wapinzani huku wengine wakipigwa,wakifungwa,kuteswa na kutishwa.

Hatujui alipo Ben Saanane,hatuji alipo mwandishi Azori Gwanda,CCM mnawajua waliotoa uhai wa Mawazo,hatujui aliyempiga Risasi Tundu Lisu, eti mtoto unabinya pua unadiriki kusema huu upinzani ufe? Otaondoka mwenyewe na roho iliyojaa ukurutu na uchungu. Haya yote hayana majibu na serikali ya CCM haijatoa majibu yeyote. Ipo siku mtapoteana, ombeni uzima.

Huwezi kuendea kujiita kiongozi huku watu wamepotea na hakuna amani wala hakuna jitihada za kutoa majibu yanayoekeweka.

Kalale mbele huko!
 
Hoja ya kipuuzi iliyojaa uongo, ubinafsi na ulafi wa kutanguliza tumbo badala ya utaifa. Utakua ni mjinga wa hali ya juu kama unafikiri upinzani ni wa kitapeli wakati mnatumia pesa nyungi kuwanunua hao hao waliolelewa na wapinzani huku wengine wakipigwa,wakifungwa,kuteswa na kutishwa.

Hatujui alipo Ben Saanane,hatuji alipo mwandishi Azori Gwanda,CCM mnawajua waliotoa uhai wa Mawazo,hatujui aliyempiga Risasi Tundu Lisu, eti mtoto unabinya pua unadiriki kusema huu upinzani ufe? Otaondoka mwenyewe na roho iliyojaa ukurutu na uchungu. Haya yote hayana majibu na serikali ya CCM haijatoa majibu yeyote. Ipo siku mtapoteana, ombeni uzima.

Huwezi kuendea kujiita kiongozi huku watu wamepotea na hakuna amani wala hakuna jitihada za kutoa majibu yanayoekeweka.

Kalale mbele huko!
Iko siku tutawaomba polisi watoe orodha ya watu waliopotea toka Taifa hili lilipoanza.
halafu tutalinganisha na orodha ya waliopotea katika mataifa mengine.
 
Back
Top Bottom