Haitakwepeka raia wa Marekani kushuhudia madhara ya vita zinazojihusisha na taifa lao

MakinikiA

JF-Expert Member
Jun 7, 2017
5,011
6,542
Ibaki kusema tu viongozi wanaona kama mzaha kuhusu tatizo la ukraine akiwemo Biden na Zelesky,madhara ya tatizo kila Raia anayeshiriki tatizo hilo lazima aguswe, raia hasa wa wamarekani walizoea na kuzoeshwa hivyo kwamba taifa lao linapoingia vitani wao ni kuangalia kwenye tv kama movie kwa safari hii wajiandae ,wakichelewa kumshawishi Biden aindokane na ushiriki wake Ukraine ,vita ya nuclaer siyo nzuri na inapofikia kutumika ni mhusika kuona kupuuzwa kwa kiwango kikubwa sana,hakutakuwa na mshindi pande zote mbili yaani Russia na USA ila mataifa hayo yatafutika kwenye ramani ya dunia.
 
Ibaki kusema tu viongozi wanaona kama mzaha kuhusu tatizo la ukraine akiwemo Biden na Zelesky,madhara ya tatizo kila Raia anayeshiriki tatizo hilo lazima aguswe, raia hasa wa wamarekani walizoea na kuzoeshwa hivyo kwamba taifa lao linapoingia vitani wao ni kuangalia kwenye tv kama movie kwa safari hii wajiandae ,wakichelewa kumshawishi Biden aindokane na ushiriki wake Ukraine ,vita ya nuclaer siyo nzuri na inapofikia kutumika ni mhusika kuona kupuuzwa kwa kiwango kikubwa sana,hakutakuwa na mshindi pande zote mbili yaani Russia na USA ila mataifa hayo yatafutika kwenye ramani ya dunia.
Hata Nukes zikitumika zote Dunia ya Mungu itabaki nakwambia. Hatuwezi kumtia Mungu hasara kiasi cha kufuta mataifa hayo. Wapo watakaosalia
 
Sijui kwanini hawa the so called world giants hawatakagi kukaa chini na kusuluhisha migogoro yao

Kwani lazima dunia iwe na superpower mmoja si kila mtu awe superpower kwenye upande aliopo

Mfano wakubaline tu kuwa US awe superpower wa West na Russia awe superpower wa East na washirikiane
 
Ibaki kusema tu viongozi wanaona kama mzaha kuhusu tatizo la ukraine akiwemo Biden na Zelesky,madhara ya tatizo kila Raia anayeshiriki tatizo hilo lazima aguswe, raia hasa wa wamarekani walizoea na kuzoeshwa hivyo kwamba taifa lao linapoingia vitani wao ni kuangalia kwenye tv kama movie kwa safari hii wajiandae ,wakichelewa kumshawishi Biden aindokane na ushiriki wake Ukraine ,vita ya nuclaer siyo nzuri na inapofikia kutumika ni mhusika kuona kupuuzwa kwa kiwango kikubwa sana,hakutakuwa na mshindi pande zote mbili yaani Russia na USA ila mataifa hayo yatafutika kwenye ramani ya dunia.

Unadhan hilo hawlaijui? America inachukulia serious kuliko unvayodhani na wako macho tofauti ni interest zao
 
Sijui kwanini hawa the so called world giants hawatakagi kukaa chini na kusuluhisha migogoro yao

Kwani lazima dunia iwe na superpower mmoja si kila mtu awe superpower kwenye upande aliopo

Mfano wakubaline tu kuwa US awe superpower wa West na Russia awe superpower wa East na washirikiane
Me mwenyewe nawashangaaga sana.
Sema mmoja kaishazoea kuwa juu zaidi, sasa hataki kushuka kidogo ili awe sawa au akaribiane na mwenzie
 
Kwahiyo wewe unataka aachwe mrusi aue wayukraine ama na achukue tu ardhi ya wenzake
 
Tanganyika inaivamia Zanzibar na kuchukua ardhi yake kwa mabavu, kisa imejitenga!na inataka kujiunga na Mauritius 🇲🇺, na mazuzu wa humu wanaona Russia ipo sahihi kuvamia nchi huru ya Ukraine 🇺🇦, na tuelewe wakati Ukraine ilikua sehemu ya USSR, nchi hii ndio ilisaidia mno hivi vyama vya ukombozi hasa hapa Africa na wengi wa viongozi wake wamesomea Ukraine!
 
Sijui kwanini hawa the so called world giants hawatakagi kukaa chini na kusuluhisha migogoro yao

Kwani lazima dunia iwe na superpower mmoja si kila mtu awe superpower kwenye upande aliopo

Mfano wakubaline tu kuwa US awe superpower wa West na Russia awe superpower wa East na washirikiane
Multipolar world hio ndio USA haitaki, anataka UNIPOLAR world.Yeye ndio awe superpower mpk pumzi anataka aigawe yeye.

Mrusi anapambana ije hio MULTIPOLAR.
 
Tanganyika inaivamia Zanzibar na kuchukua ardhi yake kwa mabavu, kisa imejitenga!na inataka kujiunga na Mauritius 🇲🇺, na mazuzu wa humu wanaona Russia ipo sahihi kuvamia nchi huru ya Ukraine 🇺🇦, na tuelewe wakati Ukraine ilikua sehemu ya USSR, nchi hii ndio ilisaidia mno hivi vyama vya ukombozi hasa hapa Africa na wengi wa viongozi wake wamesomea Ukraine!
Wit USA inavamia na kuua mamilioni ya watu huko Libya, Afghanistan,Iraq, Vietnam na Sasa iko inaiba Mafuta Syria etc uliwahi kupiga kelele sehemu yoyote Ile?
 
Sijui kwanini hawa the so called world giants hawatakagi kukaa chini na kusuluhisha migogoro yao

Kwani lazima dunia iwe na superpower mmoja si kila mtu awe superpower kwenye upande aliopo

Mfano wakubaline tu kuwa US awe superpower wa West na Russia awe superpower wa East na washirikiane
Binadamu hajawahi kuwa na akili hivyo.
Kumbuka sisi ni wanyama.
DNA ya binadamu na ya nyani zinafanana kwa asilimia 98%.
Kwahyo nyani tunamzidi 2% tu.

Labda siku tukirekebisha DNA zetu ndio tutaondoa chuki, wivu na vita
 
Back
Top Bottom