Kwakweli haipendezi kabisa mwanaume kukamatia boda boda.
Mwanamke haina tatizo kabisa.
Kwanza vile mnavyokaa tu, inatia mashaka,
Bora bajaji au Tax kabisa.
HahahaDuuuuhhhh...
Mwendokasi vipi fresh au nayo tuwaachie 'viti maalum'!?.
Mungu kukupa hicho kigari unaanza kuona wanaume wenzio mazombi?
Kweli maskini akipata...
Fala wewe!!!!Kwakweli haipendezi kabisa Mwanaume kukamatia boda boda.
Mwanamke haina tatizo kabisa.
Kwanza vile mnavyokaa tu, inatia mashaka,
Bora bajaji au Tax kabisa.
......saburi hulia mbwata!Mungu kukupa hicho kigari unaanza kuona wanaume wenzio mazombi?
Kweli maskini akipata...