Haimpasi Mwanamke Kuvaa Mavazi Yampasayo Mwanaume...

Kasie

Platinum Member
Dec 29, 2013
21,168
36,056
Habari za jumapili,

Natumai nyote ni wazima wa afya, vivyo hivyo Kasie. Leo ni jumapili na kuna mahali nilienda kuibadika, neno nililotoka nalo madhabahuni ni hiko kichwa cha huu uzi.

Tangu naingia shule ya jumapili aka Sunday School sikuwa nimeuelewa huu mstari au agizo kutoka kwenye kitabu cha Mungu. Miaka yotehiyo nilikuwa najua mwanamke hatakiwi kuvaa suruali, kaptura, kunyoa panki kama mwanaume na kuvaa viatu vya kiume kwa muonekano wa macho ya nyama.

Leo, leo hii ndio nimepata maana iliyo ndani yake. Ngoja nijaribu kuelezea kama nilivosikia.

Wamama na wanawake wengi leo wanapata shida kwenye mahusiano ya ndoa zao, na waume zao au wapenzi wao kwasababu wamevaa mavazi ya mwanaume. Matokeo yake wamemuacha mwanaume uchi......

Wamama na wanawake wa leo mambo yenu hayawaendei sawa kwenye familia na mahudiano sababu mmevaa mavazi yawapasayo wapenzi na waume zenu. Mmevaa mavazi ya kuwa vichwa kwenye familia aka being bread winner. Mmevaa mavazi ya kuibeba familia na ukoo kiasi kwamba ikitokea shida unatafutwa wewe mwanamke badala ya mwanamme kwenye familia. Uzuri Mungu aligawa majukumu kati ya mme na mke, na ambaye hakutimiza wajibu wake aliadhibiwa kwa nafasi yake na suluhisho halikuwa kuchukua jukumu la mwenzio ili maisha yaende bali kumkumbusha atimize wajibu wake ili nawe ufanye lako.
Kuna methali inasema mshika mawili moja humponyoka, najua wako wake wanaokaba kote Yaani kama baba na kama mamana amefaulu je ni wangapi? Wengi wao wamefeli na kujikuta wanabanwa na vazi la kiume ilhali wao ni wanawake.

Najua wapo wataosema huyo mhubiri anakumbatia mfumo dume, hizi zama za siku hizi mjumuiko wa majukumu ni kusaidiana....n.k n.k. Ila twende mbele turudi nyuma, mambo yamevurugika huko mitaani, familia zimekuwa tafrani. Aidha sababu wanaume waliacha kutimiza wajibu wao ikasababisha wanawake kuvaa mavazi yampasayo mwanaume na wao wanawake wakaacha mavazi yao hayana mtu na wengine yanavaliwa na dada wa matokeo familia inavurugika.....

Haikuwa sawa na madhara yake wamama wameacha kulea familia sasa wanaambatana na tabia za kianaume kutokana na kuvaa mavazi ya kiume.... Na nyingine wanaume waliacha kufanya yawapasayo kufanya baada ya kuona wanawake wamevaa mavazi yao, na wao walifanya kosa kuridhika, walitakiwa wavae mavazi yao ili mwanamke abaki kwenye nafasi yake maana madhara ya kuvaa mavazi ya kiume yana package yake.

Kutoka out usiku, kwenda gym jioni na alfajiri, kwenda safari za kirafiki weekend bila familia aidha na wafanyakazi wenzie au marafiki waliosoma wote sekondari hadi chuo hatimae kuacha jukumu kubwa la kuilea na kuiangalia familia... Madhara makubwa zaidi ni mtu kuanza kuona majukumu familia yake yanambana kufanya mambo yanayoambatana na mavazi ya mwanaume aliyoyavaa.... Hence kuchepuka... Kufumaniana... Kuachana....kuuana... Watoto wa mitaani...

Wanawake vueni hayo mavazi ya waume zenu ili nao waweze kukaa kwenye nafasi zao na kutimiza wajibu wao.

Nanyi wanaume, msibweteke sababu kuna wanawake viherehere wanavaa mavazi ya kiume na kufanya wajibu wa kiume. Vaeni mavazi yenu ya kiume familia ziende sawa.

Nawatakia jumapili njema nyote mlioenda ibadani leo,na ambao hamjaenda basi endeleeni kutafakuri ujumbe huu kutoka madhabahuni.

Love you people.

Kasinde.

NB: nimeongezea nyama kidogo hapo juu na kufafanua zaidi.
 
halafu sikuelewagi kassie na swaga zako matata, hivi wewe ni mhenga au dot.com?

Nijibu tafadhali nijue kama nakusalimia shikamoo au nakupa tu hai ya kishikaji kisha nakufuata PM
 
Habari za jumapili,

Natumai nyote ni wazima wa afya, vivyo hivyo Kasie. Leo ni jumapili na kuna mahali nilienda kuibadika, meno nililotoka nalo madhabahunini hiko kichwa cha Huu uzi.

Tangu naingia shule ya jumapili aka Sunday School sikiwa nimeuelewa Huu mstari au agizo kutoka kwenye kitabu cha Mungu. Miaka yotehiyo nilikuwa najua mwanamke hatakiwi kuvaa suruali, kaptura, kunyoa panki kama mwanaume na kuvaa viatu vya kiume kwa muonekano wa macho ya nyama.

Leo, leo hii Ndo nimepata maana oligonucleotide ndani yake. Ngoja nijaribu kuelezea kama nilivosikia.

Wamama na wanawake wengi leo wanapata shida kwenye mahusiano ya ndoa zao, na waume zao au depending wao kwasababu wamevaa mavazi ya mwanaume. Matokeo yake wamemuacha mwanaume uchi......

Wamama na wanawake wa leo mambo yenu hayawaendei sawa sababu mmevaa mavazi ya wapenzi na waume zenu. Mmevaa mavazi ya kuwa vichwa kwenye familia aka being bread winner. Mmevaa mavazi ya kuibeba familia na ukoo kiasi kwamba ikitokea shida unatafutwa wewe mwanamke badala ya mwanamme kwenye familia. Uzuri Mungu aligawa majukumu kati ya mme na mke, na ambaye hakutimiza wajibu wake aliadhibiwa kwa nafasi yake na suluhisho halikuwa kuchukua jukumu la mwenzio ili maisha yaende.

Najua wapo wataosema huyo mhubiri anakumbatia mfumo dume, hizi sana za siku hizi mjumuiko wa majukumu no kisaidiana....n.k n.k. Ila twende mbele turudi nyuma, mambo yamevurugika huko mitaani, familia zimekuwa tafrani. Aidha sababu wanaume waliacha kutimiza wajibu wao ikasababisha wanawake kuvaa mavazi yampasayo mwanaume..... Haikuwa sawa na madhara yake wamama wameacha kulea familia sasa wanaambatana na tabia za kianaume.... Na nyingine wanaume waliacha kufanya yawapasayo kufanya baadae ya kuona wanawake wamevaa magazine yao, na wao walifanya kosa kuridhika maana madhara yake ni kuwa mavazi ya kiume yana package yake.

Kutoka out usiku, kwenda gym jioni na alfajiri, kwenda safari za kirafiki weekend bila familia aidha na wafanyakazi wenzie au marafiki waliosoma wote sekondari hadi chuo.... Madhara makubwa zaidi ni mtu kuanza kuona majukumu familia yake yanambana kufanya mambo yanayoambatana na mwanaume.... Hence kuchepuka... Kufumaniana... Kuachana....kuuana... Watoto wa mitaani...

Wanawake vueni hayo mavazi ya waume zenu ili nao waweze kukaa kwenye nafasi zao na kutimiza wajibu wao.

Nawatakia jumapili njema nyote mlioenda ibadani leo,na ambao hamjaenda basi endeleeni kutafakuri ujumbe huu kutoka madhabahuni.

Love you people.

Kasinde.

maxresdefault.jpg
 
Kama kuvaa kaptura,suruali,mashati,boots,kwenda gym asbh na jioni,kutoka usiku, kushiriki weekends na marafiki ni uanaume,
BASI NAOMBA NITAMBULIKE KAMA MWANAUME KUANZIA UZI HUU UNAPOMALIZIKA!!
but wait a minute!!
MBONA JINSIA ZETU NI ZAIDI YA MAVAZI NA RATIBA ZETU ZA SIKU?
 
Siku nikiona mwanamke amekojoa huku kasimama nami nitaanza kuvaa sketi zao.

Hili la uvaaji wa mavazi ya kiume limechelewa na kwa sasa halitawezekana KAMWE.


Naona hujalipata neno lililotoka madhabahuni, mavazi ya kiume yaliyomaanishwa hapa sio suruali na kaptura au kunyoa kiduku na bali ni hali ya mwanamke kubeba na kufanya majukumu ya kiume ambapo mwanaume kwenye familia anakuta mwanamke ameshafanya kila kitu, mwisho mwanamke anaanza kuwa na kibesi kwenye familia.

Sasa hapo pa kungoja mwanamke akojoe huku amesimama..... Actually wapo maana wachina wameleta vipira wanawake wanabandika hapa mbele katikati halafu anaachia chururu kama mwanaume huku amesimama. Hiyo waliwatengenezea wale malesbian na wanawake wanapotoka out kwenye vyoo vya public wasipate magonjwa ya kuambukiza kwa kujisaidia wakiwa wamechuchumaa.....

Natumai umeelewa sasa..... Na nina imani umevaa mavazi yako ya kiume barabara....
 
halafu sikuelewagi kassie na swaga zako matata, hivi wewe ni mhenga au dot.com?

Nijibu tafadhali nijue kama nakusalimia shikamoo au nakupa tu hai ya kishikaji kisha nakufuata PM

Kama hadi saa hizi hujamuelewa Kasie, basi Ndo yuko hivo haelewekagi hehehhrhrhr
Actually sio siri Kasie ni kizee cha kukaribia kustaafu, hapo ng'amua unatakiwa umsalimiaje.

Kasie Matata.
 
Habari za jumapili,

Natumai nyote ni wazima wa afya, vivyo hivyo Kasie. Leo ni jumapili na kuna mahali nilienda kuibadika, neno nililotoka nalo madhabahuni ni hiko kichwa cha huu uzi.

Tangu naingia shule ya jumapili aka Sunday School sikuwa nimeuelewa huu mstari au agizo kutoka kwenye kitabu cha Mungu. Miaka yotehiyo nilikuwa najua mwanamke hatakiwi kuvaa suruali, kaptura, kunyoa panki kama mwanaume na kuvaa viatu vya kiume kwa muonekano wa macho ya nyama.

Leo, leo hii ndio nimepata maana iliyo ndani yake. Ngoja nijaribu kuelezea kama nilivosikia.

Wamama na wanawake wengi leo wanapata shida kwenye mahusiano ya ndoa zao, na waume zao au wapenzi wao kwasababu wamevaa mavazi ya mwanaume. Matokeo yake wamemuacha mwanaume uchi......

Wamama na wanawake wa leo mambo yenu hayawaendei sawa kwenye familia na mahudiano sababu mmevaa mavazi yawapasayo wapenzi na waume zenu. Mmevaa mavazi ya kuwa vichwa kwenye familia aka being bread winner. Mmevaa mavazi ya kuibeba familia na ukoo kiasi kwamba ikitokea shida unatafutwa wewe mwanamke badala ya mwanamme kwenye familia. Uzuri Mungu aligawa majukumu kati ya mme na mke, na ambaye hakutimiza wajibu wake aliadhibiwa kwa nafasi yake na suluhisho halikuwa kuchukua jukumu la mwenzio ili maisha yaende bali kumkumbusha atimize wajibu wake ili nawe ufanye lako.
Kuna methali inasema mshika mawili moja humponyoka, najua wako wake wanaokaba kote Yaani kama baba na kama mamana amefaulu je ni wangapi? Wengi wao wamefeli na kujikuta wanabanwa na vazi la kiume ilhali wao ni wanawake.

Najua wapo wataosema huyo mhubiri anakumbatia mfumo dume, hizi zama za siku hizi mjumuiko wa majukumu ni kusaidiana....n.k n.k. Ila twende mbele turudi nyuma, mambo yamevurugika huko mitaani, familia zimekuwa tafrani. Aidha sababu wanaume waliacha kutimiza wajibu wao ikasababisha wanawake kuvaa mavazi yampasayo mwanaume na wao wanawake wakaacha mavazi yao hayana mtu na wengine yanavaliwa na dada wa matokeo familia inavurugika.....

Haikuwa sawa na madhara yake wamama wameacha kulea familia sasa wanaambatana na tabia za kianaume kutokana na kuvaa mavazi ya kiume.... Na nyingine wanaume waliacha kufanya yawapasayo kufanya baada ya kuona wanawake wamevaa mavazi yao, na wao walifanya kosa kuridhika, walitakiwa wavae mavazi yao ili mwanamke abaki kwenye nafasi yake maana madhara ya kuvaa mavazi ya kiume yana package yake.

Kutoka out usiku, kwenda gym jioni na alfajiri, kwenda safari za kirafiki weekend bila familia aidha na wafanyakazi wenzie au marafiki waliosoma wote sekondari hadi chuo hatimae kuacha jukumu kubwa la kuilea na kuiangalia familia... Madhara makubwa zaidi ni mtu kuanza kuona majukumu familia yake yanambana kufanya mambo yanayoambatana na mavazi ya mwanaume aliyoyavaa.... Hence kuchepuka... Kufumaniana... Kuachana....kuuana... Watoto wa mitaani...

Wanawake vueni hayo mavazi ya waume zenu ili nao waweze kukaa kwenye nafasi zao na kutimiza wajibu wao.

Nanyi wanaume, msibweteke sababu kuna wanawake viherehere wanavaa mavazi ya kiume na kufanya wajibu wa kiume. Vaeni mavazi yenu ya kiume familia ziende sawa.

Nawatakia jumapili njema nyote mlioenda ibadani leo,na ambao hamjaenda basi endeleeni kutafakuri ujumbe huu kutoka madhabahuni.

Love you people.

Kasinde.

NB: nimeongezea nyama kidogo hapo juu na kufafanua zaidi.
Nimelikubali andiko lako Mama

Ila kwasisi Waislam,wanaoujua Uislam wao,
Uislam umetufunza yote hayo,si halali kwa mwanaume kuvaa vazi la mwanamke na mwanamke kuvaa vazi la mwanaume
Hapa kwa maana zote
Vazi kwa maana ya vazi
kadhalika vazi kwa maana ya majukumu


Ubarikiwe sana Mama Kasie

Ila wengi wa wanaume na wanawake wa zama hizi,wanajitoa akili na kujifananisha na wanyama
mpaka wengi wetu,tukiwabeza wale waliopita katika Babu zetu na Bibi zetu
kwamba wao wamepitwa na wakati,wao ni wa kale

Kwa maneno haya
tukasahau busara zao na hekima zao
tukasahau maisha yao yaliyojaa mafanikio na utulivu wa hali ya juu


kwa kule sisi,kujifanya ni wajuaji sana zaidi yao

Watabaki wao kuwa ni bora kuliko sisi,hata kama hawajui hata ndege na tv
 

Hahahahhahaaahahahaaa
Baby Lacosteee Wooow
Look look baby the Lacoste is so big aahahahahahahahahahhaaa

Ntakupandisha na wewe hapo juu halafu mie ntalala hapo ndani ya mdomo aahahahahhaahaaaaa Lacosteee.

Baby Lacostee Mmuah!!
 
Kama kuvaa kaptura,suruali,mashati,boots,kwenda gym asbh na jioni,kutoka usiku, kushiriki weekends na marafiki ni uanaume,
BASI NAOMBA NITAMBULIKE KAMA MWANAUME KUANZIA UZI HUU UNAPOMALIZIKA!!
but wait a minute!!
MBONA JINSIA ZETU NI ZAIDI YA MAVAZI NA RATIBA ZETU ZA SIKU?

Snow, nahisi hujapata ujumbe wa madhabahuni barabara.
Mwanamke kuvaa mavazi yampasayo mwanaume si kuvaa nguo hizi za kufunga vifungo na zipu. Mwanzoni nami nilidhani hivyo ila maana iliyo nyuma yake ni kuwa, pale mwanamke anapoanza kufanya majukumu yampasayo mwanaume na akaacha majukumu yake ya kike........ Natumai ukiwaza hapo utakuwa umepata kilichotoka madhabahuni.
 
Nimelikubali andiko lako Mama

Ila kwasisi Waislam,wanaoujua Uislam wao,
Uislam umetufunza yote hayo,si halali kwa mwanaume kuvaa vazi la mwanamke na mwanamke kuvaa vazi la mwanaume
Hapa kwa maana zote
Vazi kwa maana ya vazi
kadhalika vazi kwa maana ya majukumu


Ubarikiwe sana Mama Kasie

Ila wengi wa wanaume na wanawake wa zama hizi,wanajitoa akili na kujifananisha na wanyama
mpaka wengi wetu,tukiwabeza wale waliopita katika Babu zetu na Bibi zetu
kwamba wao wamepitwa na wakati,wao ni wa kale

Kwa maneno haya
tukasahau busara zao na hekima zao
tukasahau maisha yao yaliyojaa mafanikio na utulivu wa hali ya juu


kwa kule sisi,kujifanya ni wajuaji sana zaidi yao

Watabaki wao kuwa ni bora kuliko sisi,hata kama hawajui hata ndege na tv

Uko sawakabisa, hiyo ndo maana iliyomaanishwa. Tuko pamoja basi nafikiri cha kufanya ni kuendelea kuelimishana hadi pale walau asilimia 20 warudi kuwa kwenye mstari na hatimaye kizazi chote.
 
Siku nikiona mwanamke amekojoa huku kasimama nami nitaanza kuvaa sketi zao.

Hili la uvaaji wa mavazi ya kiume limechelewa na kwa sasa halitawezekana KAMWE.
Njoo huku kwetu wako wengi mkuu,ila nakusikitikia jinsi utakavyovaa sketi sijui utafanana vipi mkuu..!!
 
Kama hadi saa hizi hujamuelewa Kasie, basi Ndo yuko hivo haelewekagi hehehhrhrhr
Actually sio siri Kasie ni kizee cha kukaribia kustaafu, hapo ng'amua unatakiwa umsalimiaje.

Kasie Matata.
sawa mkuu, naona kama unaweza kuwa comedian mzuri
 
Nimekupenda bure kasie. Ukiona mwanamke anavaa mavazi ya kiume, ujue roho ya yezebeli inamtafuna huyo mwanamke. Man is always a master of a woman
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom