Sioni kama ni sahihi kwa sisi waafrika tunafanya kitu sahihi kumshangilia DonaldTrump. Hakuna maneno yake mengi yamejaa chuki na hayana uhalisia.
Ebu tuangalie mfano huu. Trump anasema sisi waafrika ni wazuri kwenye sex na yeye mwenye ameshaoa na kuacha mara tatu anatafuta nini? Mbaya zaidi mara ya mwisho( 2005)ameenda kuoa binti mdogo ambaye anawezae hata akamwita babu lakini bado anaona yeye siyo mpenda wa sex huku akendelea luxurious maneno makali sisi. Anatuhuma za kuwazalilisha wanawake kijinsia huko siyo kupenda sex?
Wakuu nimeamini aliyesema nyani hanoi..... hajakosea.
Wazungu wanazidi kutudhalilisha cha ajabu dada zetu wanapenda sana wafanane nap kwa kujichubua na kuvaa mawigi na manywele ya wafu huko Amerika na Ulaya.
Ebu tuangalie mfano huu. Trump anasema sisi waafrika ni wazuri kwenye sex na yeye mwenye ameshaoa na kuacha mara tatu anatafuta nini? Mbaya zaidi mara ya mwisho( 2005)ameenda kuoa binti mdogo ambaye anawezae hata akamwita babu lakini bado anaona yeye siyo mpenda wa sex huku akendelea luxurious maneno makali sisi. Anatuhuma za kuwazalilisha wanawake kijinsia huko siyo kupenda sex?
Wakuu nimeamini aliyesema nyani hanoi..... hajakosea.
Wazungu wanazidi kutudhalilisha cha ajabu dada zetu wanapenda sana wafanane nap kwa kujichubua na kuvaa mawigi na manywele ya wafu huko Amerika na Ulaya.