hapana wakosea:umemsahau Sitta ,mpe heshima yake bana,,lakini ni kwamba watu kama hawa hawapewi nafasi ccm.ccm hawana watu wenye upeo wa kuona mbali.
Yani kwa ujumla jana star Tv walipambanisha mlima kilimanjaro na kichuguu, Ngugai amedhihirisha kuwa ni layman.
Kwa maoni yangu naona haikuwa sahihi kumpambanisha Mnadhimu Mkuu wa Chadema Bungeni Tundu Lissu na Naibu Spika, Job Ndugai kwani nafasi zao hazilingani.
Ilitakiwa Lissu angepambanishwa na mwenzake katika nafasi kama yake Bungeni, yaani Mnadhimu wa CCM.
Kwa kuwapambanisha Lissu na Ndugai, wananchi tayari wameshaona kwa nini huyo Naibu Spika ana upendeleo kwa wana-CCM wenzake (wabunge wa CCM) ndani ya Bunge, kwani tayari kishaonyesha chuki za waziwazi dhidi ya chama hicho kama vile kuvaa kwao magwanda yanayoashiria shari na mapambano (kwa muono wake).
Kuanzia sasa Watanzania watakuwa na kila sababu ya kumuona naibu Spika huyo kuwa si mtu wa kutenda haki Bungeni, nah ii ni plus kubwa kwa wapinzani, hasa Chadema.
Tayari Ndugai kisha onyesha rangi zake halisi hata akiwa ndani ya yale majoho, kwani mavazi huwa hayabadilishi tabia ya mtu.
Nashangaa kwa nini CCM walimruhusu Ndugai kukubali kufanya ule mdahalo.
Hilo onyo limekaa njema.Kale kasafiri ka kwenda UK kalimpandisha chati ndani ya ccm na wakaona anafaa kusimama na TL, JN jana alisimama kama mbunge wa ccm na si spika wa BLJMT, kauli zake dhidi ya cdm zilikuwa zimejaa chuki na ni kama alikuwa akipanic na hivyo kushindwa kujibu hoja ama kusema yanayostahili.<br />
Kwa upande wa TL mwanzoni alitaka kujifagilia sana lkn baadae alirudi na kuwa objective sana na hii ilikuwa ni bonge la credit kwa cdm bungeni na kwake kama mnadhimu.<br />
Namna walivyohitimisha mjadala wao utagundua kuwa ushindi wote aliondokanao TL na aibu ya wazi ilikuwa kwa JN, siku nyingine anapaswa (JN) kuwa makini na kukontroo emotions zake hasa anaposimama kama n/spika lakini akisimama kama mbunge wa ccm hakuna shida kwani akili zao tunazijua.<br />
<font color="#008000"><font size="4"><span style="font-family: arial black"><b>ONYO: Usifikirie, kutenda na kuamua kama mbunge wa CCM</b></span></font></font>
Kwa maoni yangu naona haikuwa sahihi kumpambanisha Mnadhimu Mkuu wa Chadema Bungeni Tundu Lissu na Naibu Spika, Job Ndugai kwani nafasi zao hazilingani.
Ilitakiwa Lissu angepambanishwa na mwenzake katika nafasi kama yake Bungeni, yaani Mnadhimu wa CCM.
Kwa kuwapambanisha Lissu na Ndugai, wananchi tayari wameshaona kwa nini huyo Naibu Spika ana upendeleo kwa wana-CCM wenzake (wabunge wa CCM) ndani ya Bunge, kwani tayari kishaonyesha chuki za waziwazi dhidi ya chama hicho kama vile kuvaa kwao magwanda yanayoashiria shari na mapambano (kwa muono wake).
Kuanzia sasa Watanzania watakuwa na kila sababu ya kumuona naibu Spika huyo kuwa si mtu wa kutenda haki Bungeni, nah ii ni plus kubwa kwa wapinzani, hasa Chadema.
Tayari Ndugai kisha onyesha rangi zake halisi hata akiwa ndani ya yale majoho, kwani mavazi huwa hayabadilishi tabia ya mtu.
Nashangaa kwa nini CCM walimruhusu Ndugai kukubali kufanya ule mdahalo.
Kwa maoni yangu naona haikuwa sahihi kumpambanisha Mnadhimu Mkuu wa Chadema Bungeni Tundu Lissu na Naibu Spika, Job Ndugai kwani nafasi zao hazilingani.
Ilitakiwa Lissu angepambanishwa na mwenzake katika nafasi kama yake Bungeni, yaani Mnadhimu wa CCM.
Kwa kuwapambanisha Lissu na Ndugai, wananchi tayari wameshaona kwa nini huyo Naibu Spika ana upendeleo kwa wana-CCM wenzake (wabunge wa CCM) ndani ya Bunge, kwani tayari kishaonyesha chuki za waziwazi dhidi ya chama hicho kama vile kuvaa kwao magwanda yanayoashiria shari na mapambano (kwa muono wake).
Kuanzia sasa Watanzania watakuwa na kila sababu ya kumuona naibu Spika huyo kuwa si mtu wa kutenda haki Bungeni, nah ii ni plus kubwa kwa wapinzani, hasa Chadema.
Tayari Ndugai kisha onyesha rangi zake halisi hata akiwa ndani ya yale majoho, kwani mavazi huwa hayabadilishi tabia ya mtu.
Nashangaa kwa nini CCM walimruhusu Ndugai kukubali kufanya ule mdahalo.