britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Miaka ya 1974 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam wakati huo bwana Rwegasira, aliwafukuza wanawake wanaojiuza jijini Dar es salaam, na kuwapandisha magari wahaya waliojiuza kwenda Bukoba na mikoa mingine kama wachaga na wasukuma kwenda kwao,
Nyerere akiwa rais alimuita na kumhoji maswali yafuatayo
1.Unawafukuza umewahoji kujua matatizo yao?
2.Pili unapowafukuza unasababisha kukaribisha mazingira ya kubaka wake zenu,
3. Je kuwarudisha kwao ndo mazingira sahihi ya kuwafanya waache?
Nimeyapata kwenye gazeti Moja la Miaka ya 70 kwenye maktaba moja,
Nimejiuliza sana maswali mengi kumbe hajaanza makonda mambo haya
Nitaweka gazeti la serikali mwaka 1974 lililozungumzia habari hiyo soon
Britannica
Nyerere akiwa rais alimuita na kumhoji maswali yafuatayo
1.Unawafukuza umewahoji kujua matatizo yao?
2.Pili unapowafukuza unasababisha kukaribisha mazingira ya kubaka wake zenu,
3. Je kuwarudisha kwao ndo mazingira sahihi ya kuwafanya waache?
Nimeyapata kwenye gazeti Moja la Miaka ya 70 kwenye maktaba moja,
Nimejiuliza sana maswali mengi kumbe hajaanza makonda mambo haya
Nitaweka gazeti la serikali mwaka 1974 lililozungumzia habari hiyo soon
Britannica