Haijawahi kutokea Simba na Yanga zikawa na ubora sawa

Mshuza2

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
11,007
16,413
Kwa wale wanaofuatilia soka mtakubaliana nami kwamba haijawahi kutokea hizi timu mbili kubwa zote kwa pamoja ziwe na ubora sawa.
Hii miaka minne iliyopita Simba alitawala soka la Tanzania na Yanga alikua anasemwa kiasi kwamba walishazoea hali hiyo.
Najua kuna watu watasema ubora wa timu au ufadhili wa makampuni kama GSM nk..umefanya ligi kuwa ngumu..lakini ikumbukwe hizi timu mbili kubwa hazina njaa ya udhamini kiasi cha kufanya timu iyumbe.
Ni wakati wa Yanga kuwa juu kama ilivyokua kwa Simba...kuimba kupokezana.
 
Kwa wale wanaofuatilia soka mtakubaliana nami kwamba haijawahi kutokea hizi timu mbili kubwa zote kwa pamoja ziwe na ubora sawa.
Hii miaka minne iliyopita Simba alitawala soka la Tanzania na Yanga alikua anasemwa kiasi kwamba walishazoea hali hiyo.
Najua kuna watu watasema ubora wa timu au ufadhili wa makampuni kama GSM nk..umefanya ligi kuwa ngumu..lakini ikumbukwe hizi timu mbili kubwa hazina njaa ya udhamini kiasi cha kufanya timu iyumbe.
Ni wakati wa Yanga kuwa juu kama ilivyokua kwa Simba...kuimba kupokezana.
Ni kweli kabisa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa wale wanaofuatilia soka mtakubaliana nami kwamba haijawahi kutokea hizi timu mbili kubwa zote kwa pamoja ziwe na ubora sawa.
Hii miaka minne iliyopita Simba alitawala soka la Tanzania na Yanga alikua anasemwa kiasi kwamba walishazoea hali hiyo.
Najua kuna watu watasema ubora wa timu au ufadhili wa makampuni kama GSM nk..umefanya ligi kuwa ngumu..lakini ikumbukwe hizi timu mbili kubwa hazina njaa ya udhamini kiasi cha kufanya timu iyumbe.
Ni wakati wa Yanga kuwa juu kama ilivyokua kwa Simba...kuimba kupokezana.
kutesa kwa zamu
 
Pesa sio kitu pekee kinachoamua ubora wa timu, simba wanasuffer kwa sababu walikosea kwenye usajili wao, wakati Yanga wanasajili wachezaji wa uhakika wao makolo aaah sorry simba wao wakasajili kwa majaribio. Lakini pia suala la umri kwa wachezaji wa mbumbumbu aaah sorry simba ni tatizo, wachezaji wengi ni overaged achana na wale wazee halisi lina onyango na wawa, we mcheki tu mzamiru mpaka ana kiualaza kwa sababu ya umri kusogea.
 
Hili jambo sijui ni kwanini. Yaani kulwa akiwa kwenye form doto anapoteza form aliyokuwa nayo hivyo hivyo kwa doto akiwa kwenye form kulwa anapoteza form aliyokuwa nayo. Ila miaka miaka minne ambayo Simba amefululiza ubingwa sikumbuki kama kuna msimu Yanga alikosa kuwa nafasi ya pili kwenye msimamo. Ila kwa Simba imekuwa hakipotea hata nafasi ya pili anaikosa
 
Mwaka 1993 Simba ilifika fainali za confederation wakati Yanga wali twaa ubingwa wa Afrika mashariki na Kati. Timu zote zilikua Bora . Haijatokea Yanga Bora kabisa Tangu Ile ya 1993 mbaka Leo.
1.Steven Memes
2. Mwanamtwa Kiwelu
3.Keny Mkapa
4. Willy Mtendawema
5.Issa Athuman
6.Method Mogela
7.Zamoyoni Mogela
8.Steven Mussa
9.Said Mwamba
10.Mohamed Hussein
11.Eddybill Lunyamila
Sub
1.Rifat Said
2.David Mwakalevela
3. Hamis Gaga
4.Abubakar Salum
5.Willy Martin
 
Mwaka 1993 Simba ilifika fainali za confederation wakati Yanga wali twaa ubingwa wa Afrika mashariki na Kati. Timu zote zilikua Bora . Haijatokea Yanga Bora kabisa Tangu Ile ya 1993 mbaka Leo.
1.Steven Memes
2. Mwanamtwa Kiwelu
3.Keny Mkapa
4. Willy Mtendawema
5.Issa Athuman
6.Method Mogela
7.Zamoyoni Mogela
8.Steven Mussa
9.Said Mwamba
10.Mohamed Hussein
11.Eddybill Lunyamila
Sub
1.Rifat Said
2.David Mwakalevela
3. Hamis Gaga
4.Abubakar Salum
5.Willy Martin
Kaka uko full..
 
Mwaka 1993 Simba ilifika fainali za confederation wakati Yanga wali twaa ubingwa wa Afrika mashariki na Kati. Timu zote zilikua Bora . Haijatokea Yanga Bora kabisa Tangu Ile ya 1993 mbaka Leo.
1.Steven Memes
2. Mwanamtwa Kiwelu
3.Keny Mkapa
4. Willy Mtendawema
5.Issa Athuman
6.Method Mogela
7.Zamoyoni Mogela
8.Steven Mussa
9.Said Mwamba
10.Mohamed Hussein
11.Eddybill Lunyamila
Sub
1.Rifat Said
2.David Mwakalevela
3. Hamis Gaga
4.Abubakar Salum
5.Willy Martin
Ni kweli kabisa, kipindi hiki timu zote mbili zilikuwa Bora kabisa
 
Ubora sawa kivip?.Ubora unapimwaje,kwasababu kama niswala la msimamo wa ligi ilo sidhani kama ni sawa kwasababu kwenye ushindani lazima kuwe na moja na mbili na hakuna nchi inakua na washindi wa kwanza wawili.Siku zote lazima kuwe na mshindi wa kwanza na wapili.Inapotokea timu imeshika nafasi ya pili haimaanishi kwamba haikua na ubora kama ya kwanza bali hayo nimambo yakanuni zakimichezo lazima kutakua nakuzidiana.Mimi naona timu zote ziko sawa kilichopo sasa ni matokeo tu ya uwanjani ambayo yanaweza kubadilika muda wowote kutegemea na ushindani wa ligi ulivyo.Na mwisho wa msimu ndo tutapata tathmini nzuri ni timu gani ilifanya vizuri zaidi kwenye kila eneo.kwasasa nimapema sana kuyazungumzia.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
.... Djigui Diara aliondoka akiacha Simba ina point 24

Anarudi anakuta Simba ina point 25

Anajiuliza Ligi ilisimama au???!!
 
Kwa wale wanaofuatilia soka mtakubaliana nami kwamba haijawahi kutokea hizi timu mbili kubwa zote kwa pamoja ziwe na ubora sawa.
Hii miaka minne iliyopita Simba alitawala soka la Tanzania na Yanga alikua anasemwa kiasi kwamba walishazoea hali hiyo.
Najua kuna watu watasema ubora wa timu au ufadhili wa makampuni kama GSM nk..umefanya ligi kuwa ngumu..lakini ikumbukwe hizi timu mbili kubwa hazina njaa ya udhamini kiasi cha kufanya timu iyumbe.
Ni wakati wa Yanga kuwa juu kama ilivyokua kwa Simba...kuimba kupokezana.
Ni YANGA SC pekee.
 
Back
Top Bottom