Haijapata kutokea: Idara ina mkurugenzi na mameneja bila wafanyakazi wengine

Kalaghesye hapa anajaribu kutuonesha mfumo wetu wa kimamlaka na kiutendaji ulivyo, na jinsi misuse of public resources ilivyo kubwa, kulingana na utafiti wake. Ni suala tu la kufanya utafiti linganifu na kuchallenge utafiti wake na si kusema ana wivu! Nadhani upande wa pili ndo una wivu na aibu kuona wanakula tu mishahara na posho wakati idara husika haina "majukumu linganifu na shughuli mama ya wizara". (Wanavuna wasichopanda)

Ndugu yangu Kingo, asant sana kwa mchango wako. Nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wanakataa kuwa ati humu ndani "Jamii Forum" kuna watu wapo kwa ajili ya kulinda maslahi yasiyo na tija kwa Taifa. Jamani tukumbuke kuwa tupo leo kwa sababu kuna watu walibakisha. Sasa sisi mbona tunakula bila kufikiria kuwa kuna watoto, wajukuu na vitukuu vyetu vinakuja.

Well, nina wivu wa kuiona nchi hii pamoja na wenye madaraka wana badilika. Naomba ieleweke kuwa mwanzo wa utafiti wangu sikulenga kukutana na matatizo. Nilikuwa nataka ku-prove a number of hypothesis za wenzetu waliotutangulia kuhusu miundo na mifumo ya taasisi .... nothing more.
 
Ni kweli kabisa mipango k. Kuna optimal staffing to every structure depending on the workload and whether it is continuous or one-time. Moja ya nilichogundua ni kuwa kutowajibika kunapelekea mlundikano wa kazi na hiyo imekuwa inatumika kuthibitisha umuhimu wa kuajiri na kuunda vitengo visivyo tija au kushabihiana na kazi kuu za mashirika yetu. Nakumbuka zamani pale BoT kulikuwa na Karakana .... ya nini? Mashirika yanajenga nyumba za wafanyakazi (hapa lazima wataweka Esate Manager).... kwanini kusiwe na Benki ya Nyumba au kama hivi sasa tuna NHC.

Kuwepo kwa NHC kumethibitisha kauli ya Dr. Slaa kuwa vifaa vya Ujenzi ni aghali. Hiyo ndiyo maana ya specialization. Naamini NHC ingekuwa kitengo ndani ya shirika la Umma basi haya yasingesemwa na hatimaye Waziri wa Ardhi na Kamati ya Bunge husika kuamua kuanza kuisemea kauli ya Dr. Slaa. Siamini kuwa Dr. Slaa alikuwa na wivu isipokuwa alisukumwa na mapenzi yake kwa nchi.

Watakaodandia hoja ya utafiti wangu wataanza kusema mimi ni CHADEMA ... no mimi ni Mtanzania. Akisema Dr. Slaa jambo la tija nitamuunga mkono na akisema Prof. Tibaijuka jambo la maana nitamuunga mkono.
 
Ndugu TRA itakuwa hawausiki ama umewasahau?

siyo TRA tu mbona kampuni ya simu (TTCL) hajaitaja? nafikiri hii ndio inaongoza kwa muundo mmbovu kabisa ndio maana toka uhuru hili shirika haliend kokote limekuwa shmba la bibi. makampuni ya simu yamekuja juzi juzi tu lakini yako juu ttcl wap bado wanasindikiza wenzao tu.
kalaghesye hebu tembelea na hapo ttcl kwa mzee said said utupe dondoo
 
siyo TRA tu mbona kampuni ya simu (TTCL) hajaitaja? nafikiri hii ndio inaongoza kwa muundo mmbovu kabisa ndio maana toka uhuru hili shirika haliend kokote limekuwa shmba la bibi. makampuni ya simu yamekuja juzi juzi tu lakini yako juu ttcl wap bado wanasindikiza wenzao tu.
kalaghesye hebu tembelea na hapo ttcl kwa mzee said said utupe dondoo

Asante kwa lead nyingine ndugu yangu Jiwe Linaloishi. Kwa taarifa yako pale TTCL niliambiwa ati nimetumwa. Nimewaomba MISA-TAN wawatembelee kwenye ule mpango wao wa utoaji taarifa kwa umma kwani Muundo wa shirika tena shirika la Umma sio siri. Hata hivyo nimekwenda kwenye Wizara husika na nimeanza kupata makabrasha.
 
Asante kwa lead nyingine ndugu yangu Jiwe Linaloishi. Kwa taarifa yako pale TTCL niliambiwa ati nimetumwa. Nimewaomba MISA-TAN wawatembelee kwenye ule mpango wao wa utoaji taarifa kwa umma kwani Muundo wa shirika tena shirika la Umma sio siri. Hata hivyo nimekwenda kwenye Wizara husika na nimeanza kupata makabrasha.

nashukuru mkuu kama kuna hatua umeanza kuichukua, haya mashirika yanatumia kodi za wananchi ni lazima kila kitu kiwe wazi tujue kwanini hayafanyi kazi kwa ufanisi kama kuna mchwa washughulikiwe, japokuwa serikali ndio inabemenda haya mashirika lakini ni muhimu pia ituaambie ina mpango gani na imeshachukua hatua gani mpaka sasa kuyafanya yawe na ufanisi kama TBL.

Na shirika la bima la taifa NIC nalo ni la kuangalia sana ni mojawapo ya shirika lenye mfumo mmbovu, ndio maana na lenyewe halina mafanikio wakati makampuni mengine ya bima yana fanya vyema
 
hongera kwa utafiti mzuri, mwenye akili na nayefahamu hii nchi imetoka wapi na inakwenda wapi atakuelewa
 
Back
Top Bottom