Haijakaa sawa kulipia huduma ya choo katika sehemu za huduma za jamii. Litazamwe upya

Chendembe

JF-Expert Member
Oct 20, 2019
416
462
Tumekuwa na utaratibu wa kulipia huduma ya choo katika masoko yetu, stendi za mabasi nchini.
Mimi nimekuwa najiuliza saana kuhusu utaratibu huo.

Mbaya zaidi, ni pale hata wafanyabiashara au wenye ofisi maeneo hayo wanalazimika kulipia huduma hiyo.

Inafahamika Wenyee shughuli zao katika sehemu hizo wanalipia Kodi. Wanaopata huduma sehemu hizo wananunua na kukatwa Kodi, iwaje Tena watu haohao walipishwe huduma ya choo tena?

Ukifungua shule au Zahanati, au Mgahawa nk, usipokuwa na choo unafungiwa siyooo? Kwanini mantiki hiyohiyo isitumike katika sehemu za huduma.

Halmashauri, Miji na Majiji huku sio kutoza kitu kimoja Kodi zaidi ya moja kwenye huduma moja!.

Madiwani na watunga mipango liangalieni Hilo, linadhalilisha wasiokuwa nacho na linaongeza uchafu sehemu hizo.
 
Acha ujinga wewe yaani ukaweke mimavi yako pale bure, usitumie maji etc na huyo atakayekuwa anakuflashia uchafu wako analipwa na nani na baadaye kinyesi chako kikijaa nani atagharamia kuzoa , muwe na akili wakati mwingine vinginevyo ungeenda kuishi porini huko na ngedere ukijiskia kuhara unahara tu popote hata usipotawaza safi tu eboh!
 
Acha ujinga wewe yaani ukaweke mimavi yako pale bure, usitumie maji etc na huyo atakayekuwa anakuflashia uchafu wako analiowa na nani na baadaye kinyesi chako kikijaa nani atagharamia kuzoa , muwe na akili wakati mwingine vinginevyo ungeenda kuishi porini huko na ngedere ukijiskia kuhara unahara tu popote hata usipotawaza safi tu eboh!
Unaweza kuona mwenzio mjinga ikawa kinyume. Pesa wanaofagia, walinzi, viongozi wa masoko, na watoza ushuru maeneo hayo wanalipwa na chanzo gani?
U'r a big Beetle
 
Tumekuwa na utaratibu wa kulipia huduma ya choo katika masoko yetu, stendi za mabasi nchini.
Mimi nimekuwa najiuliza saana kuhusu utaratibu huo.

Mbaya zaidi, ni pale hata wafanyabiashara au wenye ofisi maeneo hayo wanalazimika kulipia huduma hiyo.

Inafahamika Wenyee shughuli zao katika sehemu hizo wanalipia Kodi. Wanaopata huduma sehemu hizo wananunua na kukatwa Kodi, iwaje Tena watu haohao walioishwe huduma ya choo tena?

Ukifunguwa shule au Zahanati, au Mgahawa nk, usipokuwa na choo unafungiwa siyooo? Kwanini mantiki hiyohiyo isitumike katika sehemu za huduma.

Halmashauri, Maji na Majiji huku sio kutoza kitu kimoja Kodi zaidi ya moja kwenye huduma moja!.

Madiwani na watunga mipango liangalieni Hilo, linadhalilisha wasiokuwanacho na linaongeza uchafu sehemu hizo.
We humjui mswahili ww jiulize mjin watu wanafunga vyoo na funguo mswahili ni mchafu
 
We humjui mswahili ww jiulize mjin watu wanafunga vyoo na funguo mswahili ni mchafu
Kaka hata ukisafiri airport kubwa za wenzetu bado kunakuwaga na uchafu sema wenzetu wanahakikisha kuna msimamizi wa usafi muda wote huwezi kukutana na uchafu hata kidogo Ila unajua kwenye public hauwezi kukosa watu waliokosa ustaarabu popote pale ulimwenguni.

Yani ungekuwa hivyo pale Dubai airport usingekuta wale wahindi wanapiga deki kila muda na kusafiaha vyoo kila dakika.

Tatizo huku kwetu ukishaweka choo ndio unataka kijisafishe chenyewe hii haiwezekani lazima Kuna kauchafu katabaki tu ambao itahitajika mtu asafishe otherwise ukilundikana inakuwa tatizo.

Pia uwepo wa mtu huwa inasaidia mtumiaji wa choo kuwa makini kidogo.
 
Acha ujinga wewe yaani ukaweke mimavi yako pale bure, usitumie maji etc na huyo atakayekuwa anakuflashia uchafu wako analiowa na nani na baadaye kinyesi chako kikijaa nani atagharamia kuzoa , muwe na akili wakati mwingine vinginevyo ungeenda kuishi porini huko na ngedere ukijiskia kuhara unahara tu popote hata usipotawaza safi tu eboh!
umesoma mada?umeelewa nini
 
Nionavyo mimi ni bora huduma ya vyoo ikitolewa na watu binafsi kama sasa - ili kuwe na unafuu katika usafi. Taasisi za umma zikiendesha vyoo yamkini kubwa ni kwamba usafi utakuwa janga.
 
Acha ujinga wewe yaani ukaweke mimavi yako pale bure, usitumie maji etc na huyo atakayekuwa anakuflashia uchafu wako analipwa na nani na baadaye kinyesi chako kikijaa nani atagharamia kuzoa , muwe na akili wakati mwingine vinginevyo ungeenda kuishi porini huko na ngedere ukijiskia kuhara unahara tu popote hata usipotawaza safi tu eboh!
We jamaa inaonekana hupendagi ujinga kabisa eti ukijisikia kuhara
 
Mi naona ni sahihi tu kukilipia hii huduma hasa masokoni, nafikiri ingekuwa tu hovyohovyo mtu anaingia kupata huduma wala halipii na hakuna msimamizi wa eneo lile Aisee Hali ingekuwa mbaya sana maeneo yale, Hawa watu wanaosimamia pale na kupokea hela za malipo kwa wanaojisaidia wamekuwa ndo wasimamizi wanaohakikisha hali inakuwa shwari mule ndani, Cha kufanya labda tu ungesema Bei ipungue maana Kuna mahali kupata hio huduma Hadi sh.500, basi iwe sh.200 maeneo yote ya masoko.
 
Nionavyo mimi ni bora huduma ya vyoo ikitolewa na watu binafsi kama sasa - ili kuwe na unafuu katika usafi. Taasisi za umma zikiendesha vyoo yamkini kubwa ni kwamba usafi utakuwa janga.
Swala litakua palepale nani atahakikisha panakua pasafi mfano mzuri tuangalie vyoo vinavyotoa huduma bure mfano Hospitali na mashuleni hata vyuoni mara nyingi vinakua vichafu sana shida yetu kubwa wanadamu nasi ni kama wanyama tu kuna watu anaweza akarundika kinyesi hapo na akatoka kaacha tu hivyo na akaona kawaida so point ya kulipia imesimamia katika misingi ya kuhakikisha panakua safi
 
Acha ujinga wewe yaani ukaweke mimavi yako pale bure, usitumie maji etc na huyo atakayekuwa anakuflashia uchafu wako analipwa na nani na baadaye kinyesi chako kikijaa nani atagharamia kuzoa , muwe na akili wakati mwingine vinginevyo ungeenda kuishi porini huko na ngedere ukijiskia kuhara unahara tu popote hata usipotawaza safi tu eboh!
Huyo jamaa ni mchafu sana yaani anataka ata tishu apewe ya bure
 
Waswahiliiiiiii huwajui eee chalii yangu,hao people ni shida aiseee
Kuna mijitu ni mipumbavu sana yani
Hivyo vyoo vya bure vitajaa na kuziba baada ya siku tatu kwa uchafu mkuu,

Kumbuka hata shule uliyostudy hali ya vyoo ilikuaje au unajisahaulisha ile kimba iliyopakwa ukutani?
Haya lile zigo ulilokuta mlangoni!


Tuendelee kulipia
#no free toilet in afrikan puplic area!
 
Tumekuwa na utaratibu wa kulipia huduma ya choo katika masoko yetu, stendi za mabasi nchini.
Mimi nimekuwa najiuliza saana kuhusu utaratibu huo.

Mbaya zaidi, ni pale hata wafanyabiashara au wenye ofisi maeneo hayo wanalazimika kulipia huduma hiyo.

Inafahamika Wenyee shughuli zao katika sehemu hizo wanalipia Kodi. Wanaopata huduma sehemu hizo wananunua na kukatwa Kodi, iwaje Tena watu haohao walioishwe huduma ya choo tena?

Ukifunguwa shule au Zahanati, au Mgahawa nk, usipokuwa na choo unafungiwa siyooo? Kwanini mantiki hiyohiyo isitumike katika sehemu za huduma.

Halmashauri, Maji na Majiji huku sio kutoza kitu kimoja Kodi zaidi ya moja kwenye huduma moja!.

Madiwani na watunga mipango liangalieni Hilo, linadhalilisha wasiokuwanacho na linaongeza uchafu sehemu hizo.
Baki na mavi yako ukanye nyumbani
 
Back
Top Bottom