Chendembe
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 416
- 462
Tumekuwa na utaratibu wa kulipia huduma ya choo katika masoko yetu, stendi za mabasi nchini.
Mimi nimekuwa najiuliza saana kuhusu utaratibu huo.
Mbaya zaidi, ni pale hata wafanyabiashara au wenye ofisi maeneo hayo wanalazimika kulipia huduma hiyo.
Inafahamika Wenyee shughuli zao katika sehemu hizo wanalipia Kodi. Wanaopata huduma sehemu hizo wananunua na kukatwa Kodi, iwaje Tena watu haohao walipishwe huduma ya choo tena?
Ukifungua shule au Zahanati, au Mgahawa nk, usipokuwa na choo unafungiwa siyooo? Kwanini mantiki hiyohiyo isitumike katika sehemu za huduma.
Halmashauri, Miji na Majiji huku sio kutoza kitu kimoja Kodi zaidi ya moja kwenye huduma moja!.
Madiwani na watunga mipango liangalieni Hilo, linadhalilisha wasiokuwa nacho na linaongeza uchafu sehemu hizo.
Mimi nimekuwa najiuliza saana kuhusu utaratibu huo.
Mbaya zaidi, ni pale hata wafanyabiashara au wenye ofisi maeneo hayo wanalazimika kulipia huduma hiyo.
Inafahamika Wenyee shughuli zao katika sehemu hizo wanalipia Kodi. Wanaopata huduma sehemu hizo wananunua na kukatwa Kodi, iwaje Tena watu haohao walipishwe huduma ya choo tena?
Ukifungua shule au Zahanati, au Mgahawa nk, usipokuwa na choo unafungiwa siyooo? Kwanini mantiki hiyohiyo isitumike katika sehemu za huduma.
Halmashauri, Miji na Majiji huku sio kutoza kitu kimoja Kodi zaidi ya moja kwenye huduma moja!.
Madiwani na watunga mipango liangalieni Hilo, linadhalilisha wasiokuwa nacho na linaongeza uchafu sehemu hizo.