Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,354
- 81,742
Duh! Si mchezo.Acha ujinga wewe yaani ukaweke mimavi yako pale bure, usitumie maji etc na huyo atakayekuwa anakuflashia uchafu wako analipwa na nani na baadaye kinyesi chako kikijaa nani atagharamia kuzoa , muwe na akili wakati mwingine vinginevyo ungeenda kuishi porini huko na ngedere ukijiskia kuhara unahara tu popote hata usipotawaza safi tu eboh!