The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,374
- 12,965
Hivi hii imekaaje??
Uchaguzi unafanyika siku moja, kura zinahesabiwa wiki nzima lakini rais anaapishwa siku mmoja tu baada ya matokeo tena mbele ya wageni waalikwa kutoka nchi mbalimbali including Presidents, halafu inachukuwa zaidi ya wiki mbili kuunda serikali!!!
Uchaguzi unafanyika siku moja, kura zinahesabiwa wiki nzima lakini rais anaapishwa siku mmoja tu baada ya matokeo tena mbele ya wageni waalikwa kutoka nchi mbalimbali including Presidents, halafu inachukuwa zaidi ya wiki mbili kuunda serikali!!!