Haihusu mapenzi hii... nje ya mada mita 800 kwa spidi ya km 200/hr nisikamatwe na wenye hasira

Davion Delmonte Jr.

JF-Expert Member
Oct 27, 2013
2,149
1,710
Kama kuna mtu anaweza kunipa ufafanuzi kidogo, jinsi ya kupata passport ya kusafiri.... nimejaribu kuingia website ya wizara ya mambo ya ndani ila haifunguki kabisa... labda kama kuna mtu anaweza kunisaidia ofisi zao zilipo..... Am serious... halafu pia nahitaji ufafanuzi kama kuna yeyote alishawahi kutuma pesa kwenye taasisi yeyote iliyo nje ya nchi, Kama upo? ulitumia njia gani?... je ukitumia hizi benki zetu kama CRDB itawezekana kweli..? Then pia kama ni barua, ukienda posta huwa wanafikisha kwa wakati ama uhakika ni mpaka zile DHL....


Asanteni wakuu, halafu samahanini kwa kuwatoa mchezoni najua siyo sehemu yake ila nimeliweka huku maana kuna wadau wengi, so! msinizodoe tafadhalini leo ni Jumapili, siku takatifu hii......


Hii ni kwa hisani ya wapenda maendeleo wooote waliopo JF... .. :A S confused:
 
kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia
 
kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...
 
kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

mkuu gharama ya julipia passport ni 50000 ndio kias kinacholipwa Uhamiaji. usiudanganye Uma
 
kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60
 
Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60

mmmmmhh! mimi nililipia dirishani kwenye ofisi ya uhamiaji Kurasini.
ukishalipia taratibu zingine zinafuata muda huo huo kama vile kwenda kuchukuliwa finger prints.
 
Kama kuna mtu anaweza kunipa ufafanuzi kidogo, jinsi ya kupata passport ya kusafiri.... nimejaribu kuingia website ya wizara ya mambo ya ndani ila haifunguki kabisa... labda kama kuna mtu anaweza kunisaidia ofisi zao zilipo..... Am serious... halafu pia nahitaji ufafanuzi kama kuna yeyote alishawahi kutuma pesa kwenye taasisi yeyote iliyo nje ya nchi, Kama upo? ulitumia njia gani?... je ukitumia hizi benki zetu kama CRDB itawezekana kweli..? Then pia kama ni barua, ukienda posta huwa wanafikisha kwa wakati ama uhakika ni mpaka zile DHL....


Asanteni wakuu, halafu samahanini kwa kuwatoa mchezoni najua siyo sehemu yake ila nimeliweka huku maana kuna wadau wengi, so! msinizodoe tafadhalini leo ni Jumapili, siku takatifu hii......


Hii ni kwa hisani ya wapenda maendeleo wooote waliopo JF... .. :A S confused:

ni pm nitakuelekeza namna ya kupata passport kama utakuwa hujapata majibu ya kutosha kwa wengine. mambo ya pesa, sijui lolote!
 
mkuu gharama ya julipia passport ni 50000 ndio kias kinacholipwa Uhamiaji. usiudanganye Uma

samahani wangu ujue mie nllipa 60 as nakumbuka alisema gharama anasema analipia nusu bank nusu yakwake usumbufu now nimekumbuka baadae kuna mtu wangu wa karibu akamuongezea 40.
Yaani imetake mda mpaka kuja kukumbuka.
As for usd 100 mdogo wangu anayenifata aliitengeneza as ilikuwa urgently needed.
Mentor uzuri ni kwamba sijui ila wengi ninaokutana nao mpaka kuwajua hao tunakuwa tunahitaji passport haraka.
Mie mwenyewe hapa nimepoteza lipassport langu nishareport police ila sijui ile kutengeneza tangazo magazeti ya serikali sijafanya sijaanza kufatilia mpya.Reason kwa sasa sina mpango wa kutumia passoprt ila ikitokea issue yoyote inayohitaji passport ndo hapo sasa naanza kuitafuta kwa presha na kwa gharama kubwa.
 
Last edited by a moderator:
Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60

mambo ya uhamiaji sijui ngoja waje magumu wangu mzunguko hutoshangaa wakakuambia file limepotea na lile lifoleni lake balaa.
Ndo maana watu wamejiajiri kwa kutengeneza mianya ya kujipatia ajira.
 
mambo ya uhamiaji sijui ngoja waje magumu wangu mzunguko hutoshangaa wakakuambia file limepotea na lile lifoleni lake balaa.
Ndo maana watu wamejiajiri kwa kutengeneza mianya ya kujipatia ajira.

True wangu, za kuamka?
 
Take care nasikia harufu ya kutapeliwa.

Mama Mchungaji nakuheshimu sana na nilipoanza kuisoma tu hii thread I felt the same. Mpwa wetu anatapeliwa hapa. Please kuweni makini. Or else Mpwa wetu weka details za nini unataka kufanya utasaidiwa sana na kuepushiwa majanga
 
Kama kuna mtu anaweza kunipa ufafanuzi kidogo, jinsi ya kupata passport ya kusafiri.... nimejaribu kuingia website ya wizara ya mambo ya ndani ila haifunguki kabisa... labda kama kuna mtu anaweza kunisaidia ofisi zao zilipo..... Am serious... halafu pia nahitaji ufafanuzi kama kuna yeyote alishawahi kutuma pesa kwenye taasisi yeyote iliyo nje ya nchi, Kama upo? ulitumia njia gani?... je ukitumia hizi benki zetu kama CRDB itawezekana kweli..? Then pia kama ni barua, ukienda posta huwa wanafikisha kwa wakati ama uhakika ni mpaka zile DHL....


Asanteni wakuu, halafu samahanini kwa kuwatoa mchezoni najua siyo sehemu yake ila nimeliweka huku maana kuna wadau wengi, so! msinizodoe tafadhalini leo ni Jumapili, siku takatifu hii......


Hii ni kwa hisani ya wapenda maendeleo wooote waliopo JF... .. :A S confused:

Mpwa the way ulivyoandika ni as if umekutana na wanaejeria WA mitandao. Usitume pesa unless Una uhakika WA kitu unachokifanya....naona kama vile wanataka kukutapeli please please
 
Kama kuna mtu anaweza kunipa ufafanuzi kidogo, jinsi ya kupata passport ya kusafiri.... nimejaribu kuingia website ya wizara ya mambo ya ndani ila haifunguki kabisa... labda kama kuna mtu anaweza kunisaidia ofisi zao zilipo..... Am serious... halafu pia nahitaji ufafanuzi kama kuna yeyote alishawahi kutuma pesa kwenye taasisi yeyote iliyo nje ya nchi, Kama upo? ulitumia njia gani?... je ukitumia hizi benki zetu kama CRDB itawezekana kweli..? Then pia kama ni barua, ukienda posta huwa wanafikisha kwa wakati ama uhakika ni mpaka zile DHL....


Asanteni wakuu, halafu samahanini kwa kuwatoa mchezoni najua siyo sehemu yake ila nimeliweka huku maana kuna wadau wengi, so! msinizodoe tafadhalini leo ni Jumapili, siku takatifu hii......


Hii ni kwa hisani ya wapenda maendeleo wooote waliopo JF... .. :A S confused:

passport sio ngumu kuipata kiasi unavyofikiria,nenda ofisi za uhamiaji pale kinondoni uchukue form,ni bure kabisa,jaza form yako vizuri,kisha uende uhamiaji makao makuu pale kurasini,(ukipita kilwa road,shuka kituo cha jkt,pale jitegemee,opposite na jitegemee utaona chuo cha diplomasia,sasa kwa nyuma ya chuo cha diplomasia ndio kuna makao makuu ya uhamiaji.usisahau kwenda na passport size(sikumbuki ngapi but nenda nazo hata kama sita)utapokelewa na kushughulikiwa.
 
Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60

unaweza maliza miezi minne hujaipata, ukifata taratibu..
 
passport sio ngumu kuipata kiasi unavyofikiria,nenda ofisi za uhamiaji pale kinondoni uchukue form,ni bure kabisa,jaza form yako vizuri,kisha uende uhamiaji makao makuu pale kurasini,(ukipita kilwa road,shuka kituo cha jkt,pale jitegemee,opposite na jitegemee utaona chuo cha diplomasia,sasa kwa nyuma ya chuo cha diplomasia ndio kuna makao makuu ya uhamiaji.usisahau kwenda na passport size(sikumbuki ngapi but nenda nazo hata kama sita)utapokelewa na kushughulikiwa.

kama wewe ilikuwa rahisi usiwaaminishe na wengine kuwa ni rahisi kiivyo, mfano passport size hapa Arusha wanasehemu yao wanayopigia ukijidai unajua watakuzungusha swala la passportsize hata wiki mbili, kifupi ukitaka ufate taratibu utapata shida sana na muda
 
kama wewe ilikuwa rahisi usiwaaminishe na wengine kuwa ni rahisi kiivyo, mfano passport size hapa Arusha wanasehemu yao wanayopigia ukijidai unajua watakuzungusha swala la passportsize hata wiki mbili, kifupi ukitaka ufate taratibu utapata shida sana na muda

sikiliza mkuu,fuata normal channel halafu kama kuna mtu utampoza basi iwe mbele ya safari.sio uwende posta ukutane na dalali eti umpe hela akakutengenezee passport.kumpa mtu maji ya kunywa ili akufanyie mambo yako kwa spidi sio kitu cha ajabu hapa bongo lakini umpoze mtu aliyeko katika system,sio ukutane na dalali wa mtaa afu umpoze.fuata utaratibu mengineyo utakutana nayo njiani ukiwa ndani ya utaratibu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom