Haihusu mapenzi hii... nje ya mada mita 800 kwa spidi ya km 200/hr nisikamatwe na wenye hasira

Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...
Kwahiyo gharama za kutuma pesa ni $50 sio.... Asante sana kwa msaada mkuu
 
Rushwa haitakwisha tz

Kweli kabisa...kama kupata passport huna haja ya magumashi...kwenye ile fomu ya kuomba passport kuna requirements na procedures zote...tatizo watu ni wavivu wa kufata maelekezo wanapenda short cuts...mwokozi wao rushwa...kuna mda wanalaukiwa watumishi kwa kula rushwa...ila akitokea mtumishi mwaminifu akatae rushwa naye atabezwa kwa uaminifu wake...
 
Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...

kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia
Asante kwa msaada dadaangu, naufanyia kazi ushauri wako, mpaka wiki ijayo hivi nadhan ntakua nimeshajua exactly cha kufanya...
 
Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...

kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

mkuu gharama ya julipia passport ni 50000 ndio kias kinacholipwa Uhamiaji. usiudanganye Uma
uhamiaji wapo wapi ndugu...?
 
Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...

kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

mkuu gharama ya julipia passport ni 50000 ndio kias kinacholipwa Uhamiaji. usiudanganye Uma

Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60
Hizo ofisi za worldrimit hapa bongo zipo wapi nikawaone, maana nlikua nataka kutuma kama 100000 Tsh kwa ajili ya application flani hivi
 
Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...

kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

mkuu gharama ya julipia passport ni 50000 ndio kias kinacholipwa Uhamiaji. usiudanganye Uma

Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60

mmmmmhh! mimi nililipia dirishani kwenye ofisi ya uhamiaji Kurasini.
ukishalipia taratibu zingine zinafuata muda huo huo kama vile kwenda kuchukuliwa finger prints.
Nielekeze ofisi ilipo mkuu, kurasini sehem gani
 
Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...

kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

mkuu gharama ya julipia passport ni 50000 ndio kias kinacholipwa Uhamiaji. usiudanganye Uma

Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60

mmmmmhh! mimi nililipia dirishani kwenye ofisi ya uhamiaji Kurasini.
ukishalipia taratibu zingine zinafuata muda huo huo kama vile kwenda kuchukuliwa finger prints.

ni pm nitakuelekeza namna ya kupata passport kama utakuwa hujapata majibu ya kutosha kwa wengine. mambo ya pesa, sijui lolote!
Mpaka next week ndo ntaanza kuyafanyia kazi, kama vip ntaku pm ili niweze kufanikisha hili......
 
Hizo ofisi za worldrimit hapa bongo zipo wapi nikawaone, maana nlikua nataka kutuma kama 100000 Tsh kwa ajili ya application flani hivi

Sasa poti umequote watu wote hawa....
Ziko bank ya watu wa Zanzibar ndio agent wao kwa tanzania so likely kuchukua hela inakuwa ni hapo Dar!

Au ingia kwa mtandao www.worldrimit.com ni mtandao wa watu wa ufilipino huna haja ya kwenda bank wala kudeposit cash ni juu kwa juu tu ili mradi una master card(debit card) na passport, ukishajisajili ni raha mno unahamisha pesa toka popote duniani very cheap mfano:
Last week nimetuma $700 kwa chaji ya $18 sasa sijajua kwa currency ya huko uko itakuwaje mkuu
 
Fuata utaratibu mkuu wa kuchukua form na kujaza pale uhamiaje...thn kila kinachoitajika utaambiwa
Kama huna haraka ya nn kupita njia za mkato mkuu!!!!!
 
Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...

kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

mkuu gharama ya julipia passport ni 50000 ndio kias kinacholipwa Uhamiaji. usiudanganye Uma

Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60

mmmmmhh! mimi nililipia dirishani kwenye ofisi ya uhamiaji Kurasini.
ukishalipia taratibu zingine zinafuata muda huo huo kama vile kwenda kuchukuliwa finger prints.

ni pm nitakuelekeza namna ya kupata passport kama utakuwa hujapata majibu ya kutosha kwa wengine. mambo ya pesa, sijui lolote!

samahani wangu ujue mie nllipa 60 as nakumbuka alisema gharama anasema analipia nusu bank nusu yakwake usumbufu now nimekumbuka baadae kuna mtu wangu wa karibu akamuongezea 40.
Yaani imetake mda mpaka kuja kukumbuka.
As for usd 100 mdogo wangu anayenifata aliitengeneza as ilikuwa urgently needed.
Mentor uzuri ni kwamba sijui ila wengi ninaokutana nao mpaka kuwajua hao tunakuwa tunahitaji passport haraka.
Mie mwenyewe hapa nimepoteza lipassport langu nishareport police ila sijui ile kutengeneza tangazo magazeti ya serikali sijafanya sijaanza kufatilia mpya.Reason kwa sasa sina mpango wa kutumia passoprt ila ikitokea issue yoyote inayohitaji passport ndo hapo sasa naanza kuitafuta kwa presha na kwa gharama kubwa.
Sasa dada inaonekkana wewe unafahamu vema haya mambo, hilo la passport nadhani sasa nimeanza kulielewa, vip hayo mambo mengine ya kutuma pesa hiyo kwenye taasisi ya nje eg. mtu labda anafanya application chuo cha nje, ile application fee utaituma vip, kwa benki za hapahapa bongo au kuna other means.... halafu pia kuhusu kutuma hiyo barua eg. ikiwa ni barua ya application, unaweza kutumia posta na ikafika...
 
Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...

kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

mkuu gharama ya julipia passport ni 50000 ndio kias kinacholipwa Uhamiaji. usiudanganye Uma

Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60

mmmmmhh! mimi nililipia dirishani kwenye ofisi ya uhamiaji Kurasini.
ukishalipia taratibu zingine zinafuata muda huo huo kama vile kwenda kuchukuliwa finger prints.

ni pm nitakuelekeza namna ya kupata passport kama utakuwa hujapata majibu ya kutosha kwa wengine. mambo ya pesa, sijui lolote!

samahani wangu ujue mie nllipa 60 as nakumbuka alisema gharama anasema analipia nusu bank nusu yakwake usumbufu now nimekumbuka baadae kuna mtu wangu wa karibu akamuongezea 40.
Yaani imetake mda mpaka kuja kukumbuka.
As for usd 100 mdogo wangu anayenifata aliitengeneza as ilikuwa urgently needed.
Mentor uzuri ni kwamba sijui ila wengi ninaokutana nao mpaka kuwajua hao tunakuwa tunahitaji passport haraka.
Mie mwenyewe hapa nimepoteza lipassport langu nishareport police ila sijui ile kutengeneza tangazo magazeti ya serikali sijafanya sijaanza kufatilia mpya.Reason kwa sasa sina mpango wa kutumia passoprt ila ikitokea issue yoyote inayohitaji passport ndo hapo sasa naanza kuitafuta kwa presha na kwa gharama kubwa.

Mama Mchungaji nakuheshimu sana na nilipoanza kuisoma tu hii thread I felt the same. Mpwa wetu anatapeliwa hapa. Please kuweni makini. Or else Mpwa wetu weka details za nini unataka kufanya utasaidiwa sana na kuepushiwa majanga
Nataka kufanya application fulani ya chuo, sasa nlikua nahitaji passport, halafu kuhusu kutuma application fee pia nlikua nahitaji kujua ni kivip ntaituma.... ndo hayo tu, halafu pia kwenye kutuma ile application kwa njia ya barua, inawezekana nikatumia posta na itachukua muda gani kufika au kuna alternative?
 
Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...

kwa passport kuna mtu anatengeneza kwa elfu 60.hiyo ni pamoja na ile ya kulipia uhamiaji 30,000.within a week anakuletea cha muhimu unamfata ofcn kwake dar pale maktaba posta unajaza form na kumpa viambatanishi afu siku ya kuchukua unaenda weka vidole unaipata.
Mwingine ni dola 100 siku 2 unaipata.
Kama upo tayari wahitaji msaada nipm nikuunganishe nao afu kuhusu hela mi sijui wengine watakusaidia

mkuu gharama ya julipia passport ni 50000 ndio kias kinacholipwa Uhamiaji. usiudanganye Uma

Amu mmh "mtu anatengeneza"? Janja janja ya Tz aisee ni noma.

Fuata utaratibu nenda ofisi za uhamiaji utalipia 50,000 tu na utalipia bank na kila risit utapewa. Ila
Kwa vile nchi yetu janja janja ni nyingi unaweza usihudiwe mapema. Watu wanalipwa mshahara kwa ajilinya hiyo huduma na hawakupi aisee...

Kutuma hela ni rhs tu achana na Western union ama moneygram wote wezi tu hao, tumia mtandao unaitwa WorldRimit yani unatuma $500 kwa gharama ya $9 wkt WU ni $60

mmmmmhh! mimi nililipia dirishani kwenye ofisi ya uhamiaji Kurasini.
ukishalipia taratibu zingine zinafuata muda huo huo kama vile kwenda kuchukuliwa finger prints.

ni pm nitakuelekeza namna ya kupata passport kama utakuwa hujapata majibu ya kutosha kwa wengine. mambo ya pesa, sijui lolote!

samahani wangu ujue mie nllipa 60 as nakumbuka alisema gharama anasema analipia nusu bank nusu yakwake usumbufu now nimekumbuka baadae kuna mtu wangu wa karibu akamuongezea 40.
Yaani imetake mda mpaka kuja kukumbuka.
As for usd 100 mdogo wangu anayenifata aliitengeneza as ilikuwa urgently needed.
Mentor uzuri ni kwamba sijui ila wengi ninaokutana nao mpaka kuwajua hao tunakuwa tunahitaji passport haraka.
Mie mwenyewe hapa nimepoteza lipassport langu nishareport police ila sijui ile kutengeneza tangazo magazeti ya serikali sijafanya sijaanza kufatilia mpya.Reason kwa sasa sina mpango wa kutumia passoprt ila ikitokea issue yoyote inayohitaji passport ndo hapo sasa naanza kuitafuta kwa presha na kwa gharama kubwa.

Mama Mchungaji nakuheshimu sana na nilipoanza kuisoma tu hii thread I felt the same. Mpwa wetu anatapeliwa hapa. Please kuweni makini. Or else Mpwa wetu weka details za nini unataka kufanya utasaidiwa sana na kuepushiwa majanga

Nakuomba wasiliana na wahusika ulipie hili tangazo
Hahahahaa hiv muhusika kweli wa JF ni nani? anaitwa nani aliyeanzisha hii
 
Uko wapi? Kama ni dar fuata utaratibu wa uhamiaji kama wadau walivyokuelekeza haya mambo ya shortcut usiyasikilize . Gharama ni Tsh 50000 + zingine ndogo ndogo sana utaelekezwa hukohuko.
 
Mh we mpana huh!

Haya bana si aende tu wizara ya mambo ya ndani tu posta pale, Ohio street akachukue fomu. Shortcut zote za nn na mwenyewe wala hajasema ni urgently in need.

2. Pesa zinaweza kutumwa through our local banks ila kutakuwa na bank charges ambapo kwa crdb ni 50$. Ila uwe na akaunti nao.

Nmesahau mengine...

uhamiaji mambo ya passport kurasini.......
 
Tatizo lilopo nikuwa wengi wetu akili zetu zimejengeka kuwa kuna rushwa, kujuana na kutaka kupata huduma fulani kwa njia za mkato,
Wakati ambapo huna hata taarifa sahihi za hatua za kufuata ili upate huduma ambayo unaihitaji tayari ushawaona watu wa mtaani ambao hata mwenyewe ushaanza kuwatilia shaka.

SIKILIZA:Hakuna kitu longolongo katika tasisi ya uhamiaji sasahivi ila longolongo utaitengeneza wewe mwenyewe.

1.Jiulize unazo nyaraka zote muhimu unazohitajika kuwa nazo kuiomba hiyo pasipoti?
2.Umejaza fomu kiusahihi na kufuata taratibu zake?
3.Una sababu(Safari?) ya msingi ya kuimba hiyo pasipoti.

Kama chochote katika hivyo hakijatimia, lazima utaaelekezwa utimize, na ndio hapo tuliowengi tunasema tunatengenezewa wazingira ya kupigwa kiaina..

Na kubwa zaidi jingine zaidi huwa tuna kawaida ya kuitafuta pasipoti tukiwa katika hali ya uharaka yaani tunakurupuka tukiwa na mipango ya safari katika muda mfupi ujao,
Hapo ndipo utata unapokuja,

Mtu unataka uhamiaji waitoe pasipoti ndani ya masaa ama siku moja au mbili sasa kuhakikisha hilo linafanyika ni lazima hata hao wafanyakazi pengine wakurukishe hatua (Waharakishe) ingawa pia si utaratibu.
katika hali ya kawaida watakufanyia bure?

Kila mtu anakula sehemu yake.
Na atataka kula zaidi iwapo utamtaka mwenyewe (Kwa ushawishi wako) avunje kautaratibu ka kawaida.
Tusiwe wanafki iko hivyo.
Na hata ingekuwa wewe ungefanya hivyohivyo.

Lakini amini, kama documents zako ziko sawa, umejaza fomu vizuri na huna presha,
Ndani ya wiki mbili unaipata pasipoti yako labda itokee kuna tatizo la kiofisi na kwa kawaida huwa ikitokea hivyo inatangazwa.

Tusiishi kwa kukariri na kupotoshana- Nenda ofisi zao pale jengo la mambo ya ndani au makao makuu Kurasini jirani na chuo cha diplomasia kama umepanda daladala kutokea Kariakoo/Posta shuka kituo cha Mgulani JKT-shule.

LAH,KAMA PESA ZAKO SIO ZA MAWAZO:
BASI WAPE WATOTO WA MJINI WAKURAHISISHIE KAZI. UNAKAA NYUMBANI WANAHANGAIKA WAO.
WEWE KAZI YAKO INABAKI KWENDA KUPELEKA ALAMA ZAKO ZA VIDOLE KISHA UNALETEWA GANDA LAKO HATA BAA UKITAKA.****KUWA NA PESA RAHA NA KAMA UNAYO BASI IKUSAIDIE BASI.

.....................................................Naomba kuwakilisha.
 
Back
Top Bottom