Haihitaji shahada kujiuliza kwaniini Nyambabe wa NCCR agundue tatizo sasa?

Kilasi Mkuu

JF-Expert Member
Nov 25, 2013
2,325
719
Katika kipindi hiki kigumu kwa ccm chenye mashaka ya kutosha kurudi madarakani,ni rahisi kufikiri wanaweza kuwa nunua watu wowote katika kujaribu kudhoofisha nguvu za ukawa labda yamkini wafufue matumaini tena.Lakini hali ilivyo ni ngumu muno kuibadili.Watu wengi wenye ufahamu wa kawaida tu wana dhani nchi inahitaji mabadiliko.Magufuli hawezi kuletamabadiliko hayo katika mfumo mbovu namana hii.maana hali ilivyo ni kwamba kila furusa kwa nchi ina geuzwa kuwa dili za watu wenye mamlaka.Hata hiyo gesi ni vigumu kutusaidia chini ya ccm.Kwanza wazalishaji wa umeme wanamkataba wa kulipwa hata kama hawazalishi umeme.
Hivyo tafadhali akina Nyambabe msiturudishe nyuma Mungu ametoa nafasi hii kuwatoa hawajamaa.Msitake kuingia katika record ya kujaribu kuzuia kimbunga chenye kasi kwa mikono
 
Sababu ni moja tu,Matumaini ya kushinda ubunge jimbo la Serengeti na anona wazi kuwa ataaibishwa na mgombea wa CHADEMA.Kwa hiyo anaona bora tukose wote,apate CCM japo kwa yeye kupata vipande 30 vya fedha.
 
Ni nani huyo mbona wengine hatumjui..........?......ana wadhifa gani na wapi...........?........
 
Ni vyema WANAMAGEUZI wote mkatulia na kuwa wavumilivu sana kutumia busara Biblia inasema "shetani aachi kuzungukazunguka kama simba akitafuta mtu amumeze" CCM inahaha kuwanunua viongozi wetu nyie msijali achana na hayo yote PAMOJA TUTASHINDA.
 
Katika kipindi hiki kigumu kwa ccm chenye mashaka ya kutosha kurudi madarakani,ni rahisi kufikiri wanaweza kuwa nunua watu wowote katika kujaribu kudhoofisha nguvu za ukawa labda yamkini wafufue matumaini tena.Lakini hali ilivyo ni ngumu muno kuibadili.Watu wengi wenye ufahamu wa kawaida tu wana dhani nchi inahitaji mabadiliko.Magufuli hawezi kuletamabadiliko hayo katika mfumo mbovu namana hii.maana hali ilivyo ni kwamba kila furusa kwa nchi ina geuzwa kuwa dili za watu wenye mamlaka.Hata hiyo gesi ni vigumu kutusaidia chini ya ccm.Kwanza wazalishaji wa umeme wanamkataba wa kulipwa hata kama hawazalishi umeme.
Hivyo tafadhali akina Nyambabe msiturudishe nyuma Mungu ametoa nafasi hii kuwatoa hawajamaa.Msitake kuingia katika record ya kujaribu kuzuia kimbunga chenye kasi kwa mikono

Kugombana wagombane ukawa
Utasikia ccm wananunua watu 😂😂😂😂😂😂😂
 
Ni nani huyo mbona wengine hatumjui..........?......ana wadhifa gani na wapi...........?........
Huyu bwana nasikia ni katibu mkuu wa nccr.Niliwahi kumsikia huko nyuma akifanya fujo kumtoa Mrema nccr
 
Katika kipindi hiki kigumu kwa ccm chenye mashaka ya kutosha kurudi madarakani,ni rahisi kufikiri wanaweza kuwa nunua watu wowote katika kujaribu kudhoofisha nguvu za ukawa labda yamkini wafufue matumaini tena.Lakini hali ilivyo ni ngumu muno kuibadili.Watu wengi wenye ufahamu wa kawaida tu wana dhani nchi inahitaji mabadiliko.Magufuli hawezi kuletamabadiliko hayo katika mfumo mbovu namana hii.maana hali ilivyo ni kwamba kila furusa kwa nchi ina geuzwa kuwa dili za watu wenye mamlaka.Hata hiyo gesi ni vigumu kutusaidia chini ya ccm.Kwanza wazalishaji wa umeme wanamkataba wa kulipwa hata kama hawazalishi umeme.
Hivyo tafadhali akina Nyambabe msiturudishe nyuma Mungu ametoa nafasi hii kuwatoa hawajamaa.Msitake kuingia katika record ya kujaribu kuzuia kimbunga chenye kasi kwa mikono

Hivi walichosema kina Nyambabe siyo kweli. Chama kilichosimamisha wagombea 67 mwaka2010 sasa 2015 kimepewa majimbo 12 na hayo pia Ukawa wenzao wamesimamisha wagombea majimbo 6 siyo kukiua? Hebu kuweni realistic mpunguze mahaba muangalie jicho la tatu ili sisi ambao ni undecided tufikirie kuwapigia kura.
 
Hivi walichosema kina Nyambabe siyo kweli. Chama kilichosimamisha wagombea 67 mwaka2010 sasa 2015 kimepewa majimbo 12 na hayo pia Ukawa wenzao wamesimamisha wagombea majimbo 6 siyo kukiua? Hebu kuweni realistic mpunguze mahaba muangalie jicho la tatu ili sisi ambao ni undecided tufikirie kuwapigia kura.

Mkuu usiwaonee huruma asilani sababu wao waliona na walijua sababu dalili za vyama vingine kufubaa ilikuwa wazi kabisa. . .Angalia mikutano yao na wanavyojitambulisha wao na viongozi wao unaona kabisa kuna vitu haviko sawa. . . .

Acha vife uje upinzani wa kweli zaid
 
Ni busara na hekima kuu kwa CCM kujiandaa kisaikolojia kukubali kukabidhi dola na kuwa chama cha upinzani!
 
Back
Top Bottom