Hai: Waliorusha mawe kwenye mkutano wa Lissu mkoani Kilimanjaro wakamatwa

Mbona yule mwenyekiti wa ccm vijana, aliyekua anaongoza timu ya warusha mawe nimemuona kwa Kiriwe asubui amevaa kisuti kimembana?!
 
HIVI YULE MKUU WA WILAYA ALIYE WATUMA WATOTO WA WATU ,HAJAENDA KUWATOA????? KAMA KUNA WATU WATAENDA ICC VURUGU ZIKITOKEA NCHINI NI HUYO DC
 
Wale polisi walio act kama spectators badala ya kutimiza wajibu wao wa kulinda usalama wamechukuliwa hatua zipi?

Mkuu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama je?
Lile halikuwa tukio dogo.

Jeshi la polisi linatakiwa kutunza credibility yake, vinginevyo ni hatari sana kwa wananchi kuliona Jeshi la polisi kama kitengo ndani ya chama cha siasa kwa kuwalinda wengine na kuwapuuza wengine.
wale chadema waliokuwa na marungu mashoka na mapanga nao wasakwe wakamatwe
 
Sheria ni msumeno tunategemea kesi zote kuendeshwa kwa usawa bila kujali kazi ya mtu.

Lakini cha kushangaza huyo DC bado yupo kazini. Hii ni ishara tosha kuwa hii ni geresha tu.

HUYU DC KWA UBAYA NA UNYAMA ANAOWAFANYIA WATU WA HAI HUWA ANAISHI KWA KUJIFICHA NA KUNDI LA WALINZI AMBAO KWA STAHIKI ZA DC HANA ULINZI WA NAMNA HIYO ..HIVYO NI KUNDI LAKE LA WAHUNI NDIO ANAOZUNGUKA NAO WANAMLINDA ....NA MARA NYINGI HULALA ARUSHA ...NADRA SANA KULALA HAI...
PALE TRIPLE A ALIPATA KUMPIGA RISASI MLINZI NA WAKAONDOKA NA MWILI WAKE HADI LEO HAJAONEKANA MAHALI ......MLINZI ALIKUWA ANAINGILIA KUMSAIDIA MALAYA ALIYEKUWA ANAMDAI DC PESA BAADA YA KUMPA HUDUMA YA HARAKA HARAKA KWENYE GARI ...
 
Kama ni kweli Sabaya ndo anaratibu huo ujinga basi na yeye atakuwa hayupo sawa. Mh, Rais kila siku anatuambiwa wa Tz kuwa anataka kampeni za kistarabu sasa ustarabu wa wapi tena analeta sabaya wa kupopoa wenzake mawe.
 
Tusije sikia kwamba aliye nyuma yao ni kada wa chadema..... Maana ishazoeleka izi story za kutengenezwa ili mkosaji asafishwe kwazo....
 
Kale ka DC kanatakiwa kutolewa mara moja ka hovyo kabisa.
Kale kajamaa keusi kanaboa sana aisee, nina imani kama alivyosema RPC, kulikuwa na mtu nyuma yao, basi katakuwa ni haka kajamaa sema tu anakwepesha kwepesha.
 
Umeambiwa walikimblia Arusha ambako Godbless Lema ni Mbunge na kwao ni Hai Gari ya Lissu ilikotupiwa mawe

Ikumbukwe Arusha kwa Lema ndiko ofisi ya Chadema ilichomwa Moto.

Connect dots ni Nani alikuwa nyuma ya hao wachoma ofisi na kutupia mawe magari ya Lisu ili wapate kura za huruma na huruma ya kimataifa
#Rubbish!
#Bullshit
 
Together TunawakilishaHome

Waliorusha Mawe kwenye mkutano wa Lissu wakamatwa

Jeshi la Polisi mkoani kilimanjaro limewakata watuhumiwa 12 wanaodaiwa kufanya vurugu za kushambulia kwa mawe, mkutano wa mgombea wa Kiti cha Urais kupitia CHADEMA Tundu Lissu Wilayani Hai Mkoani humo wakati akiendelea na zoezi lake la kutafuta wadhamini.

Taarifa hiyo imetolewa hii leo Agosti 23, 2020 na Kamanda wa Polisi mkoani humo ACP Emmanuel Lukula na kusema kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 14 mwaka huu, ambapo katika mahojiano yao na vijana hao wamedai kuwa kulikuwa na mtu nyuma yao ambaye amekimbia.

"Tumetumia sana intelejensia ya Polisi ili kuwabaini hao watu waliofanya kitendo hicho cha aibu kubwa tumefanikiwa kuwapata 12, wengine tumewakamatia Arusha wanasema baada ya hilo tukio waliona kama wangerudi majumbani mwao wangekamatwa, tumewafuatilia kwa muda mrefu lakini tumeona tuwafuate walipo, mbaya zaidi wanatueleza kuwa kuna mtu aliyekuwepo nyuma yao na amekimbia" amesema Kamanda Lukula.

Aidha Kamanda Lukula ametoa angalizo na onyo kwa vijana, watakaotumika kisiasa kufanya vurugu katika mikutano mbalimbali ya vyama vya siasa mkoani kilimanjaro na kuwataka kuzingatia sheria za nchi kwa kufanya shughuli halali bila kutumiwa katika matukio

Huyu RPC siku ya tukio alisikika akisema vijana wa Chadema ndio walipiga nawe kwa vile Lissu hakutoa sera.

Tuna taka kusikia na wale polisi walio kuwa wana ruhusu warusha mawe waendelee nao wamekamatwa. Maana wana onekana kwenye clip.

Pia tuna taka kusikia Dc wa Hai hayupo kazini maana pasi na shaka yeye ndie aliwalipa wale vijana. Huu uongo uishe.

=========

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro ACP Emmanuel Lukula amesema kuwa Jeshi la Polisi mkoani humo limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 12 wanaodaiwa kufanya vurugu za kushambulia kwa mawe, mkutano wa mgombea Urais wa chama cha upinzani Chadema Tundu Lissu Wilayani Hai siku za hivi karibuni.

"Tumetumia sana intelejensia ya Polisi ili kuwabaini hao watu waliofanya kitendo hicho cha aibu kubwa tumefanikiwa kuwapata 12, wengine tumewakamatia Arusha wanasema baada ya hilo tukio waliona kama wangerudi majumbani mwao wangekamatwa, tumewafuatilia kwa muda mrefu lakini tumeona tuwafuate walipo, mbaya zaidi wanatueleza kuwa kuna mtu aliyekuwepo nyuma yao na amekimbia" amesema Kamanda Lukula leo Agosti 23, 2020

Agosti 14 mwaka huu Lissu alikwenda Mkoani Arusha kusaka wadhamini ili kukidhi masharti ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Sheria za Uchaguzi zinavyotaka, kuwa lazima upate wadhamini 200 kutoka mikoa 10 ya Tanzania.

Wakati Lissu na Msafara wake wanakaribia kufika kwenye Ofisi za Chama chake cha Chadema wilayani hai, alishambuliwa kwa mawe na genge la watu walioibuka ndani ya msafara huo.

Aliyekuwa Mbunge Arusha Mjini, Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Twitter alitoa taarifa punde baada ya tukio hilo kuwa msafara wa Tundu Lissu umevamiwa katika Ofisi za Chama hicho Wilayani Hai

"Msafara wa mgombea Urais Mh Tundu Lissu umevamiwa na kushambuliwa vibaya katika ofisi ya CHADEMA HAI,magari yame haribiwa. Mgombea Uraisi na Team yake wako salama. Polisi wako lakini wana shuhudia, mkutano umevunjika. Alisema Lema


Mkuu wa wilaya na OCD wanatafuta kiki wapande vyeo
 
Happy Ni kufunika kombe.. ili waonekane wamefanya kazi.. Sabaya anatakiwa akamatwe kwanza
 
Hawa ni kudeal nao perpendicularly tu, wakifanya hivi na wanachama wa vyama pinzani nao wafanye vile, wataonewa mpaka lini over hawako katika ncho yao?
Ni kama wanachama wa chama flani wanamamlaka ya kufanya chochote bila kukamatwa wala kukemewa
That's bullshit
Inasikitisha sana, hivi alishababu bado wapo??
 
Back
Top Bottom