OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
God forbidMatukio ya kibiti yamehamia Moshi nini??
God forbidMatukio ya kibiti yamehamia Moshi nini??
Watanzania wenye MAPENZI ya KWELI na NCHI yao wanawaona na kuwatambua kuwa KIKUBWA kwenu wapinzani ni MADARAKA ili muweze kukamilisha MALENGO na AGENDA zenu BINAFSI..... kila mwenye akili anawaona MNAVYO SHANGILIA na KUSHABIKIA MABALAA yanayotokea ... tukianza na TETEMEKO, NJAA ya Chakula, MCC, KIBITI, na SASA HAI.... kikubwa na muhimu MTASHINDWA kama MNAVYOSHINDWA siku zote..Prove it
Mwigulu Nchemba waambie polisi wako shahidi huyu hapa anazo dondoo za kuwasaidiaChadema itakuwa
Haki huzaa haki nyoka huzaa nyoka waambie na wenzioMMEKUJA Na MBINU Mpya kuifanya NCHI ISITAWALIKE.....baada ya kufeli
Kinachopandwa, ndicho kitakacho vunwa. Husitegemee kupanda bangi, uvune vanilla.
Na kupanga ni kuchagua.
Wafuasi wa Chadema ndiyo wahusika baada ya Mkuu wa Wilaya kuharibu shamba la Freeman Mbowe!!
Angalia video nikiyopost. LEMA hawezi kukwepa kama taarifa hii ni ya kweliHii nayo ni tetesi au una uhakika?
HahahAiseeee........