Hai: Kiwanda kinachotengeneza kilevi cha Faru John chathibitika kuwa na nyaraka halali tofauti na alivyosema Ole Sabaya

luangalila

JF-Expert Member
Jan 12, 2014
6,325
6,871
Kupitia taarifa ya habari ya ITV ya leo tareh 17 May202. Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kupitia ofisi zake za wilaya ya HAI zimethibitisha kiwanda kinachotengeneza kinywaji cha FARU JOHN ni halali.

Inasemwa eti aliyekuwa DC wa HAI alifunga kiwanda hicho akikituhumu kutoendesha shughuli za uzalishaji bila vibali.

My take:
Kosa hili ivi lina tofauti gani na kuhujumu uchumi wa nchi? Maana kama mamlaka ya serikal inayo simamia shughuli zote wametoa vibali vya mwekezaji sasa iweje mtu mmoja ana ibuka na kufunga kiwanda?

Je, mamlaka hii ya TRA awali wakati DC ana funga kiwanda Je mlimshauri DC juu ya maamuzi yake?
 
Mimi namshauri mwenye kiwanda afungue kesi ya madai kwa hasara aliyoingiza kipindi chote.
Hata mm namshauri tena awafungulie na zile mamlaka zote tajwa ambazo zililipwa pesa as kodi kihalali then huyo Lengai awe mshitakiwa namba 1 yaan jamaa ata vuna kama ka B2 na kuendeelea ...aisee kuna watu wana channel ya pesa wazi wazi
 
Kupitia taarifa ya habari ya ITV ya leo tareh 17 May202. Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kupitia ofisi zake za wilaya ya HAI zimethibitisha kiwanda kinachotengeneza kinywaji cha FARU JOHN ni Halali.

Inasemwa eti aliyekuwa DC wa HAI alifunga kiwanda icho akikituhumu kutoendesha shughuli za uzalishaji bila vibali.


My take:
Kosa hili ivi lina tofauti gani na kuhujumu uchumi wa nchi ? Maana kama mamlaka ya serikal inayo simamia shughuli zote wametoa vibali vya mwekezaji sasa iweje mtu mmoja ana ibuka na kufunga kiwanda ?

Je mamlaka hii ya TRA awali wakati DC ana funga kiwanda Je mlimshauri DC juu ya maamuzi yake ?

Sabaya usikute aliambiwa kwamba kuna mtu wa chadema ana hisa hapo kwenye kiwanda akaona ngoja aje na Genge lake la wahuni wakifunge kwa makosa ya kubumba ,Mh SSH huyo Mbweha Sabovu usimuache kaharibu maisha ya watu na vijana, ndio hao waliokuwa wanapunguza mzunguko wa fedha mitaani.
 
Back
Top Bottom