Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Dah kweli kasomi ni kajinga mkuuKasomi au Kajinga? Vile kabisa tuseme hujui maana ya kubaka inapohusu watoto? Mtu chini ya miaka 18 ni mtoto. Anawaza, kunena na kutenda kitoto. Hata kama amekutongoza yeye umebaka!
Kwa dhana hiyo miaka 30 inakuhusu. Yule jamaa aliyesema majaji wetu wanakopi na kupeisti naye alikuwa mbumbumbu wa hiyo dhana. Isipokuwa kiaina. Fataki wale miaka jela. Mabinti wasirudi shule. Hasomeshi wazazi bure. Fataki alibaka kwa dhana ya mtoto. Mzazi wa mimba za utotoni alitaka mwenyewe kwa ujinga wa Kasomi! Hapo chacha(sio mura!).