Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,377
- 58,384
- Thread starter
- #21
si mmefungwa lakini mtaniKwa kweli mtani ni lazima muichukie Yanga kwa kuwakosesha ubingwa(wa VPL na wa CECAFA)......Yaani unashangilia Yanga kufungwa na Polisi!!!!!...lol....Btw, matokeo yalikuwa ni Polisi Tanzania 2:1 Yanga na si 2-0 kama ulivyokurupuka