Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,021
- 189
eti ukimuona Mwanaume wa
Kitanzania anamfungulia mlango wa
gari mwanamke ujue huo mlango
mbovu. Hahahaha dah aisee hatupo
Romantic kabisa...Ndio maana
vitanda vyetu tunavibana ukutani.
tunaogopa watatoroka!!!!! mbona
hatuweki vitanda katikati ya chumba
kama wazungu?
Kitanzania anamfungulia mlango wa
gari mwanamke ujue huo mlango
mbovu. Hahahaha dah aisee hatupo
Romantic kabisa...Ndio maana
vitanda vyetu tunavibana ukutani.
tunaogopa watatoroka!!!!! mbona
hatuweki vitanda katikati ya chumba
kama wazungu?