Hahaaha, sweet money, NO HUSTLE; I like this guy!

CYBERTEQ

JF-Expert Member
Feb 11, 2012
7,341
4,045
samurai.jpg

UPDATE: 25/12/2013
Jamaa ana Nafasi mbili kwa option number 2 (500GBP), toka jana. Leo na kesho yuko mapumziko, ijumaa sjui kama bado atakuwa nazo. Kwa walioonesha interest inbox wanijulishe niwaunganishe nae faster wajaribu bahati zao.
 
Hii kubwa kuliko naimezea mate lakini naiogopa pia; 5k GBP ndani ya miezi mitatu inapanda 16x ni zaidi ya 80K GBP!!!!!!!!!!
Mambo iko hukuuuuuuuuu! hahahahaha. dah!:A S 39:
 
Hii kubwa kuliko naimezea mate lakini naiogopa pia; 5k GBP ndani ya miezi mitatu inapanda 16x ni zaidi ya 80K GBP!!!!!!!!!!
Mambo iko hukuuuuuuuuu! hahahahaha. dah!:A S 39:

Mkuu kama una hela ya ngama do not gamble kwenye stock exchange kuna co-worker wawili mmoja alikutwa amekufa tu chumbani kwake, mwingine mpaka leo hii anajaribu kurudi kwenye hali ya kawaida kutoka kwenye cardiac arrest. Hii ni michezo ni hatari. Inataka moyo unaponunua share you have lost control ya pesa yako anything can happen.
 
mPWA WANGU CYBERTEQ HAYA MAZIONGAOMBWE NIYA Professor nani? Hakiyanani sijaelewa kitu hapa kabsaaaaaa, next time uwe una ni PM ili unieleweshe kabla ya kupost, sasa namna hii unakua unaniaibisha
 
Last edited by a moderator:
deci ya aina yake, hakuna pesa inayopatikana kirahisi namna hiyo hata warren buffet hafanyi namna hii....usijaribu utalia
 
Mkuu kama una hela ya ngama do not gamble kwenye stock exchange kuna co-worker wawili mmoja alikutwa amekufa tu chumbani kwake, mwingine mpaka leo hii anajaribu kurudi kwenye hali ya kawaida kutoka kwenye cardiac arrest. Hii ni michezo ni hatari. Inataka moyo unaponunua share you have lost control ya pesa yako anything can happen.

You are right, kwenye stock exchange usicheze na pesa usiyoweza kuafford kuipoteza! However tunafanya hii kitu na insider mmoja, I never lost a dime, lakini hii inaniogopesha kaka, kamilioni kumi kwa sisi wajasiriamali ni kapesa karefu, lakini return yake inanitoa udenda, kuna moja tena niliiogopa hiyo washkaji wakajitosa ilivyokuja kuripuka nikabaki macho wazi!!...dah.
 
mPWA WANGU CYBERTEQ HAYA MAZIONGAOMBWE NIYA Professor nani? Hakiyanani sijaelewa kitu hapa kabsaaaaaa, next time uwe una ni PM ili unieleweshe kabla ya kupost, sasa namna hii unakua unaniaibisha

Daaah, nisamehe bure mpwa wangu, nitakuwa naku-pm mambo matamu kama haya unatakiwa kuyajua mpwa wangu!
 
Mkuu kama una hela ya ngama do not gamble kwenye stock exchange kuna co-worker wawili mmoja alikutwa amekufa tu chumbani kwake, mwingine mpaka leo hii anajaribu kurudi kwenye hali ya kawaida kutoka kwenye cardiac arrest. Hii ni michezo ni hatari. Inataka moyo unaponunua share you have lost control ya pesa yako anything can happen.
a good rule for every gamble just toa what you can afford to loose! problem ni pale unapotaka kwenda beyond entrepreneurship!
 
Hebu weka kwenye maandshi na lugha ya kiswahili ili twende sawa.

Ok, iko hivi mkuu;
Hii mambo inahusiana na biashara ya hisa (sisi si wawekezaji, ni wajanja tu tunaotaka kununua kwa bei chini na kuuza kwa bei juu ndani ya muda mfupi)
1. Unakuwa na broker akaunti tayari kwa trading katika LSE
2. Kianzio at least 2000GBP
3. "Tipper" anakupa kampuni ya kununua hisa (yeye keshafanya research yake, he is an insider)
4. Unakaa unatulia tuliii, akisema UZA, unauza aster (unauza bei inapopanda, inaweza kuwa ndani ya dk chache au siku kadhaa, kwa hiyo unatakiwa kuwa attentive). Hapa kinachoangaliwa ni faida angalau ya 100% ili na yeye apate chambi.
5. Ukiuza unachukua faida halisi unagawa kwa mbili, fungu moja unamtumia mshkaji, fungu linalobaki unatia mfukoni, mtaji unabaki palepale unasubiri tena zamu yako ifike wakati akideal na washkaji wengine. Hapa ni suala la uaminifu, unaweza kuchagua kutomtumia cha kwake, lakini ndiyo unakuwa umejitoa na kujiondolea uaminifu.

Pia kuna hii ambayo mimi inanihakikishia vijisenti vya kula kila wiki
1. Unamtumia yeye kiasi cha pesa kuanzia 500GBP (mimi nimeanza na 800gbp)
2. Anatrade anavyojua yeye, kila wiki anakulipa 100gbp kwa kila 500 (hesabu yangu inasoma 160GBP/week)
Hapa uaminifu ni upande wake kwa sababu pesa anayo yeye.
 
Ila insider trading si ni crime iyo kaka. .ww na uyo inside man muwe makini deal ka hizi unapiga chini chini
 
Back
Top Bottom