RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,124
Mkuu ukijaribu kuisoma moment yangu hata mm ninapinga unafiki.Sijawaunga mkono wanaoitetea wala kuikosoa Uturuki. Nimeweka sawa tu historia kama ilivyo.
Hao hao wanao ikosoa Uturuki ndani ya mataifa yao kuna misikiti mingi imegeuzwa na kuwa makanisa kwa nguvu na kakuna anaye ongea.