Leo nimeona kituko michuzi nikazijuliza maswali siwezi kuyajibu:-
Mojawapo ya swali ni hili hivi kweli hatuoni aibu mtu binafsi ananunua Boeing mbili wakati serikali yetu inashindwa kununua hata kajitwin otter au fokker friendship?
Sielewi aisee!!!
Mojawapo ya swali ni hili hivi kweli hatuoni aibu mtu binafsi ananunua Boeing mbili wakati serikali yetu inashindwa kununua hata kajitwin otter au fokker friendship?
Sielewi aisee!!!