Jamaa kwa kupenda sherehe! Anazidi kumaliza pesa ambayo ingetumika kwenye kupambana na ukimwi. Wenzetu wanapambana na ukimwi kwa kupinga mmomonyoko wa maadili sisi tunatumia mmomonyoko wa maadili kama zana ya kupambana ukimwi. Tumegeuka taifa la wazinzi na walevi hasa baada ya kutawaliwa na hao hao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.