chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,682
- 22,685
Hafidh Ameir, Mume wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan alivyowasili Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kunakofanyika shughuli ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli, aliyefariki 17 Machi 2021 kwa matatizo ya mfumo wa umeme wa moyo.