Bwana yake Haeleweki

Aunty Lao

JF-Expert Member
Jul 7, 2008
214
17
Za leo wandugu,

Jamani shoga angu anatatizo na mumewe asiloweza kumuelewa vizuri nalileta kwenu mnisaidie na mawazo. Mume anakipato cha kawaida na yeye ni mother house (studying) tuu. Sasa ktk kipato hicho jamaa hushindwa sometimes to clear some of the bills na hata hela ndogo ndogo ya matumizi ya wife wake. Ila sasa utakuta huyo bwana anaamua kuwaalika wageni tena wengi kama kumi hivi kwa ajili ya mlo na kinywaji. Je, huyo bwana atakuwa na matatizo gani?
 
Mimi sikuelewi.Unasema jamaa anashindwa sometimes to clear some of the bills,una maana most of the time jamaa huwa ana clear hizo bills pamoja na hicho kipato chake ila hiyo sometimes anayoshindwa inatokana na kuwaalika hao wageni?
Mnapoleta hoja mjitahidi kufafanua ili tuelewe vizuri kabla ya kuanza kuchangia.
 
Mimi sikuelewi.Unasema jamaa anashindwa sometimes to clear some of the bills,una maana most of the time jamaa huwa ana clear hizo bills pamoja na hicho kipato chake ila hiyo sometimes anayoshindwa inatokana na kuwaalika hao wageni?
Mnapoleta hoja mjitahidi kufafanua ili tuelewe vizuri kabla ya kuanza kuchangia.

Pole kwa kutonielewa, ni hivi ndugu, jamaa kutokana na kipato kidogo inamlazimu kulimbikiza madeni kwa kuwa anadai hela hamna. Sasa hizo za kuintertain wageni zinatoka wapi! wakati yeye anadai hana hela hata hajui huo mwezi utawaishia vp kutokana na hela hamna. Ila hapo hapo anamwambia wife anapenda kuwaalika marafiki kwa ajili ya ugeni! Sijui bado sieleweki, please do not hesitate to ask.
 
Lorain, tatizo la mume wa rafiki yako linaitwa "KEEPING UP APPEARANCES" yaani anataka aonekani na watu kiaina fulani ambayo sio yeye alivyo kikweli. Kama ambavyo watu wengine wanavaa nguo ghali kuliko wanavyoweza kugharimia au wanaziazima ili tu kuonekana....sounds familiar?
 
Lorain, tatizo la mume wa rafiki yako linaitwa "KEEPING UP APPEARANCES" yaani anataka aonekani na watu kiaina fulani ambayo sio yeye alivyo kikweli. Kama ambavyo watu wengine wanavaa nguo ghali kuliko wanavyoweza kugharimia au wanaziazima ili tu kuonekana....sounds familiar?

Asante kwa jibu nzuri, sasa nini alezwe maana anakuwa mbishi sana.
 
Asante kwa jibu nzuri, sasa nini alezwe maana anakuwa mbishi sana.

Mwambie ukweli tu kwamba tunaishi beyond our means. We don't have the ability to entertain 10 or more friends every now and then. By doing so you'll be able to clear some of your debts (bills) a little bit faster.
 
Sasa hizo za kuintertain wageni zinatoka wapi! wakati yeye anadai hana hela hata hajui huo mwezi utawaishia vp kutokana na hela hamna.
Hao wageni hua wanachanga visenti vyao, tatizo wengi wao wake zao wakali hivyo ni vigumu kukutana kwenye nyumba zao. Hivyo huyo jamaa yenu kwa kuwa ni mchachaji na wife wake yupo poa tu....hana noma ndio maana hutoa nyumba yake ili kufanyika hizo party. Na mkewe kupikishwa akidhani ni mshiko wa mumewe..
 
Asante kwa jibu nzuri, sasa nini alezwe maana anakuwa mbishi sana.

Tell him to "GET RID OF HIS YOUTHFULL IDEALISMS AND ACCEPT LIFE FOR WHAT IT IS - REALITY"
Hatafika mbali kwa kuwa a "people pleaser"
 
Huwa anawaalika kila siku au mora mojamoja? Jamani please yaani kwa sababu ya bills ndio hata kujipongeza mara moja moja hakuna? maisha ndio hayohayo anayoishi ni vizuri kupunguza stress sometimes na washkaji ndio ambao mnaweza kula na kunywa pamoja ukatulia. Kama anaishi nje ndio kabisaa, ni lini watu wanaonana? Huyo mke wake itakuwa labda ana matatizo na rafiki za jamaa au hapendi tuu, kama vipi na yeye si akatafute kazi? maana kama sikosei umesema anakaa tu nyumbani, kama anakaa tuu kwa nini alalamike? Jamani maisha ndio hayahaya na bills haziishi hata siku moja. "Live your life" unaweza kufa halafu ukafika huko ukawa unajilaumu nilikuwa nafanya kazi tuu na wala sikuhave fun. jamanii BILLS HAZIISHI HATA SIKU MOJA AS LONG AS YOU LIVE na kama unakaa nje ya nchi mf US ndio hivyooo.
 
Lora, Mwelekeze shoga yako atafute namna nzuri ya kumweleza ili somo lieleweke. Wanatakiwa kuishi kufuatana na uwezo na kujikuna mpaka pale tuu wanapofikia vinginevyo they are heading for trouble. Kama hiyo mialiko jamaa huwa wanachangia lazima wife aelezwe and you never know jamaa anaentertain hizo gethering ili kubakiwa na chochote cha kusukuma siku.
 
Huwa anawaalika kila siku au mora mojamoja? Jamani please yaani kwa sababu ya bills ndio hata kujipongeza mara moja moja hakuna? maisha ndio hayohayo anayoishi ni vizuri kupunguza stress sometimes na washkaji ndio ambao mnaweza kula na kunywa pamoja ukatulia. Kama anaishi nje ndio kabisaa, ni lini watu wanaonana? Huyo mke wake itakuwa labda ana matatizo na rafiki za jamaa au hapendi tuu, kama vipi na yeye si akatafute kazi? maana kama sikosei umesema anakaa tu nyumbani, kama anakaa tuu kwa nini alalamike? Jamani maisha ndio hayahaya na bills haziishi hata siku moja. "Live your life" unaweza kufa halafu ukafika huko ukawa unajilaumu nilikuwa nafanya kazi tuu na wala sikuhave fun. jamanii BILLS HAZIISHI HATA SIKU MOJA AS LONG AS YOU LIVE na kama unakaa nje ya nchi mf US ndio hivyooo.

Asante kwa mchango wako, ni kweli kujirusha bibie anapenda sana na wala sio hivyo. Tatizo ni kwamba hata inafika time inabidi niwape ka sukari au maziwa maana jamaa anakuwa hana hata senti ya kununulia. Kwanza hata kumtake care mkewe ndo kabisa. Kwa sababu ni shoga ndo maana nampa na mimi kidogo nilichonacho. Na hii ni kitu inatokea mara kwa mara kupungukiwa ila wageni hawaishi kila mwezi. Zaiizi jamaa yuko kwenye madeni tuu na serikali. Ss kwa mwendo huu hata kama nikujipongeza, Duh.
 
Lora, Mwelekeze shoga yako atafute namna nzuri ya kumweleza ili somo lieleweke. Wanatakiwa kuishi kufuatana na uwezo na kujikuna mpaka pale tuu wanapofikia vinginevyo they are heading for trouble. Kama hiyo mialiko jamaa huwa wanachangia lazima wife aelezwe and you never know jamaa anaentertain hizo gethering ili kubakiwa na chochote cha kusukuma siku.
Pasco mwanamke anasoma tuu na hafanyi kazi, labda nimuulize Loraine je wana watoto? maana kama wana watoto inaweza ika-make sense, Ila haya mambo ya kufanya kazi tuu na bila kuji-entertain sio fresh, maana labda hawawezi ku-afford Vacation, na kama nilivyosema maisha ndio haya haya
 
Pasco mwanamke anasoma tuu na hafanyi kazi, labda nimuulize Loraine je wana watoto? maana kama wana watoto inaweza ika-make sense, Ila haya mambo ya kufanya kazi tuu na bila kuji-entertain sio fresh, maana labda hawawezi ku-afford Vacation, na kama nilivyosema maisha ndio haya haya

Ndio wana mtoto mmoja mchanga lakini, wa three months. Lakini hata kabla ya mtoto jamaa ndivyo alivyokuwa. Nimewafahumu hawa couples ni mwaka wa pili na nusu sasa.
 
Ndio wana mtoto mmoja mchanga lakini, wa three months. Lakini hata kabla ya mtoto jamaa ndivyo alivyokuwa. Nimewafahumu hawa couples ni mwaka wa pili na nusu sasa.
Kama kuna mtoto sawa na umesema 3mths sioo, basi wewe tulia tuu huyo jamaa atabadilika sasa hivi kwa sababu kuna msemo unaitwa "ukikua utaacha" ndio hivyo. Maana ukishapata mtoto matumizi yanaongezeka na unaanza kumjali sana mtoto. Hii ndio reality iliyonikuta mimi. Kama utataka maelezo zaidi nitakupa tuu.
 
Lora, Mwelekeze shoga yako atafute namna nzuri ya kumweleza ili somo lieleweke. Wanatakiwa kuishi kufuatana na uwezo na kujikuna mpaka pale tuu wanapofikia vinginevyo they are heading for trouble. Kama hiyo mialiko jamaa huwa wanachangia lazima wife aelezwe and you never know jamaa anaentertain hizo gethering ili kubakiwa na chochote cha kusukuma siku.

Afadhali basi angekuwa anamwambia mapema angalo hata yeye ampe mawazo! hamna wife anaambiwa tuu (let say ni monday) kwamba this saturday watakuja watu kadhaa fanya maandalizi. May be pengine huyo bwana anapewa hio hela kimyakimya na yeye anauchuna! U never know. Na wageni wakija wanaaumbulia kuachiwa chupa ya wine, soda au kamfuko ka karanga tuu.
 
The truth relatioships zinasumbua sana mimi yakwangu yalishanishinda kitambo, kutokana na kuona the cosequances, nikisikia relatioship ina matatizo ya kujitakia naumia sana. Tena msisitizie sana huyo rafiki yako awe mvumilivu zaidi na zaidi, natamani nimshauri huyo mumewe, hiyo shida hata ya kushindwa kumtake care mwenzake, inaweza kujimanifest kwenye love responses wakajikuta wanashindwa kuenjoy mapenzi yao na ukawa ni mwanzo wa matatizo makubwa zaidi.
When love is true and genuine, it grows stronger with hardships. Lakini lazima huyo baba akiri wazi kwa mkewe kuwa anayafanya yote hayo in the name of love.
 
Za leo wandugu,

Jamani shoga angu anatatizo na mumewe asiloweza kumuelewa vizuri nalileta kwenu mnisaidie na mawazo. Mume anakipato cha kawaida na yeye ni mother house (studying) tuu. Sasa ktk kipato hicho jamaa hushindwa sometimes to clear some of the bills na hata hela ndogo ndogo ya matumizi ya wife wake. Ila sasa utakuta huyo bwana anaamua kuwaalika wageni tena wengi kama kumi hivi kwa ajili ya mlo na kinywaji. Je, huyo bwana atakuwa na matatizo gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom