Hadithi ya kweli ya maisha yangu

Inaendelea

Licha ya kupenda kuimba pia nilikua napenda sana kujua kupiga Keyboard ( kinanda ) or piano yani nilikua nikiona watu wakipiga hicho roho inaniuma yani nataman na mimi cku moja nijue....nakumbuka 2014 kuna jamaa nilimuomba anifundishe kupiga keyboard sema alikua ana ringa sana ckuambulia lolote kwake.

2019 mwezi wa kumi ticha angu wa kwaya ( ni dogo tu lakin fundi hatar kwenye piano ) ndo alianza kunifundisha kinanda mdogo mdogo sema nae alisepa ko aliniacha bado sana cjui chochote tofauti na scale za key nyepesi Key C major, hapo chord na progression nilikua cjui kabisa.


Turudi kwanza kwa Yule Manzi ......

Siku zilienda bado huyo demu nilikua niko nae kama rafiki tu.Mwez wa tisa tareh 11 ilikua birthday yake, hilo nilikua na lijua cku hyo nilipanga tukitoka zoez nikiwa na msindikiza nimpe hela kidogo kwa ajili ya hyo siku yake muhimu, lakin siku mwambia nilitaka ku m-suprise njiani.

Zoezi lilivyoisha niliona demu kawai kutoka nilijua tu atanisubir nje.Na mimi nilivyotoka nje ckumuona mazingira ya kanisan, nilimuangaza mpk nikampotezea sasa ile nataka kuelekea job ndo namuona Manzi anakuja na bishoo mmoja hivi alafu akaniita nimsubir.

Alifika akanambia ni msindikize nilikubali sasa tukawa watatu mimi,yeye na huyo bishoo.Njiani hata sisemi chochote niko kimya nawasikiliza wao tu wakiongea, baadae ndo akavunga kunitambulisha kwa huyo bishoo kuwa ni rafiki ake sasa alikuja kumpa hi....bishoo nae alinileteea maisha ya kwenye video eti akanikaribisha kwao.Niliamua kuwatema nikatoa sababu ya uongo ili niondoke ( niliona ni ujinga yani nitembee njiani bure tu )...Manz alijua kuwa cjafurahi alikataa nisiondoke akawa amenizibia njia kwa mbele, yan mpk huyo bishoo wake alishangaa maana demu alimsahau kwa muda.

Niliondoka licha ya kunizuia nisiondoke nilikua na wivu kwa huyo demu...Usiku alini tafuta kama kawaida akalizungumzia hilo swala me nilimwambia ulifanya makosa sana kumleta huyo boy wako.Siku hyo Manzi ndo alinikubalia ombi langu kuwa ananipenda..nilifurahi kinoma nikasema kwa nzia muda huo wa kukubaliwa na manzi naachana na mademu zangu wote na nitakua mtu mwema kabisa.

Licha ya kunikubalia lakin kunipa mzigo alikua ananibania sana.Siku moja ilikua Alihamis cku hyo niko home najiandaa kwenda Job midaa ya saa nne hivi...Manzi alini text kuwa niko wapi nikamwambia home, akanambia yeye yupo Majita road kama naweza kwenda kumuona niende.

Jumatano Sister wangu alinitumia pesa fulani hivi nilimuomba eti za kwenda kusoma Veta ( ilikua ni mauongo yangu tu ili anipe hela hakuna cha veta wala nini )....Alituma ckuhyo pesa nyingi tu pamija na ya mdogo wangu wa kike ya graduation ( alikua kamaliza la saba ) Mzee nae hakuachwa nyuma nae alitumiwa hela ya kutosha tu ( nilimuona kafurahi ).Nilitoa pesa kwa wakala nikampa dogo hela yake zilizo baki niliagizia pad za ps zilikua zimeaharbika hela nyingne nikaenda nayo zoezi.

Muda wa zoez kuisha kipindi na msindikiza yule manzi alikua ameninunia, tulifika sehemu nikamtolea noti moja ya 10k kumpa akakataa nikatoa nyingine kumpa pia akakataa kutaka kutoa ya tatu alinizuia akanambia yeye hana shida na hela ko nisiwe najitesa kumpa yeye kanipenda tu the way nilivyo.Nilimlazimisha azichukue hela mpk nikamwekea kwenye pochi yake kinguvu ndo akazikubali.Siku hyo alini text kunipa asante na pia kwa ninavyomjali.

Sasa sku ya alhamisi alivyonambia ni mfuate Majita road nilihairisha kwenda job ikabid nimfuate mtoto yani hata boda cku panda nikiofia itaniangusha mwishoe nisimuone mtoto mzuri.

Nilifika road nikamkuta alikua kapendeza sana, alinichukua mpk kwao, nilifika alinipa chai cku vunga nilikunywa fresh tu.Sasa tulipiga story hapi sebulen kwao mpk story zikaisha, aliwasha tv kulikua na kipind cha Dadaz eatv me nilimwambia sion hivyo vpind vya hovyo akaamua kuzima tu Tv.

Alikua kakaa kwenye sofa kubwa niliamua nimfuate nikaanza kumpapasa akawa hataki.Lakin nili force mpk akakubali.Kwenye kumvua ilikua ni shughuli pevu.Mpk namvua nguo zake jasho lilinitoka sana.Nilitaka kumgongea hapo kwenye sebule lakin alikataa akadai twende chumbani kwake ( yaani me akili ya kukamatwa ilikua hata haipo hamuez amini )...nilimgonga kamoja kamoja ckulidhika lakin yeye alikataa akasema mida ya mama ake kurud ndio ile, ko nilitoka na hasira nikasepa zangu, sasa alikua anapiga simu za kutosha lakin kwa makusudi ckupokea.

Nakumbuka text yake cku aliyonitumia baada ya kuona kuwa cpokei simu yake.Alinambia kuwa me ndo boy wake wa kwanza kumuona akiwa uchi sasa yawe yangu nisitangaze. kama alijua vile maana muda nilikua njiani naenda kwa msela wangu nimpe story kuwa nimekula kitu tena kwao.Nilifika kwas msela na kweli nili mwambia nilivyokula Tunda.Yani Manzi hyo ndo ilikua tiketi ya kuanza kusex nae, kila nilikua nikimuhitaji chapu na mla.Nilimpenda kiukweli huyu manzi toka moyoni nilipanga hata nije nimuoe cku moja.

Pale ps kuna Jamaa mmoja nili ckuli nae sasa yeye alirudia shule na huo mwaka 2019 ndo alijua anamaliza form four, alikua anakuja pale ps tunapiga nae story kisha anasepa.Kuna siku alimkuta boss wangu akamtoa pembeni ckujua walivyoongea lakin nilistuka kitu kimoja.Huyo jamaa alivyomaliza kuongea na boss alikuja akanambia nikimaliza paper la form four nitakuja kupiga kazi.Sikumjali sana kumbe nafasi yangu huyo jamaa ndo aliibeba, yani nilikua namfundisha baadh ya vitu pale ps kumbe alikua analake moyoni.

Na kweli alivyomaliza mtihani akawa amekuja rasmi tukaanza nae kupiga kazi wote alivyojua tu yeye ndo akawa boss kwangu ( kwa Amri ya boss ) ckua nilikosa nini mpk boss afanye hayo maamuzi.Nilichukia ila ckua nalakufanya.Doro likaanza tena kunipiga.


Before hayo hayajatokea Mwez wa kumi mwishoni Huyo manzi angu aliondoka musoma akaenda Chuo Tabora ko nilibaki sina Manzi ( maana niliapa kuwa ctakua na manz mwingine zaid yake )....kwakua huyo manzi alienda chuo nilijua tu ctokua pekee angu na mimi nilamua kurudisha majeshi kwa Yule manzi angu wa zamani ( lizy ).nilimtafuta nikamwelekeeza ofis ilipo ko akaja, ila saivi alkua ni mdangaji hatari hakuwa yule demu wa zamani.Yani alikua hapitwi na kwenda club ( Metro,modern club na sehem za starehe nyingine )

Ko nilikua nae hivyo hivyo kibabe nikimwambia aache hayo mambo alikua anambia mbn me niliyafanya hapo nyuma ko lazima na yeye afanye roho imlidhike.Kuna siku alikuja na rafiki ake bila hata kunipa taarifa kuwa wanakuja.

Siku hyo walitaka bia nikasema me msabato c mnunulii mtu pombe huyo demu alisema niache kuvunga usabato kitu gani na huku me ni malaya.Niliona isiwe shida nilimpa hela wakanunue bia wenyewe.

Kufikiria matukio yoye nayo ni kipaji asee...ila ngoja nipambane....


Siku hyo usiku nilitumiwa text no ilikua ngeni text ilisemaa "shem mambo" nikajibu fresh kusha akajitambulisha kuwa ni rafiki ake na yule manzi ( lizy ).Alitaka nimkopeshe hela 40k et atanirudishia cku chache zijazo.Sikua na hela kwa muda ule zaid ya za ofisini ko nilimkubalia tu kesho aje home achukue.Alivyokuja nilimgonga afu nikamwambia me hela sina mpk jioni ndo nitampa.

Aliwaka cku hyo kwa hasira lakin ckua nala kumsaidia, ilifika jioni akani text nikamwambia kesho aje mapema tu nitampa hyo hela lakin tena alichezea rungu nilikua na buku tano ndo aliichukua akasepa ila alini laani balaa..


Nitarudi tena
 
Inaendelea

Licha ya kupenda kuimba pia nilikua napenda sana kujua kupiga Keyboard ( kinanda ) or piano yani nilikua nikiona watu wakipiga hicho roho inaniuma yani nataman na mimi cku moja nijue....nakumbuka 2014 kuna jamaa nilimuomba anifundishe kupiga keyboard sema alikua ana ringa sana ckuambulia lolote kwake.

2019 mwezi wa kumi ticha angu wa kwaya ( ni dogo tu lakin fundi hatar kwenye piano ) ndo alianza kunifundisha kinanda mdogo mdogo sema nae alisepa ko aliniacha bado sana cjui chochote tofauti na scale za key nyepesi Key C major, hapo chord na progression nilikua cjui kabisa.


Turudi kwanza kwa Yule Manzi ......

Siku zilienda bado huyo demu nilikua niko nae kama rafiki tu.Mwez wa tisa tareh 11 ilikua birthday yake, hilo nilikua na lijua cku hyo nilipanga tukitoka zoez nikiwa na msindikiza nimpe hela kidogo kwa ajili ya hyo siku yake muhimu, lakin siku mwambia nilitaka ku m-suprise njiani.

Zoezi lilivyoisha niliona demu kawai kutoka nilijua tu atanisubir nje.Na mimi nilivyotoka nje ckumuona mazingira ya kanisan, nilimuangaza mpk nikampotezea sasa ile nataka kuelekea job ndo namuona Manzi anakuja na bishoo mmoja hivi alafu akaniita nimsubir.

Alifika akanambia ni msindikize nilikubali sasa tukawa watatu mimi,yeye na huyo bishoo.Njiani hata sisemi chochote niko kimya nawasikiliza wao tu wakiongea, baadae ndo akavunga kunitambulisha kwa huyo bishoo kuwa ni rafiki ake sasa alikuja kumpa hi....bishoo nae alinileteea maisha ya kwenye video eti akanikaribisha kwao.Niliamua kuwatema nikatoa sababu ya uongo ili niondoke ( niliona ni ujinga yani nitembee njiani bure tu )...Manz alijua kuwa cjafurahi alikataa nisiondoke akawa amenizibia njia kwa mbele, yan mpk huyo bishoo wake alishangaa maana demu alimsahau kwa muda.

Niliondoka licha ya kunizuia nisiondoke nilikua na wivu kwa huyo demu...Usiku alini tafuta kama kawaida akalizungumzia hilo swala me nilimwambia ulifanya makosa sana kumleta huyo boy wako.Siku hyo Manzi ndo alinikubalia ombi langu kuwa ananipenda..nilifurahi kinoma nikasema kwa nzia muda huo wa kukubaliwa na manzi naachana na mademu zangu wote na nitakua mtu mwema kabisa.

Licha ya kunikubalia lakin kunipa mzigo alikua ananibania sana.Siku moja ilikua Alihamis cku hyo niko home najiandaa kwenda Job midaa ya saa nne hivi...Manzi alini text kuwa niko wapi nikamwambia home, akanambia yeye yupo Majita road kama naweza kwenda kumuona niende.

Jumatano Sister wangu alinitumia pesa fulani hivi nilimuomba eti za kwenda kusoma Veta ( ilikua ni mauongo yangu tu ili anipe hela hakuna cha veta wala nini )....Alituma ckuhyo pesa nyingi tu pamija na ya mdogo wangu wa kike ya graduation ( alikua kamaliza la saba ) Mzee nae hakuachwa nyuma nae alitumiwa hela ya kutosha tu ( nilimuona kafurahi ).Nilitoa pesa kwa wakala nikampa dogo hela yake zilizo baki niliagizia pad za ps zilikua zimeaharbika hela nyingne nikaenda nayo zoezi.

Muda wa zoez kuisha kipindi na msindikiza yule manzi alikua ameninunia, tulifika sehemu nikamtolea noti moja ya 10k kumpa akakataa nikatoa nyingine kumpa pia akakataa kutaka kutoa ya tatu alinizuia akanambia yeye hana shida na hela ko nisiwe najitesa kumpa yeye kanipenda tu the way nilivyo.Nilimlazimisha azichukue hela mpk nikamwekea kwenye pochi yake kinguvu ndo akazikubali.Siku hyo alini text kunipa asante na pia kwa ninavyomjali.

Sasa sku ya alhamisi alivyonambia ni mfuate Majita road nilihairisha kwenda job ikabid nimfuate mtoto yani hata boda cku panda nikiofia itaniangusha mwishoe nisimuone mtoto mzuri.

Nilifika road nikamkuta alikua kapendeza sana, alinichukua mpk kwao, nilifika alinipa chai cku vunga nilikunywa fresh tu.Sasa tulipiga story hapi sebulen kwao mpk story zikaisha, aliwasha tv kulikua na kipind cha Dadaz eatv me nilimwambia sion hivyo vpind vya hovyo akaamua kuzima tu Tv.

Alikua kakaa kwenye sofa kubwa niliamua nimfuate nikaanza kumpapasa akawa hataki.Lakin nili force mpk akakubali.Kwenye kumvua ilikua ni shughuli pevu.Mpk namvua nguo zake jasho lilinitoka sana.Nilitaka kumgongea hapo kwenye sebule lakin alikataa akadai twende chumbani kwake ( yaani me akili ya kukamatwa ilikua hata haipo hamuez amini )...nilimgonga kamoja kamoja ckulidhika lakin yeye alikataa akasema mida ya mama ake kurud ndio ile, ko nilitoka na hasira nikasepa zangu, sasa alikua anapiga simu za kutosha lakin kwa makusudi ckupokea.

Nakumbuka text yake cku aliyonitumia baada ya kuona kuwa cpokei simu yake.Alinambia kuwa me ndo boy wake wa kwanza kumuona akiwa uchi sasa yawe yangu nisitangaze. kama alijua vile maana muda nilikua njiani naenda kwa msela wangu nimpe story kuwa nimekula kitu tena kwao.Nilifika kwas msela na kweli nili mwambia nilivyokula Tunda.Yani Manzi hyo ndo ilikua tiketi ya kuanza kusex nae, kila nilikua nikimuhitaji chapu na mla.Nilimpenda kiukweli huyu manzi toka moyoni nilipanga hata nije nimuoe cku moja.

Pale ps kuna Jamaa mmoja nili ckuli nae sasa yeye alirudia shule na huo mwaka 2019 ndo alijua anamaliza form four, alikua anakuja pale ps tunapiga nae story kisha anasepa.Kuna siku alimkuta boss wangu akamtoa pembeni ckujua walivyoongea lakin nilistuka kitu kimoja.Huyo jamaa alivyomaliza kuongea na boss alikuja akanambia nikimaliza paper la form four nitakuja kupiga kazi.Sikumjali sana kumbe nafasi yangu huyo jamaa ndo aliibeba, yani nilikua namfundisha baadh ya vitu pale ps kumbe alikua analake moyoni.

Na kweli alivyomaliza mtihani akawa amekuja rasmi tukaanza nae kupiga kazi wote alivyojua tu yeye ndo akawa boss kwangu ( kwa Amri ya boss ) ckua nilikosa nini mpk boss afanye hayo maamuzi.Nilichukia ila ckua nalakufanya.Doro likaanza tena kunipiga.


Before hayo hayajatokea Mwez wa kumi mwishoni Huyo manzi angu aliondoka musoma akaenda Chuo Tabora ko nilibaki sina Manzi ( maana niliapa kuwa ctakua na manz mwingine zaid yake )....kwakua huyo manzi alienda chuo nilijua tu ctokua pekee angu na mimi nilamua kurudisha majeshi kwa Yule manzi angu wa zamani ( lizy ).nilimtafuta nikamwelekeeza ofis ilipo ko akaja, ila saivi alkua ni mdangaji hatari hakuwa yule demu wa zamani.Yani alikua hapitwi na kwenda club ( Metro,modern club na sehem za starehe nyingine )

Ko nilikua nae hivyo hivyo kibabe nikimwambia aache hayo mambo alikua anambia mbn me niliyafanya hapo nyuma ko lazima na yeye afanye roho imlidhike.Kuna siku alikuja na rafiki ake bila hata kunipa taarifa kuwa wanakuja.

Siku hyo walitaka bia nikasema me msabato c mnunulii mtu pombe huyo demu alisema niache kuvunga usabato kitu gani na huku me ni malaya.Niliona isiwe shida nilimpa hela wakanunue bia wenyewe.

Kufikiria matukio yoye nayo ni kipaji asee...ila ngoja nipambane....


Siku hyo usiku nilitumiwa text no ilikua ngeni text ilisemaa "shem mambo" nikajibu fresh kusha akajitambulisha kuwa ni rafiki ake na yule manzi ( lizy ).Alitaka nimkopeshe hela 40k et atanirudishia cku chache zijazo.Sikua na hela kwa muda ule zaid ya za ofisini ko nilimkubalia tu kesho aje home achukue.Alivyokuja nilimgonga afu nikamwambia me hela sina mpk jioni ndo nitampa.

Aliwaka cku hyo kwa hasira lakin ckua nala kumsaidia, ilifika jioni akani text nikamwambia kesho aje mapema tu nitampa hyo hela lakin tena alichezea rungu nilikua na buku tano ndo aliichukua akasepa ila alini laani balaa..


Nitarudi tena

Daaah we jamaa kila manz unahonga
 
nachokubali mzee stori yako inaenda mbele hlf inarudi nyuma na unajibu maswali ya mbele, safi sana mzee sio wengine stori zao hawataki tujue mbele zinaishaje
ni kweli hapo ndo nitamaliza vizur story
 
Inaendelea

Licha ya kupenda kuimba pia nilikua napenda sana kujua kupiga Keyboard ( kinanda ) or piano yani nilikua nikiona watu wakipiga hicho roho inaniuma yani nataman na mimi cku moja nijue....nakumbuka 2014 kuna jamaa nilimuomba anifundishe kupiga keyboard sema alikua ana ringa sana ckuambulia lolote kwake.

2019 mwezi wa kumi ticha angu wa kwaya ( ni dogo tu lakin fundi hatar kwenye piano ) ndo alianza kunifundisha kinanda mdogo mdogo sema nae alisepa ko aliniacha bado sana cjui chochote tofauti na scale za key nyepesi Key C major, hapo chord na progression nilikua cjui kabisa.


Turudi kwanza kwa Yule Manzi ......

Siku zilienda bado huyo demu nilikua niko nae kama rafiki tu.Mwez wa tisa tareh 11 ilikua birthday yake, hilo nilikua na lijua cku hyo nilipanga tukitoka zoez nikiwa na msindikiza nimpe hela kidogo kwa ajili ya hyo siku yake muhimu, lakin siku mwambia nilitaka ku m-suprise njiani.

Zoezi lilivyoisha niliona demu kawai kutoka nilijua tu atanisubir nje.Na mimi nilivyotoka nje ckumuona mazingira ya kanisan, nilimuangaza mpk nikampotezea sasa ile nataka kuelekea job ndo namuona Manzi anakuja na bishoo mmoja hivi alafu akaniita nimsubir.

Alifika akanambia ni msindikize nilikubali sasa tukawa watatu mimi,yeye na huyo bishoo.Njiani hata sisemi chochote niko kimya nawasikiliza wao tu wakiongea, baadae ndo akavunga kunitambulisha kwa huyo bishoo kuwa ni rafiki ake sasa alikuja kumpa hi....bishoo nae alinileteea maisha ya kwenye video eti akanikaribisha kwao.Niliamua kuwatema nikatoa sababu ya uongo ili niondoke ( niliona ni ujinga yani nitembee njiani bure tu )...Manz alijua kuwa cjafurahi alikataa nisiondoke akawa amenizibia njia kwa mbele, yan mpk huyo bishoo wake alishangaa maana demu alimsahau kwa muda.

Niliondoka licha ya kunizuia nisiondoke nilikua na wivu kwa huyo demu...Usiku alini tafuta kama kawaida akalizungumzia hilo swala me nilimwambia ulifanya makosa sana kumleta huyo boy wako.Siku hyo Manzi ndo alinikubalia ombi langu kuwa ananipenda..nilifurahi kinoma nikasema kwa nzia muda huo wa kukubaliwa na manzi naachana na mademu zangu wote na nitakua mtu mwema kabisa.

Licha ya kunikubalia lakin kunipa mzigo alikua ananibania sana.Siku moja ilikua Alihamis cku hyo niko home najiandaa kwenda Job midaa ya saa nne hivi...Manzi alini text kuwa niko wapi nikamwambia home, akanambia yeye yupo Majita road kama naweza kwenda kumuona niende.

Jumatano Sister wangu alinitumia pesa fulani hivi nilimuomba eti za kwenda kusoma Veta ( ilikua ni mauongo yangu tu ili anipe hela hakuna cha veta wala nini )....Alituma ckuhyo pesa nyingi tu pamija na ya mdogo wangu wa kike ya graduation ( alikua kamaliza la saba ) Mzee nae hakuachwa nyuma nae alitumiwa hela ya kutosha tu ( nilimuona kafurahi ).Nilitoa pesa kwa wakala nikampa dogo hela yake zilizo baki niliagizia pad za ps zilikua zimeaharbika hela nyingne nikaenda nayo zoezi.

Muda wa zoez kuisha kipindi na msindikiza yule manzi alikua ameninunia, tulifika sehemu nikamtolea noti moja ya 10k kumpa akakataa nikatoa nyingine kumpa pia akakataa kutaka kutoa ya tatu alinizuia akanambia yeye hana shida na hela ko nisiwe najitesa kumpa yeye kanipenda tu the way nilivyo.Nilimlazimisha azichukue hela mpk nikamwekea kwenye pochi yake kinguvu ndo akazikubali.Siku hyo alini text kunipa asante na pia kwa ninavyomjali.

Sasa sku ya alhamisi alivyonambia ni mfuate Majita road nilihairisha kwenda job ikabid nimfuate mtoto yani hata boda cku panda nikiofia itaniangusha mwishoe nisimuone mtoto mzuri.

Nilifika road nikamkuta alikua kapendeza sana, alinichukua mpk kwao, nilifika alinipa chai cku vunga nilikunywa fresh tu.Sasa tulipiga story hapi sebulen kwao mpk story zikaisha, aliwasha tv kulikua na kipind cha Dadaz eatv me nilimwambia sion hivyo vpind vya hovyo akaamua kuzima tu Tv.

Alikua kakaa kwenye sofa kubwa niliamua nimfuate nikaanza kumpapasa akawa hataki.Lakin nili force mpk akakubali.Kwenye kumvua ilikua ni shughuli pevu.Mpk namvua nguo zake jasho lilinitoka sana.Nilitaka kumgongea hapo kwenye sebule lakin alikataa akadai twende chumbani kwake ( yaani me akili ya kukamatwa ilikua hata haipo hamuez amini )...nilimgonga kamoja kamoja ckulidhika lakin yeye alikataa akasema mida ya mama ake kurud ndio ile, ko nilitoka na hasira nikasepa zangu, sasa alikua anapiga simu za kutosha lakin kwa makusudi ckupokea.

Nakumbuka text yake cku aliyonitumia baada ya kuona kuwa cpokei simu yake.Alinambia kuwa me ndo boy wake wa kwanza kumuona akiwa uchi sasa yawe yangu nisitangaze. kama alijua vile maana muda nilikua njiani naenda kwa msela wangu nimpe story kuwa nimekula kitu tena kwao.Nilifika kwas msela na kweli nili mwambia nilivyokula Tunda.Yani Manzi hyo ndo ilikua tiketi ya kuanza kusex nae, kila nilikua nikimuhitaji chapu na mla.Nilimpenda kiukweli huyu manzi toka moyoni nilipanga hata nije nimuoe cku moja.

Pale ps kuna Jamaa mmoja nili ckuli nae sasa yeye alirudia shule na huo mwaka 2019 ndo alijua anamaliza form four, alikua anakuja pale ps tunapiga nae story kisha anasepa.Kuna siku alimkuta boss wangu akamtoa pembeni ckujua walivyoongea lakin nilistuka kitu kimoja.Huyo jamaa alivyomaliza kuongea na boss alikuja akanambia nikimaliza paper la form four nitakuja kupiga kazi.Sikumjali sana kumbe nafasi yangu huyo jamaa ndo aliibeba, yani nilikua namfundisha baadh ya vitu pale ps kumbe alikua analake moyoni.

Na kweli alivyomaliza mtihani akawa amekuja rasmi tukaanza nae kupiga kazi wote alivyojua tu yeye ndo akawa boss kwangu ( kwa Amri ya boss ) ckua nilikosa nini mpk boss afanye hayo maamuzi.Nilichukia ila ckua nalakufanya.Doro likaanza tena kunipiga.


Before hayo hayajatokea Mwez wa kumi mwishoni Huyo manzi angu aliondoka musoma akaenda Chuo Tabora ko nilibaki sina Manzi ( maana niliapa kuwa ctakua na manz mwingine zaid yake )....kwakua huyo manzi alienda chuo nilijua tu ctokua pekee angu na mimi nilamua kurudisha majeshi kwa Yule manzi angu wa zamani ( lizy ).nilimtafuta nikamwelekeeza ofis ilipo ko akaja, ila saivi alkua ni mdangaji hatari hakuwa yule demu wa zamani.Yani alikua hapitwi na kwenda club ( Metro,modern club na sehem za starehe nyingine )

Ko nilikua nae hivyo hivyo kibabe nikimwambia aache hayo mambo alikua anambia mbn me niliyafanya hapo nyuma ko lazima na yeye afanye roho imlidhike.Kuna siku alikuja na rafiki ake bila hata kunipa taarifa kuwa wanakuja.

Siku hyo walitaka bia nikasema me msabato c mnunulii mtu pombe huyo demu alisema niache kuvunga usabato kitu gani na huku me ni malaya.Niliona isiwe shida nilimpa hela wakanunue bia wenyewe.

Kufikiria matukio yoye nayo ni kipaji asee...ila ngoja nipambane....


Siku hyo usiku nilitumiwa text no ilikua ngeni text ilisemaa "shem mambo" nikajibu fresh kusha akajitambulisha kuwa ni rafiki ake na yule manzi ( lizy ).Alitaka nimkopeshe hela 40k et atanirudishia cku chache zijazo.Sikua na hela kwa muda ule zaid ya za ofisini ko nilimkubalia tu kesho aje home achukue.Alivyokuja nilimgonga afu nikamwambia me hela sina mpk jioni ndo nitampa.

Aliwaka cku hyo kwa hasira lakin ckua nala kumsaidia, ilifika jioni akani text nikamwambia kesho aje mapema tu nitampa hyo hela lakin tena alichezea rungu nilikua na buku tano ndo aliichukua akasepa ila alini laani balaa..


Nitarudi tena
Na ni kipaji asee msemo wako kukumbuka matukio ni inshu
 
Na ni kipaji asee msemo wako kukumbuka matukio ni inshu
ni kweli kabisa yani ninge ya briefly hakika ningeacha matukio mengi sana na ningewai kumaliza kuandika.Nimeona niyakumbuke hivo hvyo kibabe 😂
 
Inaendelea.....

Baada ya kupata mpenzi mpya nilikuwa na enjoy sana life ukizingatia muda nilio kaa bila kuwa kwenye mahusiano ulikua ni mrefu kidogo mpk mtaani vijana wenzangu walikua wananambia niwaonyeshe shemeji ( walikua wanajua me sing'ati ).Baby wangu huyo mpya kumbe alikua ni sio mgeni kanisan kama me nilivyodhani ( alikua mwanafunzi ndo maana nilikua simuoni nikienda church ).Mapenzi yaliendelea vizur sana moja ya couple zangu bora hii pia ilikua bora, mtoto alkua ananiheshimu,kunipenda na kunijali ( vizawad nilikua naletewa sana ).Lakin sex ndo nilikua nanyimwa romance napewa vizur tu ( demu alikua ananipima imani sana ).

Mwezi wa 4 nilipata balaa moja mpk nikawa naishi kama pimbi....

Kuna Msela wetu mmoja hivi alikua bishoo hatari, mzee wa location kwake kupiga picha ndo ilikua chakula.Kuna siku alikuja mtaani kwetu na begi ndani kuna nguo za location, akatuomba mimi na Msela wangu mmoja ( yule ambae nilipigana nae 2010 akajikata na wembe wake mwenyewe, jamaa alikuja kuwa msela wangu wa damu mpka leo hii )...huyo msela alituomba twende nae location kupiga picha, tukaenda Pensula beach ( compex ) maana ndo kulikua na pozi zur la picha...

Tulifika flesh Complex kule mlimani kuna vinyumba kule vilijengwa kwa ajili Watalii kama sijakosea, ila vilikua vipo tu hata havifanyi kazi.Basi Mzee wa location akatoa nguo zilizokua kwenye begi aanze kupiga picha, miongoni mwa nguo alizotoa ilikua ni Combat ya kijeshi full.Sisi hatukujua ni wapi kaitoa haikua kazi yetu hyo sisi tulijua ni kupiga picha basiii na kusepa.

Na kweli picha tulipiga za kutosha kila mtu alivaa ile kombati, tulivyotoshka na picha tuliondoka kwenda kurushiana picha tulizopiga.Nilivyo fala sasa picha nilizopost Fb siku hyo ni pamoja na hizo nilipiga nimevaa combat ya jeshi.Nilikua najua hakuna noma kufanya hivyo.

Kesho yake nikiwa mimi na msela wangu tunaangalia picha tulizo post fb mara Mzee wangu anakuja na boda akatuita.Alituuliza tuliiba nini tukawa tuna mshangaa tu.

Alitutaka tuwe makini maana Yule jamaa aliyekuja na zile Nguo za kijeda alikua kakamatwa yupo Central.Kesho yake tena taarifa zinatufikia na Mama ake na huyo msela wangu kuwa tukimbie police wanakuja kutukamata.

Kumbe zile nguo za jeshi kuna jamaa mmoja ni muhuni alafu mwizi aliziiba nyumbani kwa Mjeda ( zilikua kwenye kamba zimeanikwa baada ya kufuliwa ).Ko huyo muhuni alivyoziiba akamuuzia yule jamaa alie kuja nazo ili twende location ( kweli tuliingia mtego wa panya ).Baada hao jamaa kukamatwa walivyokuwa wanakula kipigo ndo wakawa wanatuyaja hasa yule Mzee wa location.

Nilifuta zile picha nilizo post fb ila nilikua nimechelewa maana kuna demu mmoja alikua ni police na alikua ni rafiki angu fb na tunaishi nae mtaa mmoja.Alidai kuwa ananijua na siku wanakuja kutushika taarifa ziliwakutufikia mapema kutoka kwa huyo Mama ake na msela wangu ( bro wa huyo msela angu nae alikamatwa ndo ikawa rahis kwa huyo mama kutupatia Taarifa ).Siku hyo tulijificha mlimani mpk usiku ndo tulitoka kuja kula na kulala uvunguni kisha asubui tulirud mlimani ikawa ndo mwendo huo kama siku tatu.

Sikumbuki hata kesi iliishaje ila nashukuru Mzee wangu na Familia ya huyo msela wangu walimalizana na maafande kibingwa ila yule Muhuni alie iba yupo jela mpka leo ( Butimba )

Huu mwaka 2016 una visa vingi nitachagua vichache niviandike humu.

Mwezi wa tano terh 15 2016 ilikua jumapili ndo siku ambayo nilipewa tunda na demu wangu.Niliahidiwa jumamos ya tareh 14 nikawa naona jumapili haifiki asee .Siku hyo nilimsubir weeee..sehemu tuliyokubaliana kukutana mpk nikakata tamaa na kuanza kuondoka.Mara ndo namuona kwa mbali mtoto anakuja kapendeza kinoma.nilifurah nikamchukua mpk ghetto kumchakata.Nilifika nae gheto kwangu ( home ) ikaanza romance kama kawa na kisha nikachukua ndomu nikavaa kazi ikaanza.

Nilimpeelekea moto hatare alikua analia kimahaba na viuno kama vyote pamoja na style ( me nilikua na kauzoefu kidogo ).Lakini cha kushangaza mpk lisaa limoja nilikua sija fika kileleni.Hofu ikaanza kuniingia labda nyeto imeniharibu lakin mashine ilikua imekaza balaa.Nilijisemea kimoyomoyo kuwa natatizo la nguvu za kiume.kumbe hayo mawazo ndo yalinitoa mchezoni kabisa nikashindwa kufika kileleni kabisa mpk demu alinambia kuwa amechoka, nikamuacha hku nikijisemea kimoyomoyo kuwa mtoto wa watu hajarridhika na show.Kumbe mchawi wangu alikua ni ndomu ckuozea sana kutumia ndomu.

Nilivyokua namsindikiza demu kwao napo nikakutana na balaa tena njiani....

Nitarudi tena
Dah sana tu homeboy unanikumbusha mitaa ya Musoma, ngoja tusake mahela huku majuu tutarudi kuweka heshima hometown
 
Yah man...imagine hata sumbawanga hiyo tabia iliisha miaka ya 90 nashangaa musoma miaka hii kwao ndo ujanja
hakuna kitu kama hiko musoma ni full amani kujilinda na zana hasa nyakati za usiku ni desturi kama una matembezi ya usiku ni bora ujihami au uwe na usafiri, ila kumejaa amani.
 
Inaendelea


Baada ya ujio wa huyo Jamaa ( class mate ) pale ps kiukweli hari ilianzaa kuwa mbaya kifedha kwangu.Me c nilikua nachukua hela Ijumaa na jumamosi sasa ilibid tugawane cku za kuchukua pesa, mimi nikawa na chukua ijumaa yeye jumamosi.

Nakumbuka siku ya kwanza anamekuja kuanza kazi rasmi kwa vile alikua bado learner kwenye kazi ilibidi akae kwa kutulia ili nimfundishe.Siku hyo biss alikuja akatupatia maelekezo fresh tu na alisema kuhusu swala la kula nyie hata kama mmepata buku cku hyo itumieni kwa chakula ( uzur wa boss hakua mchoyo kwenye hela )....

Boss aliondoka yani ile anaondoka tu alikuja bishoo mmoja mule ps akaulizia muhusika nikasema ni mimi, alinitoa nje kufika aliniuliza kama games za ps zina cheza kwenye Pc ( laptop )...nilimuangalia kwanza kabla cjamjibu, kisha nikamwambia kwani hujui akasema hana uhakika.

Basi nikamwambia ndio zinakubali....alitoa frash ni mkopie akaweke, nilimwambia utaweza bei za game lakin...aliniuliza tena "kwani ni shngp kwa game moja?"....nilimwambia game moja ni 15000 alistuka nikaona ananipotezea muda nilimuliza una shngap akasema alijua ni 5000 kuweka game's nilimwambia akajarbu kwingine, tena aliuliza ni game's zipi ambazo ninazo nilimtajia Fifa 19, pes 18, GTA V na Call of duty Warfare, Calls of duty black ops, call of duty WW1, Watchdog, Uncharted na mengine mengi tu.

Basi akaondoka nikarud ndani...na siku hyo wateja walikua wengi na wengi wao walikua wa loser ( loser ni Atakae poteza ndo analipa )...kwa vile nilikua master kwa wakati huo nilirud kuona ma learners wakitoana jasho.Ilipita saa moja yule bishoo alirud tena akaniita alinambia nimfanyie 10k kwa kila game na alikua anataka game's 5...nilivunga kukataa ili ananione kuwa cna shida na hela, nilivyomuona anaondoka nikamuita nikamwambia kuwa nakusaidia tu kwa vile nimemuona ni muhitaji lakin nikampa onyo kali asije kusema popote na nikishamkopia asirud tena pale ps ( nilimwambia hivyo maana nilijua kama akienda kufnya installation ya hizo game's kwenye pc zitamgomea tu, niliogopa asije kurud kudai hela yake ).

Nilimkopia game's alizotaka akanipa 50k alafu bishoo akasepa zake.Nilmuita huyo jamaa ninae piga nae kazi nilitoka nae nje nikampanga kuwa kuna game's nimemrushia mtu lakin asije kumwambia boss nilimpa 10k ya kumtuliza.Kumbe jamaa alikua snitch mzuri.

Kesho yake yule bishoo alikuja tena ps Akaniita ( alikua na rafiki ake )...alinambia mbn games hazichezi kwenye pc.Nilimwambia kwa hyo hilo ndo la kuniita tena nilimkumbusha huyo bishoo kuwa c nilikwambia usije hapo ps,bishoo alkua mpole akataka niende nae kwao nijarbu mimi kuzieka zile game.Nilimuuliza kwani pc yake ina Window ya ngap akasema ni Window 10 basi nikamwambia ndo maana zimekataa kucheza maana hyo window hua inazngua.Alinitaka nimwelekeze ni Windows gan atumie, nika mwambia aweke window 7 ( ukweli ni kuwa me habar za computer me hua cjui kabisa )....kipindi wanaondoka nilimwambia asirud pale tena kama ana shida na mimi ani text nikampa no zangu.

Huyo bishoo hela zake nilikula bure tu maana nilivyoona ananisumbua nilimpiga mkwara mzito hakunitafuta tena.

Hapo kiukweli nilifanya utapeli wa wazi wazi na tena baada ya huyo jamaa kuja kupiga kaz hapo ps ndo maisha yalianza kwenda mlama kwangu.Jamaa alikua anavunga ni mtu mwema sana kumbe mpk hyo inshu ya mimi kuuza games alimfikishia boss, Boss alicho fanya alimueka huyo jamaa awe msimamizi mkuu wa mambo yote ko mimi nikawa chini.

Hicho kitu ckukipenda kabisa yaani mtu ni mpokee na kumfundisha kazi eti ndo akawa tena boss wangu, yaan mpk hela ya kula namuomba yeye.

Japokua huyo jamaa alikua ananitegemea kwa vile me ni master ps ko kwenye loser nilikua nampa hela nyingi sana alafu nikimuomba hata ya kula ana ninyima.nilikua namuangalia na muacha tu.

Tuseme kiuchumi nilianguka kwa muda maana hata pale home Mzee alisepa kumfuata mke wake bush maana maisha ya mjini yalimshinda, mdogo wangu wa kike yeye alivyomaliza tu graduation alisepa Dodoma kwa sister kwa kifupi home nilibaki mwenyewe tu.

Sikua na namna niliona ili ni lipe bill's lazima niishi kijanja...hapo sasa nikaanza kutapeli watu ( cjui kudhurumu )...kila nikienda palee ps basi lazima nidhurumu waliokaa kiboya.

Kama kuna madogo flani hivi walikua ni wanafunzi wa Makoko seminary walikuja kucheza ps midaa ya saa mbili usiku.Na cku hyo nilikua sina hela maana nilimuomba yule jamaa hata anikopeshe ten akalialia tu.

Nilikua nimekaa kwenye bench nyuma kabisa nawaza hela napataje ndo wakaingia hao madogo wa shule.Niliona mmoja alitoa wallet kuhesabu hela,nilijisimea moyoni lazima nitoke na chochote asee...kwa vile madogo walikuta kuna watu wanacheza ilibid wasubir.

Ckutaka kuwachelewesha nilimuuliza dogo mmoja kama ana jero pale anipe nimpe buku afu jero nitachukua badae.Alidai hana nikamuuliza una shingap alisema wana elfu kumi kumi tu.Niliwaomba nika wachenjie ili wasisumbuke na chenji....wakanipa masikini elfu kumi nikawaambia tena c mlete na hizo nyingine ni kawalete pia chenji wakatoa 20k ko jumla ikawa 30k niliondoka ckurudi, yule jamaa alinipigia kuniuliza niko wapi maana madogo walikua wanalia hela yao hela yao.

Nilimwambia jamaa awaambie kuwa nakuja hata wasijari,nilivyokata simu nikaizima kisha nika sepa zangu kwa hotelin kula then nikaondoka kwenda home.


Hapa nimewapeleka mbele kidogo nitarud kuendelea tena.
 
Inaendelea

Licha ya kupenda kuimba pia nilikua napenda sana kujua kupiga Keyboard ( kinanda ) or piano yani nilikua nikiona watu wakipiga hicho roho inaniuma yani nataman na mimi cku moja nijue....nakumbuka 2014 kuna jamaa nilimuomba anifundishe kupiga keyboard sema alikua ana ringa sana ckuambulia lolote kwake.

2019 mwezi wa kumi ticha angu wa kwaya ( ni dogo tu lakin fundi hatar kwenye piano ) ndo alianza kunifundisha kinanda mdogo mdogo sema nae alisepa ko aliniacha bado sana cjui chochote tofauti na scale za key nyepesi Key C major, hapo chord na progression nilikua cjui kabisa.


Turudi kwanza kwa Yule Manzi ......

Siku zilienda bado huyo demu nilikua niko nae kama rafiki tu.Mwez wa tisa tareh 11 ilikua birthday yake, hilo nilikua na lijua cku hyo nilipanga tukitoka zoez nikiwa na msindikiza nimpe hela kidogo kwa ajili ya hyo siku yake muhimu, lakin siku mwambia nilitaka ku m-suprise njiani.

Zoezi lilivyoisha niliona demu kawai kutoka nilijua tu atanisubir nje.Na mimi nilivyotoka nje ckumuona mazingira ya kanisan, nilimuangaza mpk nikampotezea sasa ile nataka kuelekea job ndo namuona Manzi anakuja na bishoo mmoja hivi alafu akaniita nimsubir.

Alifika akanambia ni msindikize nilikubali sasa tukawa watatu mimi,yeye na huyo bishoo.Njiani hata sisemi chochote niko kimya nawasikiliza wao tu wakiongea, baadae ndo akavunga kunitambulisha kwa huyo bishoo kuwa ni rafiki ake sasa alikuja kumpa hi....bishoo nae alinileteea maisha ya kwenye video eti akanikaribisha kwao.Niliamua kuwatema nikatoa sababu ya uongo ili niondoke ( niliona ni ujinga yani nitembee njiani bure tu )...Manz alijua kuwa cjafurahi alikataa nisiondoke akawa amenizibia njia kwa mbele, yan mpk huyo bishoo wake alishangaa maana demu alimsahau kwa muda.

Niliondoka licha ya kunizuia nisiondoke nilikua na wivu kwa huyo demu...Usiku alini tafuta kama kawaida akalizungumzia hilo swala me nilimwambia ulifanya makosa sana kumleta huyo boy wako.Siku hyo Manzi ndo alinikubalia ombi langu kuwa ananipenda..nilifurahi kinoma nikasema kwa nzia muda huo wa kukubaliwa na manzi naachana na mademu zangu wote na nitakua mtu mwema kabisa.

Licha ya kunikubalia lakin kunipa mzigo alikua ananibania sana.Siku moja ilikua Alihamis cku hyo niko home najiandaa kwenda Job midaa ya saa nne hivi...Manzi alini text kuwa niko wapi nikamwambia home, akanambia yeye yupo Majita road kama naweza kwenda kumuona niende.

Jumatano Sister wangu alinitumia pesa fulani hivi nilimuomba eti za kwenda kusoma Veta ( ilikua ni mauongo yangu tu ili anipe hela hakuna cha veta wala nini )....Alituma ckuhyo pesa nyingi tu pamija na ya mdogo wangu wa kike ya graduation ( alikua kamaliza la saba ) Mzee nae hakuachwa nyuma nae alitumiwa hela ya kutosha tu ( nilimuona kafurahi ).Nilitoa pesa kwa wakala nikampa dogo hela yake zilizo baki niliagizia pad za ps zilikua zimeaharbika hela nyingne nikaenda nayo zoezi.

Muda wa zoez kuisha kipindi na msindikiza yule manzi alikua ameninunia, tulifika sehemu nikamtolea noti moja ya 10k kumpa akakataa nikatoa nyingine kumpa pia akakataa kutaka kutoa ya tatu alinizuia akanambia yeye hana shida na hela ko nisiwe najitesa kumpa yeye kanipenda tu the way nilivyo.Nilimlazimisha azichukue hela mpk nikamwekea kwenye pochi yake kinguvu ndo akazikubali.Siku hyo alini text kunipa asante na pia kwa ninavyomjali.

Sasa sku ya alhamisi alivyonambia ni mfuate Majita road nilihairisha kwenda job ikabid nimfuate mtoto yani hata boda cku panda nikiofia itaniangusha mwishoe nisimuone mtoto mzuri.

Nilifika road nikamkuta alikua kapendeza sana, alinichukua mpk kwao, nilifika alinipa chai cku vunga nilikunywa fresh tu.Sasa tulipiga story hapi sebulen kwao mpk story zikaisha, aliwasha tv kulikua na kipind cha Dadaz eatv me nilimwambia sion hivyo vpind vya hovyo akaamua kuzima tu Tv.

Alikua kakaa kwenye sofa kubwa niliamua nimfuate nikaanza kumpapasa akawa hataki.Lakin nili force mpk akakubali.Kwenye kumvua ilikua ni shughuli pevu.Mpk namvua nguo zake jasho lilinitoka sana.Nilitaka kumgongea hapo kwenye sebule lakin alikataa akadai twende chumbani kwake ( yaani me akili ya kukamatwa ilikua hata haipo hamuez amini )...nilimgonga kamoja kamoja ckulidhika lakin yeye alikataa akasema mida ya mama ake kurud ndio ile, ko nilitoka na hasira nikasepa zangu, sasa alikua anapiga simu za kutosha lakin kwa makusudi ckupokea.

Nakumbuka text yake cku aliyonitumia baada ya kuona kuwa cpokei simu yake.Alinambia kuwa me ndo boy wake wa kwanza kumuona akiwa uchi sasa yawe yangu nisitangaze. kama alijua vile maana muda nilikua njiani naenda kwa msela wangu nimpe story kuwa nimekula kitu tena kwao.Nilifika kwas msela na kweli nili mwambia nilivyokula Tunda.Yani Manzi hyo ndo ilikua tiketi ya kuanza kusex nae, kila nilikua nikimuhitaji chapu na mla.Nilimpenda kiukweli huyu manzi toka moyoni nilipanga hata nije nimuoe cku moja.

Pale ps kuna Jamaa mmoja nili ckuli nae sasa yeye alirudia shule na huo mwaka 2019 ndo alijua anamaliza form four, alikua anakuja pale ps tunapiga nae story kisha anasepa.Kuna siku alimkuta boss wangu akamtoa pembeni ckujua walivyoongea lakin nilistuka kitu kimoja.Huyo jamaa alivyomaliza kuongea na boss alikuja akanambia nikimaliza paper la form four nitakuja kupiga kazi.Sikumjali sana kumbe nafasi yangu huyo jamaa ndo aliibeba, yani nilikua namfundisha baadh ya vitu pale ps kumbe alikua analake moyoni.

Na kweli alivyomaliza mtihani akawa amekuja rasmi tukaanza nae kupiga kazi wote alivyojua tu yeye ndo akawa boss kwangu ( kwa Amri ya boss ) ckua nilikosa nini mpk boss afanye hayo maamuzi.Nilichukia ila ckua nalakufanya.Doro likaanza tena kunipiga.


Before hayo hayajatokea Mwez wa kumi mwishoni Huyo manzi angu aliondoka musoma akaenda Chuo Tabora ko nilibaki sina Manzi ( maana niliapa kuwa ctakua na manz mwingine zaid yake )....kwakua huyo manzi alienda chuo nilijua tu ctokua pekee angu na mimi nilamua kurudisha majeshi kwa Yule manzi angu wa zamani ( lizy ).nilimtafuta nikamwelekeeza ofis ilipo ko akaja, ila saivi alkua ni mdangaji hatari hakuwa yule demu wa zamani.Yani alikua hapitwi na kwenda club ( Metro,modern club na sehem za starehe nyingine )

Ko nilikua nae hivyo hivyo kibabe nikimwambia aache hayo mambo alikua anambia mbn me niliyafanya hapo nyuma ko lazima na yeye afanye roho imlidhike.Kuna siku alikuja na rafiki ake bila hata kunipa taarifa kuwa wanakuja.

Siku hyo walitaka bia nikasema me msabato c mnunulii mtu pombe huyo demu alisema niache kuvunga usabato kitu gani na huku me ni malaya.Niliona isiwe shida nilimpa hela wakanunue bia wenyewe.

Kufikiria matukio yoye nayo ni kipaji asee...ila ngoja nipambane....


Siku hyo usiku nilitumiwa text no ilikua ngeni text ilisemaa "shem mambo" nikajibu fresh kusha akajitambulisha kuwa ni rafiki ake na yule manzi ( lizy ).Alitaka nimkopeshe hela 40k et atanirudishia cku chache zijazo.Sikua na hela kwa muda ule zaid ya za ofisini ko nilimkubalia tu kesho aje home achukue.Alivyokuja nilimgonga afu nikamwambia me hela sina mpk jioni ndo nitampa.

Aliwaka cku hyo kwa hasira lakin ckua nala kumsaidia, ilifika jioni akani text nikamwambia kesho aje mapema tu nitampa hyo hela lakin tena alichezea rungu nilikua na buku tano ndo aliichukua akasepa ila alini laani balaa..


Nitarudi tena
Huyo manzi alisema wewe ndio boy wake wa kwanza kumuona akiwa uchi, kwani ulimkuta bikira au?
 
Inaendelea


Baada ya ujio wa huyo Jamaa ( class mate ) pale ps kiukweli hari ilianzaa kuwa mbaya kifedha kwangu.Me c nilikua nachukua hela Ijumaa na jumamosi sasa ilibid tugawane cku za kuchukua pesa, mimi nikawa na chukua ijumaa yeye jumamosi.

Nakumbuka siku ya kwanza anamekuja kuanza kazi rasmi kwa vile alikua bado learner kwenye kazi ilibidi akae kwa kutulia ili nimfundishe.Siku hyo biss alikuja akatupatia maelekezo fresh tu na alisema kuhusu swala la kula nyie hata kama mmepata buku cku hyo itumieni kwa chakula ( uzur wa boss hakua mchoyo kwenye hela )....

Boss aliondoka yani ile anaondoka tu alikuja bishoo mmoja mule ps akaulizia muhusika nikasema ni mimi, alinitoa nje kufika aliniuliza kama games za ps zina cheza kwenye Pc ( laptop )...nilimuangalia kwanza kabla cjamjibu, kisha nikamwambia kwani hujui akasema hana uhakika.

Basi nikamwambia ndio zinakubali....alitoa frash ni mkopie akaweke, nilimwambia utaweza bei za game lakin...aliniuliza tena "kwani ni shngp kwa game moja?"....nilimwambia game moja ni 15000 alistuka nikaona ananipotezea muda nilimuliza una shngap akasema alijua ni 5000 kuweka game's nilimwambia akajarbu kwingine, tena aliuliza ni game's zipi ambazo ninazo nilimtajia Fifa 19, pes 18, GTA V na Call of duty Warfare, Calls of duty black ops, call of duty WW1, Watchdog, Uncharted na mengine mengi tu.

Basi akaondoka nikarud ndani...na siku hyo wateja walikua wengi na wengi wao walikua wa loser ( loser ni Atakae poteza ndo analipa )...kwa vile nilikua master kwa wakati huo nilirud kuona ma learners wakitoana jasho.Ilipita saa moja yule bishoo alirud tena akaniita alinambia nimfanyie 10k kwa kila game na alikua anataka game's 5...nilivunga kukataa ili ananione kuwa cna shida na hela, nilivyomuona anaondoka nikamuita nikamwambia kuwa nakusaidia tu kwa vile nimemuona ni muhitaji lakin nikampa onyo kali asije kusema popote na nikishamkopia asirud tena pale ps ( nilimwambia hivyo maana nilijua kama akienda kufnya installation ya hizo game's kwenye pc zitamgomea tu, niliogopa asije kurud kudai hela yake ).

Nilimkopia game's alizotaka akanipa 50k alafu bishoo akasepa zake.Nilmuita huyo jamaa ninae piga nae kazi nilitoka nae nje nikampanga kuwa kuna game's nimemrushia mtu lakin asije kumwambia boss nilimpa 10k ya kumtuliza.Kumbe jamaa alikua snitch mzuri.

Kesho yake yule bishoo alikuja tena ps Akaniita ( alikua na rafiki ake )...alinambia mbn games hazichezi kwenye pc.Nilimwambia kwa hyo hilo ndo la kuniita tena nilimkumbusha huyo bishoo kuwa c nilikwambia usije hapo ps,bishoo alkua mpole akataka niende nae kwao nijarbu mimi kuzieka zile game.Nilimuuliza kwani pc yake ina Window ya ngap akasema ni Window 10 basi nikamwambia ndo maana zimekataa kucheza maana hyo window hua inazngua.Alinitaka nimwelekeze ni Windows gan atumie, nika mwambia aweke window 7 ( ukweli ni kuwa me habar za computer me hua cjui kabisa )....kipindi wanaondoka nilimwambia asirud pale tena kama ana shida na mimi ani text nikampa no zangu.

Huyo bishoo hela zake nilikula bure tu maana nilivyoona ananisumbua nilimpiga mkwara mzito hakunitafuta tena.

Hapo kiukweli nilifanya utapeli wa wazi wazi na tena baada ya huyo jamaa kuja kupiga kaz hapo ps ndo maisha yalianza kwenda mlama kwangu.Jamaa alikua anavunga ni mtu mwema sana kumbe mpk hyo inshu ya mimi kuuza games alimfikishia boss, Boss alicho fanya alimueka huyo jamaa awe msimamizi mkuu wa mambo yote ko mimi nikawa chini.

Hicho kitu ckukipenda kabisa yaani mtu ni mpokee na kumfundisha kazi eti ndo akawa tena boss wangu, yaan mpk hela ya kula namuomba yeye.

Japokua huyo jamaa alikua ananitegemea kwa vile me ni master ps ko kwenye loser nilikua nampa hela nyingi sana alafu nikimuomba hata ya kula ana ninyima.nilikua namuangalia na muacha tu.

Tuseme kiuchumi nilianguka kwa muda maana hata pale home Mzee alisepa kumfuata mke wake bush maana maisha ya mjini yalimshinda, mdogo wangu wa kike yeye alivyomaliza tu graduation alisepa Dodoma kwa sister kwa kifupi home nilibaki mwenyewe tu.

Sikua na namna niliona ili ni lipe bill's lazima niishi kijanja...hapo sasa nikaanza kutapeli watu ( cjui kudhurumu )...kila nikienda palee ps basi lazima nidhurumu waliokaa kiboya.

Kama kuna madogo flani hivi walikua ni wanafunzi wa Makoko seminary walikuja kucheza ps midaa ya saa mbili usiku.Na cku hyo nilikua sina hela maana nilimuomba yule jamaa hata anikopeshe ten akalialia tu.

Nilikua nimekaa kwenye bench nyuma kabisa nawaza hela napataje ndo wakaingia hao madogo wa shule.Niliona mmoja alitoa wallet kuhesabu hela,nilijisimea moyoni lazima nitoke na chochote asee...kwa vile madogo walikuta kuna watu wanacheza ilibid wasubir.

Ckutaka kuwachelewesha nilimuuliza dogo mmoja kama ana jero pale anipe nimpe buku afu jero nitachukua badae.Alidai hana nikamuuliza una shingap alisema wana elfu kumi kumi tu.Niliwaomba nika wachenjie ili wasisumbuke na chenji....wakanipa masikini elfu kumi nikawaambia tena c mlete na hizo nyingine ni kawalete pia chenji wakatoa 20k ko jumla ikawa 30k niliondoka ckurudi, yule jamaa alinipigia kuniuliza niko wapi maana madogo walikua wanalia hela yao hela yao.

Nilimwambia jamaa awaambie kuwa nakuja hata wasijari,nilivyokata simu nikaizima kisha nika sepa zangu kwa hotelin kula then nikaondoka kwenda home.


Hapa nimewapeleka mbele kidogo nitarud kuendelea tena.
Dah ila hao madogo uliwaonea tuu, sasa classmate si atakua ali'mind sana mixer kumtonya boss hiyo ishu?
 
Inaendelea

Licha ya kupenda kuimba pia nilikua napenda sana kujua kupiga Keyboard ( kinanda ) or piano yani nilikua nikiona watu wakipiga hicho roho inaniuma yani nataman na mimi cku moja nijue....nakumbuka 2014 kuna jamaa nilimuomba anifundishe kupiga keyboard sema alikua ana ringa sana ckuambulia lolote kwake.

2019 mwezi wa kumi ticha angu wa kwaya ( ni dogo tu lakin fundi hatar kwenye piano ) ndo alianza kunifundisha kinanda mdogo mdogo sema nae alisepa ko aliniacha bado sana cjui chochote tofauti na scale za key nyepesi Key C major, hapo chord na progression nilikua cjui kabisa.


Turudi kwanza kwa Yule Manzi ......

Siku zilienda bado huyo demu nilikua niko nae kama rafiki tu.Mwez wa tisa tareh 11 ilikua birthday yake, hilo nilikua na lijua cku hyo nilipanga tukitoka zoez nikiwa na msindikiza nimpe hela kidogo kwa ajili ya hyo siku yake muhimu, lakin siku mwambia nilitaka ku m-suprise njiani.

Zoezi lilivyoisha niliona demu kawai kutoka nilijua tu atanisubir nje.Na mimi nilivyotoka nje ckumuona mazingira ya kanisan, nilimuangaza mpk nikampotezea sasa ile nataka kuelekea job ndo namuona Manzi anakuja na bishoo mmoja hivi alafu akaniita nimsubir.

Alifika akanambia ni msindikize nilikubali sasa tukawa watatu mimi,yeye na huyo bishoo.Njiani hata sisemi chochote niko kimya nawasikiliza wao tu wakiongea, baadae ndo akavunga kunitambulisha kwa huyo bishoo kuwa ni rafiki ake sasa alikuja kumpa hi....bishoo nae alinileteea maisha ya kwenye video eti akanikaribisha kwao.Niliamua kuwatema nikatoa sababu ya uongo ili niondoke ( niliona ni ujinga yani nitembee njiani bure tu )...Manz alijua kuwa cjafurahi alikataa nisiondoke akawa amenizibia njia kwa mbele, yan mpk huyo bishoo wake alishangaa maana demu alimsahau kwa muda.

Niliondoka licha ya kunizuia nisiondoke nilikua na wivu kwa huyo demu...Usiku alini tafuta kama kawaida akalizungumzia hilo swala me nilimwambia ulifanya makosa sana kumleta huyo boy wako.Siku hyo Manzi ndo alinikubalia ombi langu kuwa ananipenda..nilifurahi kinoma nikasema kwa nzia muda huo wa kukubaliwa na manzi naachana na mademu zangu wote na nitakua mtu mwema kabisa.

Licha ya kunikubalia lakin kunipa mzigo alikua ananibania sana.Siku moja ilikua Alihamis cku hyo niko home najiandaa kwenda Job midaa ya saa nne hivi...Manzi alini text kuwa niko wapi nikamwambia home, akanambia yeye yupo Majita road kama naweza kwenda kumuona niende.

Jumatano Sister wangu alinitumia pesa fulani hivi nilimuomba eti za kwenda kusoma Veta ( ilikua ni mauongo yangu tu ili anipe hela hakuna cha veta wala nini )....Alituma ckuhyo pesa nyingi tu pamija na ya mdogo wangu wa kike ya graduation ( alikua kamaliza la saba ) Mzee nae hakuachwa nyuma nae alitumiwa hela ya kutosha tu ( nilimuona kafurahi ).Nilitoa pesa kwa wakala nikampa dogo hela yake zilizo baki niliagizia pad za ps zilikua zimeaharbika hela nyingne nikaenda nayo zoezi.

Muda wa zoez kuisha kipindi na msindikiza yule manzi alikua ameninunia, tulifika sehemu nikamtolea noti moja ya 10k kumpa akakataa nikatoa nyingine kumpa pia akakataa kutaka kutoa ya tatu alinizuia akanambia yeye hana shida na hela ko nisiwe najitesa kumpa yeye kanipenda tu the way nilivyo.Nilimlazimisha azichukue hela mpk nikamwekea kwenye pochi yake kinguvu ndo akazikubali.Siku hyo alini text kunipa asante na pia kwa ninavyomjali.

Sasa sku ya alhamisi alivyonambia ni mfuate Majita road nilihairisha kwenda job ikabid nimfuate mtoto yani hata boda cku panda nikiofia itaniangusha mwishoe nisimuone mtoto mzuri.

Nilifika road nikamkuta alikua kapendeza sana, alinichukua mpk kwao, nilifika alinipa chai cku vunga nilikunywa fresh tu.Sasa tulipiga story hapi sebulen kwao mpk story zikaisha, aliwasha tv kulikua na kipind cha Dadaz eatv me nilimwambia sion hivyo vpind vya hovyo akaamua kuzima tu Tv.

Alikua kakaa kwenye sofa kubwa niliamua nimfuate nikaanza kumpapasa akawa hataki.Lakin nili force mpk akakubali.Kwenye kumvua ilikua ni shughuli pevu.Mpk namvua nguo zake jasho lilinitoka sana.Nilitaka kumgongea hapo kwenye sebule lakin alikataa akadai twende chumbani kwake ( yaani me akili ya kukamatwa ilikua hata haipo hamuez amini )...nilimgonga kamoja kamoja ckulidhika lakin yeye alikataa akasema mida ya mama ake kurud ndio ile, ko nilitoka na hasira nikasepa zangu, sasa alikua anapiga simu za kutosha lakin kwa makusudi ckupokea.

Nakumbuka text yake cku aliyonitumia baada ya kuona kuwa cpokei simu yake.Alinambia kuwa me ndo boy wake wa kwanza kumuona akiwa uchi sasa yawe yangu nisitangaze. kama alijua vile maana muda nilikua njiani naenda kwa msela wangu nimpe story kuwa nimekula kitu tena kwao.Nilifika kwas msela na kweli nili mwambia nilivyokula Tunda.Yani Manzi hyo ndo ilikua tiketi ya kuanza kusex nae, kila nilikua nikimuhitaji chapu na mla.Nilimpenda kiukweli huyu manzi toka moyoni nilipanga hata nije nimuoe cku moja.

Pale ps kuna Jamaa mmoja nili ckuli nae sasa yeye alirudia shule na huo mwaka 2019 ndo alijua anamaliza form four, alikua anakuja pale ps tunapiga nae story kisha anasepa.Kuna siku alimkuta boss wangu akamtoa pembeni ckujua walivyoongea lakin nilistuka kitu kimoja.Huyo jamaa alivyomaliza kuongea na boss alikuja akanambia nikimaliza paper la form four nitakuja kupiga kazi.Sikumjali sana kumbe nafasi yangu huyo jamaa ndo aliibeba, yani nilikua namfundisha baadh ya vitu pale ps kumbe alikua analake moyoni.

Na kweli alivyomaliza mtihani akawa amekuja rasmi tukaanza nae kupiga kazi wote alivyojua tu yeye ndo akawa boss kwangu ( kwa Amri ya boss ) ckua nilikosa nini mpk boss afanye hayo maamuzi.Nilichukia ila ckua nalakufanya.Doro likaanza tena kunipiga.


Before hayo hayajatokea Mwez wa kumi mwishoni Huyo manzi angu aliondoka musoma akaenda Chuo Tabora ko nilibaki sina Manzi ( maana niliapa kuwa ctakua na manz mwingine zaid yake )....kwakua huyo manzi alienda chuo nilijua tu ctokua pekee angu na mimi nilamua kurudisha majeshi kwa Yule manzi angu wa zamani ( lizy ).nilimtafuta nikamwelekeeza ofis ilipo ko akaja, ila saivi alkua ni mdangaji hatari hakuwa yule demu wa zamani.Yani alikua hapitwi na kwenda club ( Metro,modern club na sehem za starehe nyingine )

Ko nilikua nae hivyo hivyo kibabe nikimwambia aache hayo mambo alikua anambia mbn me niliyafanya hapo nyuma ko lazima na yeye afanye roho imlidhike.Kuna siku alikuja na rafiki ake bila hata kunipa taarifa kuwa wanakuja.

Siku hyo walitaka bia nikasema me msabato c mnunulii mtu pombe huyo demu alisema niache kuvunga usabato kitu gani na huku me ni malaya.Niliona isiwe shida nilimpa hela wakanunue bia wenyewe.

Kufikiria matukio yoye nayo ni kipaji asee...ila ngoja nipambane....


Siku hyo usiku nilitumiwa text no ilikua ngeni text ilisemaa "shem mambo" nikajibu fresh kusha akajitambulisha kuwa ni rafiki ake na yule manzi ( lizy ).Alitaka nimkopeshe hela 40k et atanirudishia cku chache zijazo.Sikua na hela kwa muda ule zaid ya za ofisini ko nilimkubalia tu kesho aje home achukue.Alivyokuja nilimgonga afu nikamwambia me hela sina mpk jioni ndo nitampa.

Aliwaka cku hyo kwa hasira lakin ckua nala kumsaidia, ilifika jioni akani text nikamwambia kesho aje mapema tu nitampa hyo hela lakin tena alichezea rungu nilikua na buku tano ndo aliichukua akasepa ila alini laani balaa..


Nitarudi tena
Kwahiyo mzebaba ulimkuta manzi sild kabisaaa, ukafungua njia mwenyewe ??
Vp alipoenda chuo ndo ikawa mazima ama??
 
Back
Top Bottom