opala
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 390
- 975
Alishafariki wenzake walimuua alikuwa mwanafunzi wa UDOM alikuwa ni mtu wa makundi Sana hapo musoma.alikuwa na mshikaj wake anaitwa Jiggerhilo jna kama sio geni hivi kwangu
Alishafariki wenzake walimuua alikuwa mwanafunzi wa UDOM alikuwa ni mtu wa makundi Sana hapo musoma.alikuwa na mshikaj wake anaitwa Jiggerhilo jna kama sio geni hivi kwangu
😂😂nakumbuka umiseta mwaka 2012 kama sikosei uwanja wa karume baada ya kushinda 4 kwa 3 nikiwa kama streka wa Mara boys nilipiga hatrick
Bac ile tunarudi shule nyuma kidogo tu ya ule uwanja walitokea vijana wadogo kama wa 4 ivi na masime wakampokonya mwanafunzi mwenzetu simu na pesa
Wengine tulikua hatujui nini kinaendelea mpaka tuliposikia mikwaruzo ya sime hapo tukagawanyika makundi mawili, waliokua mbele wakakimbilia shuleni sisi wa nyuma tukaanza kukimbia ovyo mjini , wenye hela wakawa wanadandia boda boda kurudi shule cc wengine tunakimbia ovyo tu
Cha kushangaza kuna wazee wanapishana na wale madogo hata hawawasumbui wakawa wanatwambia nyie watoto wagonjwa kweli yani mko mia mnatishwa na watu wanne?
Nakumbuka sana tukio hilo
Sema mtoa mada nataka nikuulize hukuwemo kweli katika hao madogo?
Uk maana ya ukereweNimetembea sana visiwa vya ukara sema nimeshavisahau..halafu hyo guest ya GREEN PARACHICHI KAMA NIMESHAIONA. Halafu mbona kama Bwisya ni Ukara kabisa na hyo guest ipo ukara? au nimesoma vibaya unasema ipo UK.