Hadithi ya KALUMEKENGE

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,448
154,294
579431_3988100539829_644244537_n.jpg
 
Dah nakumbuka kulikua na mtihani wa kusoma basi walikua wakileta vihadithi kama hivi sikawii kulamba mia! That was then....
 
Moto ukakataa.
Baba yake akasema kwa maji.....
Maji yakakataa kuzima moto.
Baba yake akasema kwa mbuzi, waweza kuyanywa maji .....
Mbuzi akakataa!
Baba akaenda kwa Sultani.
Akamwambia, Waweza kumla mbuzi?
Sultani akabubali.

Akamla Mbuzi,
Mbuzi baada ya kuliwa akayanywa maji!
Maji baada ya kunywewa yakazima moto,
Moto baada ya kuzimwa ukachoma fimbo!
and the story goes!
 
Maji yakakataa kuzima moto.
Baba yake akasema kwa mbuzi, waweza kuyanywa maji .....
Mbuzi akakataa!
Baba akaenda kwa Sultani.
Akamwambia, Waweza kumla mbuzi?
Sultani akabubali.

Akamla Mbuzi,
Mbuzi baada ya kuliwa akayanywa maji!
Maji baada ya kunywewa yakazima moto,
Moto baada ya kuzimwa ukachoma fimbo!
and the story goes!

Hiyo hadith pamoja na utoto wangu wakati huo niliweza kuona haiko sawa. Mbuzi anakunywaje maji baada ya kuliwa? maji yanazima moto baada ya kunywewa and so on......
 
duh..mmeniacha kidogo lakini nilishawasikia wakubwa wakikisimulia hiki kitabu...doesnt mean mimi ni dot com generation,...atleast nimemsoma sungura kwenye sizitaki mbichi hizi
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom