Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
hata kama ni hadithi mi nimeshindwa kuona usuhiano kati ya ugonjwa wa mumewe na uhusiano wake na HG
Yaani hilo la kufumania limeingia 'kwa gafla' sana...ukianza kusoma unaona kuwa jamaa anaumwa na mkewe ana sympathy kabisa...
Ina maana, kuumwa kwake kulikuwa feki muda wote huo, I mean hata dawa alikuwa anatupa hamezi au alikuwa anahonga hospitali aonekane anaumwa? Na iweje katika hali ya kawaida ampigie simu mkewe aje nyumbani eti anaumwa huku akijua ako na HG?
Au huenda kweli 'anaumwa' na amekata tamaa na kuwa desparate 'lolote na liwe'? Kha!
Yaani hilo la kufumania limeingia 'kwa gafla' sana...ukianza kusoma unaona kuwa jamaa anaumwa na mkewe ana sympathy kabisa...
Ina maana, kuumwa kwake kulikuwa feki muda wote huo, I mean hata dawa alikuwa anatupa hamezi au alikuwa anahonga hospitali aonekane anaumwa? Na iweje katika hali ya kawaida ampigie simu mkewe aje nyumbani eti anaumwa huku akijua ako na HG?
Au huenda kweli 'anaumwa' na amekata tamaa na kuwa desparate 'lolote na liwe'? Kha!