Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,998
- 453,891
SEHEMU YA 22
“This is the one,” (ndiye huyu sasa) alisema Kenji huku akimtambulisha Bhoke mahali hapo.
Hakujua maisha ya msichana huyo, ni kwamba alikutana naye kwenye ndege tu, alihisi kuwa alikwenda Nairobi kwa biashara zake nyingine kumbe mwenzake alifika hapo kwa ajili ya kujiuza tu.
Kwa jinsi Kenji alivyokuwa na pesa, aliamini hata marafiki zake hao walikuwa na pesa pia hivyo alizitaka, hata kama kungekuwa na uwezekano wa kulala na wote, alikuwa tayari.
Kazi ya Bhoke mahali hapo ilikuwa ni kujishembendua tu, alikuwa akileta mapozi ya kike yaliyowafanya wanaume wote kutamani kuwa naye.
Stori ambayo waliambiwa na Kenji kwamba msichana huyo alikuwa si mchezo faragha ziliwachanganya kupita kawaida na kila mmoja mahali hapo alihitaji kulala naye.
Walikuwa wakinywa pombe, muda mwingi Bhoke alimmiminia pombe Kenji na kumtaka kunywa mfululizo, marafiki zake walikuw wakishangaa kwani halikuonekana jambo la kawaida kwa mwanamke kama huyo kumlazimisha Kenji kunywa pombe nyingi kiasi hicho.
Kichwa cha Bhoke kilifikiria pesa tu, hakukuwa na kitu kingine ambacho kilikuwa kichwani mwake muda huo.
Alihitaji pesa za wanaume wengine mahali hapo na ndiyo maana njia nzuri ambayo aliiona kufaa ilikuwa ni kumlevya Kenji ili apate muda wa kuzungumza na hao wanaume wengine.
Ni ndani ya nusu saa tu, Kenjia alikuwa hoi, alikuwa hajiwezi, kazi yake ilikuwa ni kupiga kelele mfululizo kama mtu aliyechanganyikiwa. Hicho ndicho alichokitaka Bhoke, hivyo akaanza kudili na wanaume hao.
“I prefer sex than eating and drinking...” (napenda sana ngono kuliko kula na kunywa...” aliwaambia wanaume hao maneno yaliyoonekana kuwashtua sana.
“Sure?” (kweli?) aliuliza jamaa mmoja huku akionekana kushtuka.
“Try me...” (nijaribu) alisema Bhoke.
“How much?” (kiasi gani?)
“15000 Kenyan shillings...” (shilingi elfu kumi na tano ya Kenya) alijibu Bhoke, kiasi hicho kwa pesa ya Kitanzania ilikuwa ni zaidi ya laki tatu.
“This is the one,” (ndiye huyu sasa) alisema Kenji huku akimtambulisha Bhoke mahali hapo.
Hakujua maisha ya msichana huyo, ni kwamba alikutana naye kwenye ndege tu, alihisi kuwa alikwenda Nairobi kwa biashara zake nyingine kumbe mwenzake alifika hapo kwa ajili ya kujiuza tu.
Kwa jinsi Kenji alivyokuwa na pesa, aliamini hata marafiki zake hao walikuwa na pesa pia hivyo alizitaka, hata kama kungekuwa na uwezekano wa kulala na wote, alikuwa tayari.
Kazi ya Bhoke mahali hapo ilikuwa ni kujishembendua tu, alikuwa akileta mapozi ya kike yaliyowafanya wanaume wote kutamani kuwa naye.
Stori ambayo waliambiwa na Kenji kwamba msichana huyo alikuwa si mchezo faragha ziliwachanganya kupita kawaida na kila mmoja mahali hapo alihitaji kulala naye.
Walikuwa wakinywa pombe, muda mwingi Bhoke alimmiminia pombe Kenji na kumtaka kunywa mfululizo, marafiki zake walikuw wakishangaa kwani halikuonekana jambo la kawaida kwa mwanamke kama huyo kumlazimisha Kenji kunywa pombe nyingi kiasi hicho.
Kichwa cha Bhoke kilifikiria pesa tu, hakukuwa na kitu kingine ambacho kilikuwa kichwani mwake muda huo.
Alihitaji pesa za wanaume wengine mahali hapo na ndiyo maana njia nzuri ambayo aliiona kufaa ilikuwa ni kumlevya Kenji ili apate muda wa kuzungumza na hao wanaume wengine.
Ni ndani ya nusu saa tu, Kenjia alikuwa hoi, alikuwa hajiwezi, kazi yake ilikuwa ni kupiga kelele mfululizo kama mtu aliyechanganyikiwa. Hicho ndicho alichokitaka Bhoke, hivyo akaanza kudili na wanaume hao.
“I prefer sex than eating and drinking...” (napenda sana ngono kuliko kula na kunywa...” aliwaambia wanaume hao maneno yaliyoonekana kuwashtua sana.
“Sure?” (kweli?) aliuliza jamaa mmoja huku akionekana kushtuka.
“Try me...” (nijaribu) alisema Bhoke.
“How much?” (kiasi gani?)
“15000 Kenyan shillings...” (shilingi elfu kumi na tano ya Kenya) alijibu Bhoke, kiasi hicho kwa pesa ya Kitanzania ilikuwa ni zaidi ya laki tatu.