big jambo
JF-Expert Member
- Sep 18, 2019
- 411
- 279
barry mbwa wewe
barry mbwa wewe
🤣🤣🤣🤣🤣barry mbwa wewe
barry mjumbebarry mbwa wewe
ananiuzi sanabarry mjumbe
Najitahidi mkuu sema huu mwezi nina ratiba flani ngumu kiasi hivyo spidi yangu inakuwa ndogo kiasi. Naomba mniwie radhi huu kwa huu mwezi maana spidi itakuwa ya kobe ila tukiumaliza tutarudi kama kawaida.mkuu tuna arosto. jitahidi utuletee muendelezo . ubongo unahitaji chakula
Sent using Jamii Forums mobile app
duh!! ngoja niwe mpoleNajitahidi mkuu sema huu mwezi nina ratiba flani ngumu kiasi hivyo spidi yangu inakuwa ndogo kiasi. Naomba mniwie radhi huu kwa huu mwezi maana spidi itakuwa ya kobe ila tukiumaliza tutarudi kama kawaida.
Maelezo ya sababu ya ukimya huu nimetoa hapo kwenye reply namba 112. Ila tutarejea punde.Mie nashangaa tyuuuh kimya sion muendelezo, kulikoni tena the author?
Maelezo ya sababu ya ukimya huu nimetoa hapo kwenye reply namba 112. Ila tutarejea punde.
Kwisha habari, hakuna muendelezo tena hapa.Maelezo ya sababu ya ukimya huu nimetoa hapo kwenye reply namba 112. Ila tutarejea punde.
Najua tatizo limeanzia huko unakocopy.Nakuombeni radhi Sana nyote mliokuwa mnafuatilia Riwaya hii. Nilitoa taarifa kuwa ratiba ya mwezi jana isingekuwa rafiki Sana kwa mimi kupata nafasi ya kendelea kuleta simulizi hii. Mwezi mgumu umeshaisha Ila bado Kuna vitu vichache naviweka sawa na hatimaye tutaendelea.
Barry will return soon.
Tunatofautiana mazingira, si kila wakati utakuwa unapata masaa 4-5 kwa ajili ya ya kuandaa simulizi. Kuna maisha mengine nje ya jf na ndiyo yanayofanya tupate nguvu za kuingia humu.Najua tatizo limeanzia huko unakocopy.