Hadithi; Beach Party

Washawasha

JF-Expert Member
Aug 7, 2006
16,652
13,077
Mtunzi: Washawasha

Ilikuwa ni siku ya jumamosi mida ya saa kumi na mbili jioni,mimi Juma nina miaka 18 kwa sasa,nilienda kuoga ili kuweka mwili safi kwa ajili ya mtoko wa kwenda kwenye party moja maeneo ya beach,ni utamaduni wetu tuliojiwekea kila weekend huwa kuna Beach party kwa ajili ya kujifurahisha,washikaji walikuwa wamechangiishana kwa ajili ya kukodi daladala ya kuwapeleka na kuwarudisha nyumbani,binafsi nilikuwa nimechoka ile mbaya sikuwa hata na mapene mbuzi ya mchango nilikuwa nina shilingi mia tano tu,kwahiyo niliamua nitaenda kwa miguu na nitarudi kwa miguu na ile mia tano itaulinda mfuko wangu.

Nilifika Beach kwenye mida ya saa nne usiku,niliona magari mbalimbali yakiwa yamefungulia muziki na raia wakicheza,niliendelea kutafutafuta sehemu ambayo kutakuwa na watu wengi ili nami nilete uzushi,kwa kuwa najua kucheza muziki basi ndio huwa kinaniokoa sana kwenye party nyingi,cha kushangaza kuna watu wakubwa tu wanaosoma hadithi hii hawajui kucheza muziki,we una miaka karibu arobaini halafu hujui kucheza muziki,hebu acha ujinga jifunze kucheza ili ufe Salama.

Kwa mbali nikasikia kuna nyimbo ya Mônica seka nikaona Yes zouk ndio mipigo yangu niipendayo kwa kuwa huwa namkumbatia mwanamke na kuhakikisha anaisikia vizuri machine yangu ikimgusagusa na kuyachezea ma tako yake.
Sikupoteza muda bila kukaribishwa nikaingia katikati na kuanza kucheza peke yangu ila kwa kuwa nilikuwa nikicheza vizuri akatokea mtoto mmoja hatari naye anajua kucheza tukaanza kucheza dj alikuwa anaujua muziki mara akaupandisha muziki wa gwiji lá zouk Oliver N'goma uitwao Adia,mzee niliona hapa lazima nioneshe ufundi wangu,kuja kutahamaki tuliachiwa uwanja na yule mtoto mkali ambaye alinitajia jina lake anaitwa Ana na Ana miaka 19,watu walikuwa wakituangalia huku wakitupigia makofi,tulicheza vizuri sana nikiri tu mbele yenu Ana naye anajua kucheza pia ni mzuri,sio mrefu wala mfupi ni mng'avu ziwa sio kubwa wala dogo,tako laini na wakati nacheza naye niliyachezea vizuri kwa kuwa alikuwa na kanga moja na hakuwa na chupi ndani,mara dj akatuwekea Vanga,haki ya mama nimlale nyoka,nilikatikiwa miuno ambayo sio ya nchi hii na mtoto Ana bado kidogo nipige bao ila nilijizuia kimtindo.

Muziki ulikatika ghafla kwa kuwa battery lilikwisha charge,nilitaka niondoke ila Ana aliniuliza nakunywa kinywaji gani? Nikamwambia naye akanielekeza sehemu ili niende kumsubiri atakuja ili tupige stori. Muda kidogo Ana alikuja na Heineken 6 na kunikabidhi tukapiga stori huku tukinywa na alinieleza yeye alifundishwa kucheza na dada yake aliyekuwa dancer wa Hapahapa Band nami nilimwambia kuna dancer alikuwa amejitolea kutufundisha maeneo yetu ya uswahilini kila weekend na kwa kuwa naupenda sana muziki kwahiyo niliongeza juhudi na nina mpango wa kuwa nacheza kwenye sherehe mbalimbali ili kupata hela ya kula akaniambia atajiunga nami ili tuwe tukicheza pamoja. Tulibadilishana namba kwa ajili ya mpango wetu

Kutokana na njaa niliyokuwa nayo sikuchukua round pombe ilinichukua ila nakumbuka nilijikuta niko juu ya Ana huku nikipiga mikito ya kipombepombe huku nikimla denda mtoto huyu mzuri,nilimwagia ndani na nikaendelea kuunganisha mumo kwa mumo mtoto alikuwa na K mnato kuliko ya Deborra,mi sikujali Kama kuna watu wanatuona ama lá nikamgeuza style ya dog nilipiga mikito mitakatifu na ndani ya dakika kumi nikammwagia tena ndani,sikumbuki kilichoendelea nakumbuka nilikurupuka na kuiona Beach ni nyeupe watu wote wameshaondoka,nami kiuchovu niliamua kurudi home,hivi ndivyo weekend yangu ilivyoisha

Mwisho
Nalog off
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom