The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,873
Kwa mtanzania wa kawaida ukisema mbunge wa viti maalum ..
Wazo la haraka linakuja ni 'mdada chepuko wa kigogo wa wa siasa' nchini
Au na siku hizi wadangaji wa huko bungeni...
Ni nadra Sana watu kuwaza 'kiongozi wa kuheshimiwa na kutumainiwa'likitajwa neno 'mbunge wa viti maalum'..
Wakati wa kuvifuta kabisa hivi viti maalum umeshapita ..
Vilikuja Kwa makosa...
Ilipaswa iwe wanapigiwa kura kila jimbo na wananchi na hata huyo mbunge akija kuleta scandal angalau unaweza walaumu walio mchagua na sio sasa ..Vyama vinapeleka 'vidosho Mali ya vigogo wa wa vyama'..au wale ambao 'wanampa kila mtu' Hadi wanafika huko...
Au tunasubiri video za ngono sasa zianze Ku leak ndo tujue 'tumeshachafua'kiasi gani hilo Bunge?..
Wabunge wa viti maalum hata kama wapo wachache wanafaa lakini kiukweli wengi wao ni wale wale... inatosha..
Wazo la haraka linakuja ni 'mdada chepuko wa kigogo wa wa siasa' nchini
Au na siku hizi wadangaji wa huko bungeni...
Ni nadra Sana watu kuwaza 'kiongozi wa kuheshimiwa na kutumainiwa'likitajwa neno 'mbunge wa viti maalum'..
Wakati wa kuvifuta kabisa hivi viti maalum umeshapita ..
Vilikuja Kwa makosa...
Ilipaswa iwe wanapigiwa kura kila jimbo na wananchi na hata huyo mbunge akija kuleta scandal angalau unaweza walaumu walio mchagua na sio sasa ..Vyama vinapeleka 'vidosho Mali ya vigogo wa wa vyama'..au wale ambao 'wanampa kila mtu' Hadi wanafika huko...
Au tunasubiri video za ngono sasa zianze Ku leak ndo tujue 'tumeshachafua'kiasi gani hilo Bunge?..
Wabunge wa viti maalum hata kama wapo wachache wanafaa lakini kiukweli wengi wao ni wale wale... inatosha..