Hadi sasa sijajibiwa application yangu UDOM

sanjomnyama

JF-Expert Member
Mar 20, 2016
261
160
Wakuu habari zenu, jaman Mimi nimemaliza kidato cha 4(form4) mwaka jana2015 hivyo nikaamua Ku apply UDOM kozi ya (Medical laboratory Technology) in Diploma;mwezi wa 8 tare 10 mwaka huu (2016)na maombi niliombea pale pale Chuoni lakn kwa njia ya mtandao sasa hadi leo hawajanijibu chochote nikiangalia kwa Website yao hamna chochote.

Ushauri wadau naombeni mnisaidie kwa hili nifanyaje
 
Kama Muda Wa Kutoa Majibu Umeshafika Na Ww Bado Hujapata Jibu Bc Hapo Jua Umekosa..Kama Unamawasiliano Unaweza Kuwapigia Wakupe Muongozo Zaid
 
Wakuu habari zenu, jaman Mimi nimemaliza kidato cha 4(form4) mwaka jana2015 hivyo nikaamua Ku apply UDOM kozi ya (Medical laboratory Technology) in Diploma;mwezi wa 8 tare 10 mwaka huu (2016)na maombi niliombea pale pale Chuoni lakn kwa njia ya mtandao sasa hadi leo hawajanijibu chochote nikiangalia kwa Website yao hamna chochote.

Ushauri wadau naombeni mnisaidie kwa hili nifanyaje
uwe na subira, lkn pia utambue Kuwa SIO KILA aombaye HUPEWA, labda wapo wanachakata
 
hata mimi nime apply ila hadi sasa ni kimya sijui inakuwaje!.ila kwakuwa walisema mwisho ku-apply ni tar15 mwezi huu,labda tusubiri labda watatujibu hivi karibuni.
 
Wakuu habari zenu, jaman Mimi nimemaliza kidato cha 4(form4) mwaka jana2015 hivyo nikaamua Ku apply UDOM kozi ya (Medical laboratory Technology) in Diploma;mwezi wa 8 tare 10 mwaka huu (2016)na maombi niliombea pale pale Chuoni lakn kwa njia ya mtandao sasa hadi leo hawajanijibu chochote nikiangalia kwa Website yao hamna chochote.

Ushauri wadau naombeni mnisaidie kwa hili nifanyaje
Kamuulize DVC
 
mimi nadhani busara ni muhimu,kuliko kumkatisha tamaa mtu.UDOM kwa diploma na certificate course una apply DIRECT chuoni kupitia www.oas.udom.ac.tz huwezi kuziona kozi hizo NACTE.na mwisho ku-apply ilikuwa jana,mtamwambiaje AMETEMWA.tuwe na upendo sisi kwa sisi,mwenzetu anaomba kujua,TUMSAIDIE.
Muhimu ni kusubiri wakisha toa majibu ndipo mtu atajua amechaguliwa au hajapata.
 
mimi nadhani busara ni muhimu,kuliko kumkatisha tamaa mtu.UDOM kwa diploma na certificate course una apply DIRECT chuoni kupitia www.oas.udom.ac.tz huwezi kuziona kozi hizo NACTE.na mwisho ku-apply ilikuwa jana,mtamwambiaje AMETEMWA.tuwe na upendo sisi kwa sisi,mwenzetu anaomba kujua,TUMSAIDIE.
Muhimu ni kusubiri wakisha toa majibu ndipo mtu atajua amechaguliwa au hajapata.
Na Mungu akubariki ndugu
 
Wakuu habari zenu, jaman Mimi nimemaliza kidato cha 4(form4) mwaka jana2015 hivyo nikaamua Ku apply UDOM kozi ya (Medical laboratory Technology) in Diploma;mwezi wa 8 tare 10 mwaka huu (2016)na maombi niliombea pale pale Chuoni lakn kwa njia ya mtandao sasa hadi leo hawajanijibu chochote nikiangalia kwa Website yao hamna chochote.

Ushauri wadau naombeni mnisaidie kwa hili nifanyaje




Tupo pa1
 
mimi nadhani busara ni muhimu,kuliko kumkatisha tamaa mtu.UDOM kwa diploma na certificate course una apply DIRECT chuoni kupitia www.oas.udom.ac.tz huwezi kuziona kozi hizo NACTE.na mwisho ku-apply ilikuwa jana,mtamwambiaje AMETEMWA.tuwe na upendo sisi kwa sisi,mwenzetu anaomba kujua,TUMSAIDIE.
Muhimu ni kusubiri wakisha toa majibu ndipo mtu atajua amechaguliwa au hajapata.
muda umeongezwaaa ad tareh 24/09/2016
 
Back
Top Bottom