mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Enzi za siasa miaka ya 1995,2000,2005,2010 CUF ilijulikana kama Chama cha wananchi CUF...
Wimbo maarufu
"Oohooohooo Chama!!! Chama gani? Chama cha wananchi CUF...."
Sasa makosa ya kiufundi yaliyowagharimu wananchi hao waliokuwa wanajinasibu kama ndio wamiliki wa Chama kwa kushindwa kumfukuza mwenyekiti alipoamua kuwasaliti katikati ya mapambano na kujifukuza mwenyewe leo yametufikisha hapa.
Sasa nauliza kwa Hatua tuliyofikia CUF ni chama cha..
1:WANANCHI?
2:LIPUMBA?
3:MAALIM?
Somo Kubwa lamaisha ninalotokanalo ktika hitilafu hii CUF ni mhenga Jiniasi na Great Thinker
aliyesema "Usipoziba Ufa Utajenga UKUTA"
Lakini Pia namuunga mkono Muhenga wa Kiitaliano PARETO aliyesema "Asilimia 80% ya matatizo Husababishwa na 20% ya matatizo yaliyopuuziwa Mwanzo"
Wimbo maarufu
"Oohooohooo Chama!!! Chama gani? Chama cha wananchi CUF...."
Sasa makosa ya kiufundi yaliyowagharimu wananchi hao waliokuwa wanajinasibu kama ndio wamiliki wa Chama kwa kushindwa kumfukuza mwenyekiti alipoamua kuwasaliti katikati ya mapambano na kujifukuza mwenyewe leo yametufikisha hapa.
Sasa nauliza kwa Hatua tuliyofikia CUF ni chama cha..
1:WANANCHI?
2:LIPUMBA?
3:MAALIM?
Somo Kubwa lamaisha ninalotokanalo ktika hitilafu hii CUF ni mhenga Jiniasi na Great Thinker
aliyesema "Usipoziba Ufa Utajenga UKUTA"
Lakini Pia namuunga mkono Muhenga wa Kiitaliano PARETO aliyesema "Asilimia 80% ya matatizo Husababishwa na 20% ya matatizo yaliyopuuziwa Mwanzo"