Kama tunavyojua kuwa wimbi la tatu la ugonjwa wa korona linatupiga ipasavyo na japokuwa serikali inaendelea kupokea misaada ya fedha kutoka WHO na mashirika mengine lakini cha ajabu hakuna mikakati yoyote ya kupunguza gharama za mgonjwa wa Korona.
Kwa mfano dozi moja ya korona mpaka sasa si chini ya laki na nusu na mgonjwa anatakiwa kupata dozi si chini ya kumi, kwa upande wa mtungi mmoja wa gesi ya oxygeni ambao unatumika kwa masaa 24 tu unagharimu laki moja moja ya masharti ya misaada inayotolewa na Shirika la Afya la Dunia yaani (WHO) ni kuwapunguzia makali ya gharama wananchi katika kupambana na ugonjwa korona, lakini kwa hapa Tanzania yaani ni kama vile serikali haijui chochote kuhusu hili. Wananchi wanateketea kila saa kwa ugonjwa huu.
Serikali inabidi kuliangalia hili ukizingatia pia tozo za miamala nazo zinatuminya ipasavyo.
Kwa mfano dozi moja ya korona mpaka sasa si chini ya laki na nusu na mgonjwa anatakiwa kupata dozi si chini ya kumi, kwa upande wa mtungi mmoja wa gesi ya oxygeni ambao unatumika kwa masaa 24 tu unagharimu laki moja moja ya masharti ya misaada inayotolewa na Shirika la Afya la Dunia yaani (WHO) ni kuwapunguzia makali ya gharama wananchi katika kupambana na ugonjwa korona, lakini kwa hapa Tanzania yaani ni kama vile serikali haijui chochote kuhusu hili. Wananchi wanateketea kila saa kwa ugonjwa huu.
Serikali inabidi kuliangalia hili ukizingatia pia tozo za miamala nazo zinatuminya ipasavyo.